Kwanini Viongozi ( Marais ) wengi wa Bara la Afrika wanaamini Ushirikina kwa 85% wawapo Uongozini?

Kwanini Viongozi ( Marais ) wengi wa Bara la Afrika wanaamini Ushirikina kwa 85% wawapo Uongozini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Kuna Mmoja akitaka Kuuliwa akivaa Kofia yake Maadui zake hawamuoni.

Na huyo huyo pia kama Maadui zake wakimkaribia hugeuka Mbuzi na Kondoo wengi.

2. Kuna Mwingine akienda Kuhutubia Watu lazima auoge Mkojo wake.

3. Kuna Mwingine ili Safari yake ya mbali ili ifanikiwe au azime Jambo fulani Kubwa linaloendelea nchini mwake ni lazima tu kutokee na Ajali Mbaya na Kubwa sana

4. Kuna mwingine katika Msafara wake lazima aongozane na Mganga wake.

5. Kuna Mwingine kila baada ya Wiki Mbili au Mwezi lazima azike Mbuzi tena akiwa Hai kabisa.

6. Kuna mwingine ili aogopeke, asikilizwe, asiuwawe na atawale kama Mungu Mtu ni lazima kila baada ya Miezi Mitatu akapikwe katka Pipa lenye Nyongo ya Simba ( Marehemu Mobutu aliitumia mno hii ila kuna Sharti moja tu alilikosea na mambo kumharibikia ) Hii Siku nikipata muda nitaiezea Kiundani kwani ni ya Hatari mno ila ikikukubali Wewe ndiyo utaamua Uachie Madaraka lini lakini siyo Wananchi wako watake Uondoke na watakuwa Wanakupenda hadi Kukufuru hata kama Unawatukana.

7. Kuna mwingine hata kama Akioga Maji ya Kawaida ila ni lazima Aoge Maji yaliyochotwa kutoka Baharini na yasipokuwepo haendi kokote.

Na kinachonishangaza hawa Marais ( Viongozi ) wa Afrika pamoja na kuwa Washirikina hivi kwa 85% lakini bado kila Wiki huenda Ibadani ( Makanisani na Misikitini ) Kuabudu na hawakosi Ibada.

Kazi kweli kweli.....!!
 
Kuna mmoja wa nchi ya zuzuland alikuwa na mganga wake mnajimu maarufu, eti huyo mganga alidai kwamba amemuwekea ulinzi wa majini ili huyo rais asidhuriwe na wabaya wake tulishangaa na kumkemea huyo mganga kuwa amelewa chai za lile jumba jeupe. Yaani kwa ulinzi wote ule na yale majamaa yenye sura za kutisha na mitutu ya bunduki halafu bado kuna walinzi wasiojionesha kuwa wako kazini, uchawi wa nini? Kwa hiyo hao marais wanajilinda kwa ulinzi unaonekana na usioonekana. Ulinzi wa nuruni na ulinzi wa gizani
 
Kuna mmoja wa nchi ya zuzuland alikuwa na mganga wake mnajimu maarufu, eti huyo mganga alidai kwamba amemuwekea ulinzi wa majini ili huyo rais asidhuriwe na wabaya wake tulishangaa na kumkemea huyo mganga kuwa amelewa chai za lile jumba jeupe. Yaani kwa ulinzi wote ule na yale majamaa yenye sura za kutisha na mitutu ya bunduki halafu bado kuna walinzi wasiojionesha kuwa wako kazini, uchawi wa nini? Kwa hiyo hao marais wanajilinda kwa ulinzi unaonekana na usioonekana. Ulinzi wa nuruni na ulinzi wa gizani
Mkuu samahani hivi Nauli ya kutoka Dar es Salaam hadi Chalinze Bagamoyo ( Mkoani Pwani ) kama ukipitia njia ya Msoga ni Shilingi ngapi kwa sasa?
 
Mkuu samahani hivi Nauli ya kutoka Dar es Salaam hadi Chalinze Bagamoyo ( Mkoani Pwani ) kama ukipitia njia ya Msoga ni Shilingi ngapi kwa sasa?
duh! We jamaa natamani nami nikasome kile chuo unakisifu kuwa ulisoma huko nami nikapate maarifa uliyonayo na kama ni talent tu unayo itabidi unipe sehemu ndogo tu nami niwe kama wewe
 
Kuna mmoja alimpindua mfalme akaiwahi pete ya mfalme ili naye aitumie kama uchawi kuongoza nchi. Kuna wengine wanavaa mapete ya kishirikina na miwani za ajabu kutazama wabaya wao. Kuna wengine hujipaka mafuta ya simba na wamekula moyo wa simba ili wakitoa hotuba waogopwe kama simba
 
1. Kuna Mmoja akitaka Kuuliwa akivaa Kofia yake Maadui zake hawamuoni.

Na huyo huyo pia kama Maadui zake wakimkaribia hugeuka Mbuzi na Kondoo wengi.

2. Kuna Mwingine akienda Kuhutubia Watu lazima auoge Mkojo wake.

3. Kuna Mwingine ili Safari yake ya mbali ili ifanikiwe au azime Jambo fulani Kubwa linaloendelea nchini mwake ni lazima tu kutokee na Ajali Mbaya na Kubwa sana

4. Kuna mwingine katika Msafara wake lazima aongozane na Mganga wake.

5. Kuna Mwingine kila baada ya Wiki Mbili au Mwezi lazima azike Mbuzi tena akiwa Hai kabisa.

6. Kuna mwingine ili aogopeke, asikilizwe, asiuwawe na atawale kama Mungu Mtu ni lazima kila baada ya Miezi Mitatu akapikwe katka Pipa lenye Nyongo ya Simba ( Marehemu Mobutu aliitumia mno hii ila kuna Sharti moja tu alilikosea na mambo kumharibikia ) Hii Siku nikipata muda nitaiezea Kiundani kwani ni ya Hatari mno ila ikikukubali Wewe ndiyo utaamua Uachie Madaraka lini lakini siyo Wananchi wako watake Uondoke na watakuwa Wanakupenda hadi Kukufuru hata kama Unawatukana.

7. Kuna mwingine hata kama Akioga Maji ya Kawaida ila ni lazima Aoge Maji yaliyochotwa kutoka Baharini na yasipokuwepo haendi kokote.

Na kinachonishangaza hawa Marais ( Viongozi ) wa Afrika pamoja na kuwa Washirikina hivi kwa 85% lakini bado kila Wiki huenda Ibadani ( Makanisani na Misikitini ) Kuabudu na hawakosi Ibada.

Kazi kweli kweli.....!!
Wewe umejuaje mwanazengo?
Unless umevuka ule mstari?
Maana wanaovuka ndio wajuao siri za wengine kiroho.
Sio asilimia 85 bali ni asilimia 100 ndugu yangu
 
Back
Top Bottom