Kwanini viongozi walioshiriki kupokea ripoti ya haki Jinai hakuna aliyekuwa anatake note isipokuwa President peke yake?

Kwanini viongozi walioshiriki kupokea ripoti ya haki Jinai hakuna aliyekuwa anatake note isipokuwa President peke yake?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Ni sahihi kwa viongozi kuingia kwenye kikao cha Mhe. Rais bila diary wala note book? Au protokali ndio inataka hivyo?

Na kama ni protokali mbona Mhe. Rais alikuwa busy kusikiliza na kuandika? Baadhi ya viongozi wanaonekana kwenye TV wamelala kabisa.

Enzi ya utawala wa Mwalimu na hata utawala wa Magu viongozi walijiandaa wakati wote kupokea maelekezo ; leo Mhe. Rais anatoa maagizo hakuna anayechukua maagizo kwa maandishi. Hii haijakaa vyema; inaleta picha kwamba wanaohudhuria hivi vikao wanajua hakuna maagizo watapewa. Lakini pia inapunguza ufanisi kwa sababu ni vigumu kukumbuka kila kilichosemwa kwani si kila kinowasilishwa kipo kwenye ripoti.
 
Ni sahihi kwa viongozi kuingia kwenye kikao cha Mhe. Rais bila diary wala note book? Au protokali ndio inataka hivyo?

Na kama ni protokali mbona Mhe. Rais alikuwa busy kusikiliza na kuandika? Baadhi ya viongozi wanaonekana kwenye TV wamelala kabisa.

Enzi ya utawala wa Mwalimu na hata utawala wa Magu viongozi walijiandaa wakati wote kupokea maelekezo ; leo Mhe. Rais anatoa maagizo hakuna anayechukua maagizo kwa maandishi. Hii haijakaa vyema; inaleta picha kwamba wanaohudhuria hivi vikao wanajua hakuna maagizo watapewa. Lakini pia inapunguza ufanisi kwa sababu ni vigumu kukumbuka kila kilichosemwa kwani si kila kinowasilishwa kipo kwenye ripoti.
Siku hizi teknolojia inaruhusu mtu kuchukuwa notes bila kalamu na karatasi kwa review ya baadae. Ukiona anachukuwa notes, elewa ni kwa kutumia papo kwa papo, au ana m comfort anaemsikiliza kisaikolojia.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Upo AI age.
 
Siku hizi teknolojia inaruhusu mtu kuchukuwa notes bila kalamu na karatasi kwa review ya baadae. Ukiona anachukuwa notes, elewa ni kwa kutumia papo kwa papo, au ana m comfort anaemsikiliza kisaikolojia.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Upo AI age.
Kwa hiyo wanatumia technology pale walipo? Basi nchi inazidi hata huko Ulaya kwenye vikao vya Wakuu wa nchi wanaandika ila TZ tunatumia tekinolojia.
 
Ni sahihi kwa viongozi kuingia kwenye kikao cha Mhe. Rais bila diary wala note book? Au protokali ndio inataka hivyo?

Na kama ni protokali mbona Mhe. Rais alikuwa busy kusikiliza na kuandika? Baadhi ya viongozi wanaonekana kwenye TV wamelala kabisa.

Enzi ya utawala wa Mwalimu na hata utawala wa Magu viongozi walijiandaa wakati wote kupokea maelekezo ; leo Mhe. Rais anatoa maagizo hakuna anayechukua maagizo kwa maandishi. Hii haijakaa vyema; inaleta picha kwamba wanaohudhuria hivi vikao wanajua hakuna maagizo watapewa. Lakini pia inapunguza ufanisi kwa sababu ni vigumu kukumbuka kila kilichosemwa kwani si kila kinowasilishwa kipo kwenye ripoti.
Na baada ya kuandika amechukua hatua gani zaidi ya hilo nalo mkalitizame vizuri?
 
Siku hizi teknolojia inaruhusu mtu kuchukuwa notes bila kalamu na karatasi kwa review ya baadae. Ukiona anachukuwa notes, elewa ni kwa kutumia papo kwa papo, au ana m comfort anaemsikiliza kisaikolojia.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Upo AI age.
Mbona wazanzibari hawatukani wewe wa wapi wewe?nyie ndo mnasapoti ushoga
 
Just as "niweke kwenye list ili nilipwe si unajua mwanangu anahitaji ada"ndio hao, wenyewe wanajua washaingiza mpunga, watalipwa,notes wachukue ili iweje akati matatizo Yao yameisha,.hata Dubai Kuna watu walifurahia kwenda,kumshauri mama ikawa ni minor case,Belive me
 
Halafu baadae utasikia "mwende mkayaangalie kwa namna mtakavyoona inafaa mkafanye"
Kumbe watu wenyewe hata notes hawakuchukua na walikuwa wamesinzia
 
Uliona kuna pendekeao lolote la tume kalikataa?


Unafikiri Mama Samia mkurupukaji kama mwendazake?

Kila kilichopendezwa kitachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria. Huyo ndiyo mama.
Ni mkurupukaji ndo maana alikurupuka kuuza bandari, hajawahi kuwa na jipya huyo ndo maana kila kitu ni hilo nalo mkalitizame vizuri. Kama hakutaka kutoa maelekezo kwa nini apoteze muda kuipokea hadharani si wangempelekea vitabu akasoma huko?
 
Siku hizi teknolojia inaruhusu mtu kuchukuwa notes bila kalamu na karatasi kwa review ya baadae. Ukiona anachukuwa notes, elewa ni kwa kutumia papo kwa papo, au ana m comfort anaemsikiliza kisaikolojia.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Upo AI age.
Hiyo ni dalili ya uzembe,usiwatetee!
Huwezi kuwa Kiongozi alafu huna ata notebook [emoji429] ya kufanyia reference zako,ukiona hivyo huyo mtu ata katika majukumu yake siyo mfuatiliaji wa mambo.
Mbona Rais anaandika kwani yeye hawezi kufanya review?
 
Kwa hiyo wanatumia technology pale walipo? Basi nchi inazidi hata huko Ulaya kwenye vikao vya Wakuu wa nchi wanaandika ila TZ tunatumia tekinolojia.
Huyo Bibi anazeeka vibaya,Ile ni dalili ya Kiongozi mvivu na asiye mfuatiliaji wa mambo.
 
Ni mkurupukaji ndo maana alikurupuka kuuza bandari, hajawahi kuwa na jipya huyo ndo maana kila kitu ni hilo nalo mkalitizame vizuri. Kama hakutaka kutoa maelekezo kwa nini apoteze muda kuipokea hadharani si wangempelekea vitabu akasoma huko?
Wimbo ume-flop huo.
 
Hiyo ni dalili ya uzembe,usiwatetee!
Huwezi kuwa Kiongozi alafu huna ata notebook [emoji429] ya kufanyia reference zako,ukiona hivyo huyo mtu ata katika majukumu yake siyo mfuatiliaji wa mambo.
Mbona Rais anaandika kwani yeye hawezi kufanya review?
Hata wewe ambae hukuwepo huko ukibofya tu hata sasa hivi notes zote unazo.
 
Back
Top Bottom