hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 539
Mondi naye ni binadamu...hawezikuwa perfect kila siku kila binadamu anajiangalia yeye kwanza ata ungekuwa wewe ila kwa mahali alipowatoa kina lavalava hadi apa walipo wana ya kumshukuru mengi sana kuliko kuwaza viela vya matangazo ambayo mengi yao yana unyonyaji ndani yakeIla jamaa anakunja adi sio poa..
Dili ndogo ndogo km ile ya tomato ilikuwa n ya kumpa ata raymond sio kufanya yeye kila ktu..
Huyu jamaa ni mbinafsi sana. Ni suala la muda tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa unam admire jux ?
Kama umeenda shule nina mashaka na elimu yako.
Hawa ni chuki tu wanazo, hamna kituMada na michango tofauti.
Kuhusu deals ni swala la muda.
Hata harmonise deal la kwanza lile la insurance company alilipata akiwa WCB
Wakati wanasign hawakuyaona uyasemayo?Mimi ninachowahurumia kama huyo Rayvanny kila kitu siyo chake.
Kuanzia Jina: Rayvanny, YouTube Channels, iTunes, Deezer, Tidal Accounts, Nyimbo zote na Audio alizo rekodi akiwa na WCB mpaka mashabiki ni Mali Ya Wasafi.
Siku wakimtimua ( Maana yule nguvu ya kutoka sidhani kama anayo ) anaenda kuanza upya kama KIFARANGA YATIMA.
Na Hii ni kwa wasanii wote wa WCB kama Mbosso na Lava Lava
Alipotoka kafanya nini haswa? Na wakati anasign hakuona yaliyomo kwenye mkataba akakataa?WCB ni Wanyonya madogo hawana kitu Wamepewa Mikataba ya Kinyonyaji, Ndo maana Rich Mavoko alitoka hana kitu anaungaunga Na kazi kafanya kibao pale Wcb
Kama unawasaidia afu UNAWANYONYA umewasaidiaaa au UMEJISAIDIA...pale wanatengeneza MASIKINI WENYE MAJINA MAKUBWA.Mbana anapotoa hela nyingi kulipia video za Rayvanny, Mboso na Lavalava au alipotumia nguvu nyingi kuwapa promo wasanii wake ikiwemo na yeye kujinyima kutoa ngoma zake ili ngoma za wasanii wake ziende mbona ukumwita mbinafsi?
Imeisha hiyoo...WBC ni biashara ya Mondi hilo lazima mlijue, na Mfanya biashara daima hutafuta faida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaa ya bongo hailipi ki hivyo na ubaya ni kuwa wasanii hawataki kulikubali hilo wanaishi maisha ya kuigiza. Nilipata kuona nyumbani kwao Lizer, bado maisha ni ya duni bado. Unaweza kuona kuwa hawapati kipato bora na hata hicho kidogo wanachokipata hawakifanyi kizalishe.Wakuu kuhusu mama ake rayvan kuna mtu aliniambia yule mama ni mtu dini sana, yani wale walokole wa itikadi kali.
Sasa Imani yake ni kwamba hela za rayvan ni za freemason, mama hataki msaada wowote toka kwa mwanae..
Jamaa msimuone vile ana stress nyingi sana, kaz yake haina baraka za mama ake.
Niliposikia hapa habar za kuuza mboga za mafungu, nikaunganisha na ile habari nikaona kuna ukweli fulani.
Japo inawezekana pia jamaa yupo majalala..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona tunamwona huko mitaa ya instagram anatupia picha amependeza.
Hujafanya research wewe kaangalie mara yake ya mwisho kapost lini tangu huu mwaka uanzeMkuu mbona tunamwona huko mitaa ya instagram anatupia picha amependeza.
Huwa unam admire jux ?
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai wewe!
Hivi pesa unaijua ama unaiskia mdogo wangu?
Mziki unalipa bwana!!!... ukiangalia maisha halisi ya vijana wa WCB unaweza kulia sana!!!...kilichopo kwenye mitandao na wao wenyewe ni tofauti kubwaNilipaona kwao ray kwakweli panatia huruma halafu anasema mama yake karidhika kuuza mbogamboga eti hataki biashara nyingine yaani madogo wanatumikishwa wakija kufa ukifika makwao ndio unajua walikua wanaishi kwa kuigiza maisha miaka yote
Sent from my iPhone using JamiiForums
Asas yupo bongo zozo pia usimsahauAlikiba alikuwa baalozi wa tembo chini ya tanapa sasa hivi yupo na asas
Wewe unafanya kazi wapi ambapo haunyonywi na ambapo wewe haunyonyi wapi?Hapo ya Kwake kwenye hiyo M17 inaweza kua ni M1 tu..
Madogo Wananyonywa sana hawana pakusemea wala pakulalamika