FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,100
- 1,363
- Thread starter
-
- #81
Kwa uelewa wangu, pale WCB kila mtu ana meneja wake, moja kati ya majukumu ya meneja ni kuhakikisha msanii anauzika.
Sasa je mameneja wa hawa wasanii wanajaribu kuhakikisha wasanii wanauzika?
Hivi mfano lava lava unaweza kumlipa hela akufanyie tangazo? Labda tangazo la vi spika vile vya dawa ya mbu.kunguni upele n.k
Nitakusaisha mama yake rayvan ni mtu wa dini sana hivo hata kazi ya muziki wa mwanae hajaikubali. Hataki kifanyike chochote nyumbani kitokacho mikono ya rayvan. Alichofanya dogo ni kujenga mbali na nyumbani kwao isyesye na kusaidia ndugu zakeNdio nzovwe sokoni unashukia mbembela utamkuta mama katulia kwenye genge lake sijui hawajifunzi kwa boss wao mama yake anakula tu bata
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai wewe!Nitakusaisha mama yake rayvan ni mtu wa dini sana hivo hata kazi ya muziki wa mwanae hajaikubali. Hataki kifanyike chochote nyumbani kitokacho mikono ya rayvan. Alichofanya dogo ni kujenga mbali na nyumbani kwao isyesye na kusaidia ndugu zake
Muongooooooooo....kwendaaa!Nitakusaisha mama yake rayvan ni mtu wa dini sana hivo hata kazi ya muziki wa mwanae hajaikubali. Hataki kifanyike chochote nyumbani kitokacho mikono ya rayvan. Alichofanya dogo ni kujenga mbali na nyumbani kwao isyesye na kusaidia ndugu zake
Aslay sio msanii wangu na kuhusu mafanikio yake kwa kweli sijajua ila suala la mama yakr Rayvan kuuza Mboga za majani haijakaaa sawaaa
Masiharaaa kwelii[emoji23][emoji23][emoji23]Kumla yule dem ' kimasihara ' na kuzaa nae mtoto[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Cdhani kama rayvanny kashindwa kumpa mama yake mtaji! Kama ni kweli anauza mboga ni uamuz wake!! Hata ww hapo sio msanii lakn huwez kosa hata million 1 ya kumpa mzaz wako afungue duka!! Kwahyo rayvanny kakosa hata million moja ya kumpa mzaz wake! Hapna sio kwel!!Wakuu kuhusu mama ake rayvan kuna mtu aliniambia yule mama ni mtu dini sana, yani wale walokole wa itikadi kali.
Sasa Imani yake ni kwamba hela za rayvan ni za freemason, mama hataki msaada wowote toka kwa mwanae..
Jamaa msimuone vile ana stress nyingi sana, kaz yake haina baraka za mama ake.
Niliposikia hapa habar za kuuza mboga za mafungu, nikaunganisha na ile habari nikaona kuna ukweli fulani.
Japo inawezekana pia jamaa yupo majalala..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbeya ndo homeIla ray fundi aiseee...yule jamaa multtalented, akishindwa kupiga pesa kipindi hiki ndio basi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni ipi yenye jeuri hiyo imuache diamond iende kwa rayvanny, Mboso au Lavalava?
Kampuni ipi yenye jeuri hiyo imuache diamond iende kwa rayvanny, Mboso au Lavalava?
Ahsante MWANAMKE kwa koment yakoWANAUME MNAKAA NA KUPOTEZA MUDA KUJADILI ANGUKO NA MAFANIKIO YA WANAUME WENZENU. AIBU SANA.
HATA JAMES DELICIOUS ALIANZA HIVI HIVI, MWISHO WA SIKU ANAPAKULIWA NA KULIWA KISAMVU.
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbana anapotoa hela nyingi kulipia video za Rayvanny, Mboso na Lavalava au alipotumia nguvu nyingi kuwapa promo wasanii wake ikiwemo na yeye kujinyima kutoa ngoma zake ili ngoma za wasanii wake ziende mbona ukumwita mbinafsi?Ila jamaa anakunja adi sio poa..
Dili ndogo ndogo km ile ya tomato ilikuwa n ya kumpa ata raymond sio kufanya yeye kila ktu..
Huyu jamaa ni mbinafsi sana. Ni suala la muda tu
Sent using Jamii Forums mobile app
๐๐๐๐watu mnamaneno.. AiseeWale kazi yao pale WCB ni kuandaliwa show na kugawana hela,kuhusu matangazo hata ya dawa za panya hawapati
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaahh, wabongo hapanaKwa uelewa wangu, pale WCB kila mtu ana meneja wake, moja kati ya majukumu ya meneja ni kuhakikisha msanii anauzika.
Sasa je mameneja wa hawa wasanii wanajaribu kuhakikisha wasanii wanauzika?
Hivi mfano lava lava unaweza kumlipa hela akufanyie tangazo? Labda tangazo la vi spika vile vya dawa ya mbu.kunguni upele n.k