Kwanini viongozi wa upinzani akina Zitto, Mbatia, Mbowe nk hawahudhurii shughuli za kitaifa?

Kwanini viongozi wa upinzani akina Zitto, Mbatia, Mbowe nk hawahudhurii shughuli za kitaifa?

Unataka ushahidi gani juu ya ruzuku kuchuliwa?

Weka ushahidi namna ulivyoibiwa kura?

Video za bi kidude?

Ushahidi wa kuibiwa kura nimeuona kwa macho yangu, na vyombo vya uchunguzi haviwezi kukubali hilo liwe wazi maana wao ni wahusika kwa wizi huo. Lakini cdm kuchukua ruzuku haiwezi kuwa siri maana wao ni maadui wa serikali, hivyo kungekuwa na ushahidi ungewekwa wazi ili kuwaumbua.
 
Kwa sasa imekuwa ni vigumu sana kuwaona na hata kuwasikia viongozi wetu wakuu wa upinzani katika matukio muhimu.

Kwa mfano katika shughuli muhimu kama msiba wa balozi Kijazi au katika tukio la kuapishwa Katibu mkuu kiongozi mpya balozi Bashiru walipaswa kuwepo lakini hawajaonekana.

Ni Prof Lipumba pekee ndiye amewahi kuonekana kwenye sherehe za siku ya sheria lakini Mbatia, Zitto Kabwe, mzee Cheyo na Mbowe ni kitambo sasa hawaonekani.

Maendeleo hayana vyama!
Wanaogopa corona wanajua ipo
 
Ushahidi wa kuibiwa kura nimeuona kwa macho yangu, na vyombo vya uchunguzi haviwezi kukubali hilo liwe wazi maana wao ni wahusika kwa wizi huo. Lakini cdm kuchukua ruzuku haiwezi kuwa siri maana wao ni maadui wa serikali, hivyo kungekuwa na ushahidi ungewekwa wazi ili kuwaumbua.
Kwa kuwa huo wizi umeuona kwa macho yako ndio sisi tukuamini? Mbona sisi hatukuona na hutaki kuamini?

Magazeti hapa nchini yaliripoti juu ya Chadema kupokea ruzuku.
 
Kwa kuwa huo wizi umeuona kwa macho yako ndio sisi tukuamini? Mbona sisi hatukuona na hutaki kuamini?

Magazeti hapa nchini yaliripoti juu ya Chadema kupokea ruzuku.

Sisemi ili ww ukiri ana uamini maana ni aibu na fedheha kwako. Hapa naweka rekodi sawa, uamini usiamini is non of my business, ila huo ndio ukweli unaoumiza. Ushahidi wa gazeti ni kuweka deposit slip za hiyo hela kuingia account za cdm. Hilo mbona ni rahisi tu?
 
Back
Top Bottom