Kwanini vita ya Hesbollah vs Israel vimekuwa virahisi kuliko ilivyo dhaniwa?

Kwanini vita ya Hesbollah vs Israel vimekuwa virahisi kuliko ilivyo dhaniwa?

The branding

Senior Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
186
Reaction score
320
Nikiangalia vyanzo mbali mbali vya milengo yote nimegundua kuwa, Israel hana presha kama ile aliyo kuwa nayo gaza. Nimegundua sababu zifuatazo:

1. Pre-emptive strike iliyopelekea kumuua Nasrallah iliwavunja moyo(nitampiga mchungaji na kondoo watatawnyika)

2. Uzoefu walio upata gaza. Ikumbukwe gaza na hesbollah wote wanatumia the same military

Doctrine(mahandaki/kujificha kwenye mashimo kama panya, na kutumia kinga ya binadamu(human shield strategy)/kutumia miundombinu ya uma kama shule, hospitali, n. k

3.Hesbollah hawakuteka mtu hivyo Israel hawana presha yoyote ya ndani ya nchi.

4. Vita hii ina sapotiwa na wananchi kwani kuna raia walio hamishwa kutokana na maroketi ya marq kwa mara tokea tarehb7-october.

Mwisho wa uchambizi: Pumba zina ruhusiwa, na sorce ni mimi mwenyewe. 🤣
 
Nikiangalia vyanzo mbali mbali vya milengo yote nimegundua kuwa, Israel hana presha kama ile aliyo kuwa nayo gaza. Nimegundua sababu zifuatazo:
1. Pre-emptive strike iliyopelekea kumuua Nasrallah iliwavunja moyo(nitampiga mchungaji na kondoo watatawnyika)
2. Uzoefu walio upata gaza. Ikumbukwe gaza na hesbollah wote wanatumia the same military doctrine(mahandaki/kujificha kwenye mashimo kama panya, na kutumia kinga ya binadamu(human shield strategy)/kutumia miundombinu ya uma kama shule, hospitali, n. k
3.Hesbollah hawakuteka mtu hivyo Israel hawana presha yoyote ya ndani ya nchi.
3. Vita hii ina sapotiwa na wananchi kwani kuna raia walio hamishwa kutokana na maroketi ya marq kwa mara tokea tarehb7-october.
Mwisho wa uchambizi: Pumba zina ruhusiwa, na sorce ni mimi mwenyewe. 🤣
 
Nikiangalia vyanzo mbali mbali vya milengo yote nimegundua kuwa, Israel hana presha kama ile aliyo kuwa nayo gaza. Nimegundua sababu zifuatazo:

1. Pre-emptive strike iliyopelekea kumuua Nasrallah iliwavunja moyo(nitampiga mchungaji na kondoo watatawnyika)

2. Uzoefu walio upata gaza. Ikumbukwe gaza na hesbollah wote wanatumia the same military doctrine(mahandaki/kujificha kwenye mashimo kama panya, na kutumia kinga ya binadamu(human shield strategy)/kutumia miundombinu ya uma kama shule, hospitali, n. k

3.Hesbollah hawakuteka mtu hivyo Israel hawana presha yoyote ya ndani ya nchi.

4. Vita hii ina sapotiwa na wananchi kwani kuna raia walio hamishwa kutokana na maroketi ya marq kwa mara tokea tarehb7-october.

Mwisho wa uchambizi: Pumba zina ruhusiwa, na sorce ni mimi mwenyewe.
Nakupongeza sana kwa uchambuzi wako makini. Niongezee tu kidogo na Iile Operation Beeper iliwasaidia sana kuwashinda Magaidi wa Hezboullah kikubwa ni hiyo Pre-emptive strike iliwainua sana kwenye uwanja wa medani inasemekana Askari wa Israel kikosi maalumu( Special-Force kiliingia ndani ya Lebanon miezi 6 iliyopita kwa hiyo waliweza kuratibu vizuri wapi yalipo mahandaki ya Hezboullah ndiyo maana walipoingia rasmi hawakuhangaika sana maana walikuwa nayo Road-Map.
 
Hiyo vita labda wewe ndo waiona rahisi. Vita hii ni ngumu sana. Tofauti na Gaza hamas Hezbollah Wana makombora mazito mazito. Lakini pia vita hii ni ngumu kwasababu ya matumizi makubwa ya dronivita baina y pande mbili hizi.
Matumizi haya ya droni yamekuwa yakilimit Kwa kiasi kikubwa uwezo wa pande hizo kutumia mbinu mbalimbali za wazi za kimapigano yaani section, platoon nk
 
Source:Marioo🤣
 
Nakupongeza sana kwa uchambuzi wako makini. Niongezee tu kidogo na Iile Operation Beeper iliwasaidia sana kuwashinda Magaidi wa Hezboullah kikubwa ni hiyo Pre-emptive strike iliwainua sana kwenye uwanja wa medani inasemekana Askari wa Israel kikosi maalumu( Special-Force kiliingia ndani ya Lebanon miezi 6 iliyopita kwa hiyo waliweza kuratibu vizuri wapi yalipo mahandaki ya Hezboullah ndiyo maana walipoingia rasmi hawakuhangaika sana maana walikuwa nayo Road-Map.
Nataka kusikia hiyo🤣🤣🤣
 
Hiyo vita labda wewe ndo waiona rahisi. Vita hii ni ngumu sana. Tofauti na Gaza hamas Hezbollah Wana makombora mazito mazito. Lakini pia vita hii ni ngumu kwasababu ya matumizi makubwa ya dronivita baina y pande mbili hizi.
Matumizi haya ya droni yamekuwa yakilimit Kwa kiasi kikubwa uwezo wa pande hizo kutumia mbinu mbalimbali za wazi za kimapigano yaani section, platoon nk
Mchambuzi yuko sawa kabisa upinzani tuliokuwa tuambwa na wapambe wa Hezboullah ulimalizwa na Pre-Emptives zilizofanyika Magaidi wa Hezboullah walikosa Mwelekeo waanzie wapi a wamalizie wapi hasa baada ya viongozi wao waandamizi kuuliwa kwa nyakati mbali mbali na Operation Beeper,walkie-talkie wenye Plan ya mapigano wali pokusa hawa askari wa chini hawakuwa na nyodo Tena hata waliochaguliwa Kuświka nyadhifa hizo hawakuwa na Plan walianza plan za kuungaunga tu kitu ambacho kimewafanya hata kiongozi wao kulomba tu CEASEFIRE . Tatizo linakuja kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu haju I kabisa huo Msamiati wa CEASEFIRE yeye anachojua ni kushusha kipondo kwa magaidi. Umeongelea Kuhusu Drones hizo hazina madhara sana huko mstari wa meble maana kikawaida Drones ni silaha za msaada (Support Weapons) kwa bahati nzuri Drones za Magaidi wa Hezbollah zinapiga nyuma ya mstari pigano tofauti na Drones za Israel zenyewe zinauwezo wa kupiga popote na wakati wowote.Kwa Ujumla Hezbollah wameonyesha wazi hawana uwezo kuni ili vishindo vya Majeshi ya Israel pamoja na kupigiwa sana chepuo na Aljazeera na PressTv uzuri wa vita hupati ushindi wa mezani ushindi hupatikana kwenye Uwanja wa vita Lengo la majeshi ya Israel ni kuwasukuma magaidi wa Hezbollah mpaka kwenye mto Litan swali je watafikia malengo yao hapo sasa ndipo yetu macho. Lakini kwa Kasi waliyonayo naamini wataweza kuwasukuma magaidi hao mpaka kwenye mto Litan na hapo sasa raia wote wa Israel walikuwa Kaskazini wanaweza Kurudi kwenye makazi yao bila shida maana watakuwa wako nje ya range ya makombola ya Hezboullah
 
Shabiki mandazi katika ubora wako...unashabikia wenzako kufa? Ngojea mabomu yaanze kushushwa hapo kwenu kyela wajomba zako waanze kufa km kuku ndio utatia akili!
Nyie kobazi ndio kawaida yenu ndugu zenu katika imani wakiua wayahudi ndio mnashabikia lakini wasio ndugu zenu wakiua magaidi ndugu zenu mnalia sana na kulalamika sana ni watoto na wanawake mara mnashabikia mauaji
 
Kwanini vita ya Hesbollah vs Israel vimekuwa virahisi kuliko ilivyo dhaniwa?
Kilichosababisha vita ya Gaza ikawa ngumu ni jambo moja tu: wale mateka wa Israel zaidi ya 200 waliotekwa na magaidi wa Hamas kufuatia ule uvamizi, mauaji na utekaji kwenye tamasha la watoto October 7, na kufichwa kwenye mashimo ya Gaza..

Illikuwa iDF wakitaka kuangamiza wote waliomo ndani ya mashimo ya Gaza kwa kuingiza gesi ya sumu, kujaza maji ya bahari au kulipua, ndugu za mateka na raia wanapinga sana. Bila mateka ile vita ingeisha kitambo sana
 
Israhell amekiuka taratibu na mashariti yote ya kimataifa ya vita, yeye anapiga hospitali, shule na kila sehemu anayohisi jamaa wamejificha, sheria za kimataifa za vita zinaelekeza hospitali, makazi ya raia, shule, kambi za wakimbizi hazirushiwi mabomu hata kama adui kajificha humo. Ukipiga bomu lazima utashtakiwa. Huyu paka tumpe muda tu siku marekani akinyoshwa hana pa kutorokea maana marekani siku zake zinahesabika na kikombe chake kimejaa pomoni. Tunamsubiri aingie tu kwenye mshono
 
Israhell amekiuka taratibu na mashariti yote ya kimataifa ya vita, yeye anapiga hospitali, shule na kila sehemu anayohisi jamaa wamejificha, sheria za kimataifa za vita zinaelekeza hospitali, makazi ya raia, shule, kambi za wakimbizi hazirushiwi mabomu hata kama adui kajificha humo. Ukipiga bomu lazima utashtakiwa.
UONGO,

Wahalifu ni magaidi wanaoweka kambi zao kwenye makazi ya raia, na mara nyingi iDF huwaambia raia kuhama kabla ya kushusha kipondo. Wanaokaidi maelekezo ni washirika na machawa wa magaidi au magaidi wenyewe.

Kwa mfano, Nasrallah na wenzake walipouliwa walikuwa ndani ya mahandaki eneo ambalo juu yake kulikuwa na maghorofa kadhaa ya apartments, makazi ya raia.

Hivi kama magaidi wanarusha maroketi na drones kutokea ndani ya misikiti, hospitali, makanisa, shule, nk unataka iDF watulie tu waendelee kupigwa?!

Hata wewe ukihifadhi ndani ya nyumba yako nyoka anayedhuru na kuua watu unafikiri utaachwa tu?
 
Yaani Ritz amekuwa source yako? 😂😂😂
 
Hii vita ngumu kuwahi kufanywa na Israeli kila siku lazima wapewe kichapo jamaa operation yao ya ardhini imeishia mipakani kudadeki
Mkuu, hivyo vifo ni calculated ili kufikia kiini cha Hezebolah. Gaza was the same. Ila kwa nguvu anayoitumia Israel, nakupa 2months Lebanon itakuwa shwari. Then, baba yao Iran ajiandae.
 
Mchambuzi yuko sawa kabisa upinzani tuliokuwa tuambwa na wapambe wa Hezboullah ulimalizwa na Pre-Emptives zilizofanyika Magaidi wa Hezboullah walikosa Mwelekeo waanzie wapi a wamalizie wapi hasa baada ya viongozi wao waandamizi kuuliwa kwa nyakati mbali mbali na Operation Beeper,walkie-talkie wenye Plan ya mapigano wali pokusa hawa askari wa chini hawakuwa na nyodo Tena hata waliochaguliwa Kuświka nyadhifa hizo hawakuwa na Plan walianza plan za kuungaunga tu kitu ambacho kimewafanya hata kiongozi wao kulomba tu CEASEFIRE . Tatizo linakuja kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu haju I kabisa huo Msamiati wa CEASEFIRE yeye anachojua ni kushusha kipondo kwa magaidi. Umeongelea Kuhusu Drones hizo hazina madhara sana huko mstari wa meble maana kikawaida Drones ni silaha za msaada (Support Weapons) kwa bahati nzuri Drones za Magaidi wa Hezbollah zinapiga nyuma ya mstari pigano tofauti na Drones za Israel zenyewe zinauwezo wa kupiga popote na wakati wowote.Kwa Ujumla Hezbollah wameonyesha wazi hawana uwezo kuni ili vishindo vya Majeshi ya Israel pamoja na kupigiwa sana chepuo na Aljazeera na PressTv uzuri wa vita hupati ushindi wa mezani ushindi hupatikana kwenye Uwanja wa vita Lengo la majeshi ya Israel ni kuwasukuma magaidi wa Hezbollah mpaka kwenye mto Litan swali je watafikia malengo yao hapo sasa ndipo yetu macho. Lakini kwa Kasi waliyonayo naamini wataweza kuwasukuma magaidi hao mpaka kwenye mto Litan na hapo sasa raia wote wa Israel walikuwa Kaskazini wanaweza Kurudi kwenye makazi yao bila shida maana watakuwa wako nje ya range ya makombola ya Hezboullah

Command ya Hizbollah imeshastabilize.
Sasa hivi Muisrael anapiga sites za raia tu ila kuingia ndani ya lebanon anapata kibano kikali.
 
Back
Top Bottom