Baraka za MUNGU
Mungu ana nafasi kubwa katika mafanikio ya mtu, hasa kwa wale wanaomtegemea ili wafanikiwe.
Bidii na kujituma
Mafanikio ya wengi walio kwenye hali duni yanaletwa na bidii kwa kiasi kikubwa.
Mindset Nzuri
Wanaofanikiwa huwa wameweka malengo ya kufanikiwa na akili yao inawaza kufanikiwa ndio maana wanafanikiwa.
Good Timing
Ili kutoka katika hali ngumu vijana waliofanikiwa walijua kufanya jambo sahihi katika wakati sahihi wa kufanya hilo jambo.
Bahati na ngekewa binafsi
Japo wote tunahustle wakati mwingine wanaofanikiwa ni wale wenye bahati, aisee asikwambie mtu kuna watu wana bahati!
Kipaji na talanta
Vijana waliofanikiwa wapo wenye talent zao katika mambo walioyochagua kuyafanya. Wanatumia sauti zao, miguu yao, akili zao ipasavyo. Mifano ni mingi kina Nasibu Abdul,Samatta,Mwakinyo