ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,979
Mbona rais anaandika?Siku hizi teknolojia inaruhusu mtu kuchukuwa notes bila kalamu na karatasi kwa review ya baadae. Ukiona anachukuwa notes, elewa ni kwa kutumia papo kwa papo, au ana m comfort anaemsikiliza kisaikolojia.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Upo AI age.