SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huko CCM hakuna aliye msafi,wote wapigaji tu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diblo Dibala miyeyusho sana,watumishi wa Jiji Dar walipiga hela za parking,akawapa myda eti warudishe alafu leo anashangaa kibanda Cha mlinzi cha 11 milioni.
🤣🤣🤣 zipo kamba nyingi tu jamaa katupiga, ripoti ya mlipuko wa Lori la mafuta Morogoro na ripoti ya kuungua soko la kariakoo!Mkuu umesahau yule mtu aliyekutwa kajiunganishia bomba la mafuta akaunda na kamati, kisha akasema baada ya siku 7 atatoa taarifa kwa umma. Mpaka leo kimya.
Duh !! Eti futuhi 😅😅Nisamehe kaka sirudiii Tena nisamehewe mkuu wangu
Na imeondoa neno Magendo kwenye mazao ya kuuza Nje wakati mwenye mazao hasaidiwi na anayetumia neno magendo!Kauli ya Kinana iliwaondoa polisi barabarani, kauli ya nani itakuja kuondoa Tozo?
Ingawaje wanasiasa wanaleta siasa kwenye mambo ya msingi, kwenye maisha ya wananchi wao, lakini siyo wote wanaowadanganya kwa hizo siasa zao. Others can see directly their deceptions and read their minds. Iko wazi makusanyo ya mapato ya adhabu ya makosa ya barabarani kulikuwa kuna watu flani...www.jamiiforums.com
Bila kusahau angedili pia na wale wezi waliotajwa na CAGMajaliwa mwenyewe hapigani vita ya rushwa. Kama angekuwa anapigana vita hiyo angeanza na tenda ya vishikwambi ,akaenda kwenye kibanda cha milioni 13 wizara ya maji na akamlizia na kibanda cha milioni 11.
Kasimu anafanya futuhi ya rushwa tu
TAKUKURU ahiitaji kufumuliwa bali inahitaji kupewa uhuru. Yenyewe ndiyo ichunguze na ishitaki kwenye mahakama yake kwa kuombwa bila kulazimishwa ama kuamuliwa na Kila kiongozi!Takukuru ifumuliwe iundwe upyaaa! Kwasasa hamnakitu inafanya