Kwanini viongozi wa Afrika hawaoni thamani ya raia wao ?

Kwanini viongozi wa Afrika hawaoni thamani ya raia wao ?

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Viongozi wa afrika bila shaka wanashida vichwani mwao, watu wao wanakufa , wakiwa na majanga mabalimbali wanaingiza siasa,wakati wa uchaguzi wanaona wa thamani sana, lakini wakati wa majanga huwona kama nyani tu ,kwa mfano kariakoo
Eti watu wanawaokoa kwa kutumia jembe, nyumdo ,spedi, wapo serious kweli na maisha ya watu,?
Tofauti kabisa na nchi zingine kama israel, marekani raia wao wanathamini sana.
Hili swala inatakiwa liwekwe kwenye katiba, " raia,kwanza nchi kwanza." Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
kutumia jembe na chepeo sio tatizo kwenye wengi.shida kujipanga na jambo lenyewe. kwenye upiganaji kivita kanuni haingalii siraha inaangalia mbinu.mbinu ndio inaangalia siraha.
shida watu wanaamini sana watu wenye vyeo na vyeo vyenyewe mtu anapewa kwasababu tu kadhibiti wapinzani. kateka watu kaumiza watu. yupo kushangaa tu hajui hata yeye afanye nini.
ila ikitokea mbowe na lisu wanataka kutembea kwa mguu barababrani utaona wanaita kilajeshi hadi waliositafu wanapewa magwanda na bunduki kuwazuia wasitembee.
hovyo kabisa sisi.
 
kutumia jembe na chepeo sio tatizo kwenye wengi.shida kujipanga na jambo lenyewe. kwenye upiganaji kivita kanuni haingalii siraha inaangalia mbinu.mbinu ndio inaangalia siraha.
shida watu wanaamini sana watu wenye vyeo na vyeo vyenyewe mtu anapewa kwasababu tu kadhibiti wapinzani. kateka watu kaumiza watu. yupo kushangaa tu hajui hata yeye afanye nini.
ila ikitokea mbowe na lisu wanataka kutembea kwa mguu barababrani utaona wanaita kilajeshi hadi waliositafu wanapewa magwanda na bunduki kuwazuia wasitembee.
hovyo kabisa sisi.
Tunaprofesa na wasomi wengi waliosomea kuokoa lakini seriousness hamna, viongozi wa afrika
 
Tunaprofesa na wasomi wengi waliosomea kuokoa lakini seriousness hamna, viongozi wa afrika
nguvu walioitumia kuwadhibiti kina mbowe kipindi kile na yale mabaunsa yanashika bunduki ya kilo 5 kama kijiko cha chakula.nakuhakikishia wangeshika nyundo kubwa kwa nia ya dhati kuokao, wakiwa wanaelekezwa na mtaalam wa majengo .kazi hiyo ingeshaisha zamani na waliokwamba wangeshasahau kama walikwama.
 
nguvu walioitumia kuwadhibiti kina mbowe kipindi kile na yale mabaunsa yanashika bunduki ya kilo 5 kama kijiko cha chakula.nakuhakikishia wangeshika nyundo kubwa kwa nia ya dhati kuokao, wakiwa wanaelekezwa na mtaalam wa majengo .kazi hiyo ingeshaisha zamani na waliokwamba wangeshasahau kama walikwama.

Nia hamna kabisa, ila kama angekuwepo mtoto wa kiongozi pale , ingekuwa chapu chapu uakoaji
 
Labdakama wewe ni katika wale jamaa siku akilala njaa akiamka ni kulaumu serikali tu Wakat hela ya kula kabetia
Screenshot_20241117-120659.png
 
kutumia jembe na chepeo sio tatizo kwenye wengi.shida kujipanga na jambo lenyewe. kwenye upiganaji kivita kanuni haingalii siraha inaangalia mbinu.mbinu ndio inaangalia siraha.
shida watu wanaamini sana watu wenye vyeo na vyeo vyenyewe mtu anapewa kwasababu tu kadhibiti wapinzani. kateka watu kaumiza watu. yupo kushangaa tu hajui hata yeye afanye nini.
ila ikitokea mbowe na lisu wanataka kutembea kwa mguu barababrani utaona wanaita kilajeshi hadi waliositafu wanapewa magwanda na bunduki kuwazuia wasitembee.
hovyo kabisa sisi.
Elimu!
Kuna kanuni inasema kwamba usitegemee akili iliyotengeneza tatizo (kubwa) ndiyo hiyo hiyo itumike kulitatua!
ccm ishatengeneza matatizo kila kona. Kuendelea kuitegemea ilete suluhu ya matatizo ni kujidanganya!
 
Viongozi wa afrika bila shaka wanashida vichwani mwao, watu wao wanakufa , wakiwa na majanga mabalimbali wanaingiza siasa,wakati wa uchaguzi wanaona wa thamani sana, lakini wakati wa majanga huwona kama nyani tu ,kwa mfano kariakoo
Eti watu wanawaokoa kwa kutumia jembe, nyumdo ,spedi, wapo serious kweli na maisha ya watu,?
Tofauti kabisa na nchi zingine kama israel, marekani raia wao wanathamini sana.
Hili swala inatakiwa liwekwe kwenye katiba, " raia,kwanza nchi kwanza." Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kwa Africa ukiwa na Madaraka manaake ni kwamba wewe na ukoo wako wote ndio mna akili kuliko wengine wote ndani ya nchi, yaani ghafla baada ya kuchaguliwa wengine wote wanakuwa Wajinga, duni na Mabwege
 
Mfano suala la kudondoka hili ghorofa kariakoo lilikuwa ni suala la muda tu, hapo kariakoo Kuna maghorofa mengi sanaaa ambayo yatakuja kudondoka mdogo mdogo, hapo Kuna viboksi (maghorofa) yataanguka sana, zilishafanywa tafiti za kiutaalamu hapo, ripoti zipo, hapo zaidi ya ghorofa 50 zitakuja kuanguka siku moja... Huku ni kutokujali Kwa kiwango kikubwa.
 
Back
Top Bottom