Rwetembula Hassan Jumah
Senior Member
- Jan 25, 2023
- 140
- 188
Sijawaona ndo maana nimeandika. Siandiki kitu ambacho sina uhakika nachoUmeandka nn ....unamaaana wenye degree wamekataa ualim wakat wapo hadi wanaojitolea na n smart kwel kwel mda mwingne mkila kande za kunde mtulie
Tuanze naye Kwa kweliwewe usoma degree ipi tuanze na wewe?
Utawaonea wap ww badoo njuka hapa tz...kwaza una elim gn??? Mm nina friends kbao wapo huko wana teach salary chai kavu.....no research no right to speakSijawaona ndo maana nimeandika. Siandiki kitu ambacho sina uhakika nacho
Ualimu ni passion...pia huko vyuoni hufundishwa TEACHING METHODOLOGY.....TEACHING ETHICS....Tuna vijana wengi wako wanasubiri viti vya kuzunguka na wako na Elimu zao ila ajira hakuna. Na waliomaliza 4 wakaenda chuo 2 years wako na kazi wanazidi kula shavu.
Mwenye degree anaona upuuzi kuwa Mwalimu, Vijana elimu zenu ziko na maana gani sasa... ni wazo lakini.
Umemaliza 👤 mtumwaUtawaonea wap ww badoo njuka hapa tz...kwaza una elim gn??? Mm nina friends kbao wapo huko wana teach salary chai kavu.....no research no right to speak
Ni sawa kabisa wakati wa kuwa na waalimu walioishia form four na kufeli umekwisha waalimu wa primary wawe na degree.Tuna vijana wengi wako wanasubiri viti vya kuzunguka na wako na Elimu zao ila ajira hakuna. Na waliomaliza 4 wakaenda chuo 2 years wako na kazi wanazidi kula shavu.
Mwenye degree anaona upuuzi kuwa Mwalimu, Vijana elimu zenu ziko na maana gani sasa... ni wazo lakini.
Unajua kwamba ualimu ni taaluma/professional?Sijawaona ndo maana nimeandika. Siandiki kitu ambacho sina uhakika nacho
Rwetambula bado hajatambula kama kuna walimu wa kujitoleaUmeandka nn ....unamaaana wenye degree wamekataa ualim wakat wapo hadi wanaojitolea na n smart kwel kwel mda mwingne mkila kande za kunde mtulie