Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
KanjibaiVibopa ni kina nani hao kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KanjibaiVibopa ni kina nani hao kwanza
Wengi wameenda shule.Kivipi kutokwepa umande?
Hapo kuna watu wana fleet mpka 500+Safari cargo
Raphael logistics
Mainline Carriers
Meru
Intelpetrol
Transcargo
Alistair
Am-Pm
Overland
Orion transport
Isumba transport
Rj motichand
Samsa logistics
Vigu investment
World oil
Manyanya truck
Bravo
Blue Coast
Blue Circle
Bil
Baraka za wazee
Simera
Ssb
Swift
Super star forwarder
Specialized Haulier
Ruvuma Coal
Transfuel (Asas)
A A shehozah
Afroil
Nfs petroleum
Olympic
Infinity Oil
Omar Awadh
Athawal Transport Ltd (ATT tbr)
Lodhia tritank
Usangu
K transportation
Prime fuel
Pmm estate
GBP (gulf bulk Petroleum)
Just a few to mention
Una uhakika?Wengi wameenda shule.
Sio asimlimia zote ila wapo ambao hawajaenda na wako vizuriUna uhakika?
Kwahiyo walioenda na wasioenda wepi ni wengi waliofanikiwa?Sio asimlimia zote ila wapo ambao hawajaenda na wako vizuri
Sina tafiti na matokeo sahihi lakini siku hizi ni janja janja tu shule nayo inasaidia kama ukijitoa.....wasomi huwa sio risk taker.Kwahiyo walioenda na wasioenda wepi ni wengi waliofanikiwa?
Uki master Logistic unakuwa na infinite potential, unafikiri kwanini mtu kama MO ama Bakhresa akitoa bidhaa inahit hapo hapo? Wana Logistic nchi nzima kitu kikiwa produced hapo hapo kinasambaa.Hivi ni Kwanini vibopa wengi wanapenda logistic business? Ina faida sana ama ni biashara ndani ya biashara.
Safari cargo
Raphael logistics
Mainline Carriers
Meru
Intelpetrol
Transcargo
Alistair
Am-Pm
Overland
Orion transport
Isumba transport
Rj motichand
Samsa logistics
Vigu investment
World oil
Manyanya truck
Bravo
Blue Coast
Blue Circle
Bil
Baraka za wazee
Simera
Ssb
Swift
Super star forwarder
Specialized Haulier
Ruvuma Coal
Transfuel (Asas)
A A shehozah
Afroil
Nfs petroleum
Olympic
Infinity Oil
Omar Awadh
Athawal Transport Ltd (ATT tbr)
Lodhia tritank
Usangu
K transportation
Prime fuel
Pmm estate
GBP (gulf bulk Petroleum)
Just a few to mention
Wasomi sio risk taker hapo umesema kweli.... kuna msimu wa mbaazi wakati wa magufuli zilikosa soko kabisa ilifikia hatua hata bosi wa kununua shiling mia mbili alikosekana mbaazi zikawa zimejaa tu na serikali ikawajibu wakulima kuwa mbaazi ni mboga wale tu,sasa kuna mzee mmoja hapa mtwara anaitwa chinganalile alijilipua akanunua tani 70 kwa bei ya shiling 200 na watu walimlaumu sana na yeye wala hakujali akazitia dawa akaziweka ghalani huwezi amini alikuja kuuza kwa wahindi baada ya miezi 4 kwa bei ya 750 na kila mtu akawa anajishika kichwa...hawa ndio risk takerSina tafiti na matokeo sahihi lakini siku hizi ni janja janja tu shule nayo inasaidia kama ukijitoa.....wasomi huwa sio risk taker.
jamaa wako njema sana nahisi pia kuwa na makampuni yao ya logistic inawapunguzia costs za kusafirisha bidhaa zaoUki master Logistic unakuwa na infinite potential, unafikiri kwanini mtu kama MO ama Bakhresa akitoa bidhaa inahit hapo hapo? Wana Logistic nchi nzima kitu kikiwa produced hapo hapo kinasambaa.
Wasomi sio risk taker hapo umesema kweli.... kuna msimu wa mbaazi wakati wa magufuli zilikosa soko kabisa ilifikia hatua hata bosi wa kununua shiling mia mbili alikosekana mbaazi zikawa zimejaa tu na serikali ikawajibu wakulima kuwa mbaazi ni mboga wale tu,sasa kuna mzee mmoja hapa mtwara anaitwa chinganalile alijilipua akanunua tani 70 kwa bei ya shiling 200 na watu walimlaumu sana na yeye wala hakujali akazitia dawa akaziweka ghalani huwezi amini alikuja kuuza kwa wahindi baada ya miezi 4 kwa bei ya 750 na kila mtu akawa anajishika kichwa...hawa ndio risk taker
Angalia hata wasomi uchwara waliopo humu ndani utasikia mtu anakuambia biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani ni ngumu mno mara utajuaje faida mara faida yenyewe mia ....wanasahau kuwa siri ya kufanikiwa ni moja tu kuwa bahiri(kufanya mambo muhimu tu) ila sasa ukija mtaani watu kibao wanatoboa kwa biashara hizoshida wasomi wakitaka kufanya jambo huwa wanafanya analysis nyingi sana ambazo mwisho wa siku huwa wanaishia kukata tamaa
Mainline carriers ltd na ma Beiben yao wametisha sana.Safari cargo
Raphael logistics
Mainline Carriers
Meru
Intelpetrol
Transcargo
Alistair
Am-Pm
Overland
Orion transport
Isumba transport
Rj motichand
Samsa logistics
Vigu investment
World oil
Manyanya truck
Bravo
Blue Coast
Blue Circle
Bil
Baraka za wazee
Simera
Ssb
Swift
Super star forwarder
Specialized Haulier
Ruvuma Coal
Transfuel (Asas)
A A shehozah
Afroil
Nfs petroleum
Olympic
Infinity Oil
Omar Awadh
Athawal Transport Ltd (ATT tbr)
Lodhia tritank
Usangu
K transportation
Prime fuel
Pmm estate
GBP (gulf bulk Petroleum)
Just a few to mention
Watu wenye pesa zao,Matajiri wakubwa a.k.a MadoniVibopa ni kina nani hao kwanza
Wasomi ni chenga sana ndio maana wanazidiwa kete nyingi....Wasomi sio risk taker hapo umesema kweli.... kuna msimu wa mbaazi wakati wa magufuli zilikosa soko kabisa ilifikia hatua hata bosi wa kununua shiling mia mbili alikosekana mbaazi zikawa zimejaa tu na serikali ikawajibu wakulima kuwa mbaazi ni mboga wale tu,sasa kuna mzee mmoja hapa mtwara anaitwa chinganalile alijilipua akanunua tani 70 kwa bei ya shiling 200 na watu walimlaumu sana na yeye wala hakujali akazitia dawa akaziweka ghalani huwezi amini alikuja kuuza kwa wahindi baada ya miezi 4 kwa bei ya 750 na kila mtu akawa anajishika kichwa...hawa ndio risk taker
Sio mimi lakini.Wasomi ni chenga sana ndio maana wanazidiwa kete nyingi....