Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vijana wanaotoka kwenye mazingira magumu lakini wanashinda changamoto na kufanikiwa maishani.
Unadhani ni nini kinachowasaidia kufanikisha haya licha ya changamoto kubwa wanazopitia? Na sisi sote tunaweza kujifunza nini kutoka kwao?
Yah ni kweli.Hawana cha kupoteza hivyo hujitoa mazima jumla
Kuamini ndoto zao, na kutokata tamaa licha ya kupitia changamoto zenye kukatisha tamaa. Maskini wengi hujikatia tamaa jambo ambalo huzizika rasmi ndoto zao.Kuna vijana wanaotoka kwenye mazingira magumu lakini wanashinda changamoto na kufanikiwa maishani.
Unadhani ni nini kinachowasaidia kufanikisha haya licha ya changamoto kubwa wanazopitia? Na sisi sote tunaweza kujifunza nini kutoka kwao?
akili, ujasiri, kujituma.
Wanaondika bahati hata uwe na bahati vipi kama uwe huna akili you will never make it!.
Then weak men build tough times, which bring strong men, and the cycle repeats.😀Tough times build strong men but easy times build weak men.
Yeah, the system is rigged.Then weak men build tough times, which bring strong men, and the cycle repeats.😀