Mbona rais anaandika?Siku hizi teknolojia inaruhusu mtu kuchukuwa notes bila kalamu na karatasi kwa review ya baadae. Ukiona anachukuwa notes, elewa ni kwa kutumia papo kwa papo, au ana m comfort anaemsikiliza kisaikolojia.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Upo AI age.
Naam, kwa sababu alikuwa ni muongeaji baada ya kupokea ripoti.Mbona rais anaandika?
Nitaendelea nazo mpaka raslimali zetu mlizogawa kwa waarabu zirudishweHizo nyimbo zime flop, katunge mpya.
Saa100 mwenyewe naona amekata tamaaNi sahihi kwa viongozi kuingia kwenye kikao cha Mhe. Rais bila diary wala note book? Au protokali ndio inataka hivyo?
Na kama ni protokali mbona Mhe. Rais alikuwa busy kusikiliza na kuandika? Baadhi ya viongozi wanaonekana kwenye TV wamelala kabisa.
Enzi ya utawala wa Mwalimu na hata utawala wa Magu viongozi walijiandaa wakati wote kupokea maelekezo ; leo Mhe. Rais anatoa maagizo hakuna anayechukua maagizo kwa maandishi. Hii haijakaa vyema; inaleta picha kwamba wanaohudhuria hivi vikao wanajua hakuna maagizo watapewa. Lakini pia inapunguza ufanisi kwa sababu ni vigumu kukumbuka kila kilichosemwa kwani si kila kinowasilishwa kipo kwenye ripoti.
Haaa akikujibu nishtue nduguKwaiyo Rais hawezi kubofya?
Bi Dada upo?Hizo nyimbo zime flop, katunge mpya.
Hakuna hatua yoyote itachukuliwa, hizo tume na ripoti zake tuna uzoefu nazo kuwa ni upotevu wa fedha na rasilimali muda. Machafuko tu ndio yatafanya ripoti za aina hiyo zitekelezwe.Uliona kuna pendekeao lolote la tume kalikataa?
Unafikiri Mama Samia mkurupukaji kama mwendazake?
Kila kilichopendezwa kitachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria. Huyo ndiyo mama.
Machafuko ?!![emoji15][emoji15]Hakuna hatua yoyote itachukuliwa, hizo tume na ripoti zake tuna uzoefu nazo kuwa ni upotevu wa fedha na rasilimali muda. Machafuko tu ndio yatafanya ripoti za aina hiyo zitekelezwe.
Tulia tu yatakuja katika hali ambayo hutaamini.Machafuko ?!![emoji15][emoji15]
Yapi mkuu ?!!!
Sasa mkuu Tindo unaelekea kuwa "kamikaze" [emoji1787].
#SiempreJMT[emoji120]
Pale hawakuitwa kwenye semina, waliitwa kushuhudia. Suala la yeye kuchukua note, pale ni ikulu yupo ofisini kwake si hoja kunoteNi sahihi kwa viongozi kuingia kwenye kikao cha Mhe. Rais bila diary wala note book? Au protokali ndio inataka hivyo?
Na kama ni protokali mbona Mhe. Rais alikuwa busy kusikiliza na kuandika? Baadhi ya viongozi wanaonekana kwenye TV wamelala kabisa.
Enzi ya utawala wa Mwalimu na hata utawala wa Magu viongozi walijiandaa wakati wote kupokea maelekezo ; leo Mhe. Rais anatoa maagizo hakuna anayechukua maagizo kwa maandishi. Hii haijakaa vyema; inaleta picha kwamba wanaohudhuria hivi vikao wanajua hakuna maagizo watapewa. Lakini pia inapunguza ufanisi kwa sababu ni vigumu kukumbuka kila kilichosemwa kwani si kila kinowasilishwa kipo kwenye ripoti.