Kwanini vita ya Urusi na Ukraine sio kali sana ila waliokufa ni wengi kuliko ya Israel na Hamas?

Kwanini vita ya Urusi na Ukraine sio kali sana ila waliokufa ni wengi kuliko ya Israel na Hamas?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hii imekaaje kaaje wakuu kwenye vyombo vya Habari tunaona mashambulizi baina ya Russia na Ukraine sio makali kivile yaani unakuta wanarusha bomu ila linaharibu tu upande wa jengo hatusikii takwimu za kutisha watu kufa ukilinganisha na vita ya Israel pale Gaza yaani ghorofa linapigwa kweli kuanzia chini Mpaka juu linaangushwa Kwa siku utasikia watu 2000 wamekufa kawaida kabisa.

Ila ukija kwenye takwimu zile official unakuta troops zaidi ya 500000 yaani laki tano na zaidi wamekufa Russia na Ukraine na zaidi ya watu million kujeruhiwa ila Israel pamoja na ukatili wake mauaji ya kimbari unakuta ni watu kama 30000 Mpaka sasa Kwa mujibu wa hamas wenyewe.

Hivyo nikataka nijue mbona takwimu ya Ukraine inashtua lakini katika vyombo vya Habari impact za mabomu yake ni kawaida Mara usikie bomu limerushwa sehemu wamekufa watatu Mara bomu limetupwa karibu na Kremlin ikulu huko Moscow na halijaua mtu yaani ni kama imekaa kuharibu tu miundombinu hivi.
 
Hii imekaaje kaaje wakuu kwenye vyombo vya Habari tunaona mashambulizi baina ya Russia na Ukraine sio makali kivile yaani unakuta wanarusha bomu ila linaharibu tu upande wa jengo hatusikii takwimu za kutisha watu kufa ukilinganisha na vita ya Israel pale Gaza yaani ghorofa linapigwa kweli kuanzia chini Mpaka juu linaangushwa Kwa siku utasikia watu 2000 wamekufa kawaida kabisa..

Ila ukija kwenye takwimu zile official unakuta troops zaidi ya 500000 yaani laki tano na zaidi wamekufa Russia na Ukraine na zaidi ya watu million kujeruhiwa ila Israel pamoja na ukatili wake mauaji ya kimbari unakuta ni watu kama 30000 Mpaka sasa Kwa mujibu wa hamas wenyewe..

Hivyo nikataka nijue mbona takwimu ya Ukraine inashtua lakini katika vyombo vya Habari impact za mabomu yake ni kawaida Mara usikie bomu limerushwa sehemu wamekufa watatu Mara bomu limetupwa karibu na Kremlin ikulu huko Moscow na halijaua mtu yaani ni kama imekaa kuharibu tu miundombinu Hivi.
Kule kwa sababu Ukraine wakiristo wengi NATO na UNO wanapiga kelele sana. Gaza waislam wengi ndio maana ikawa hivyo UNO wako kimya huku USA wakituma silaha
 
Hii imekaaje kaaje wakuu kwenye vyombo vya Habari tunaona mashambulizi baina ya Russia na Ukraine sio makali kivile yaani unakuta wanarusha bomu ila linaharibu tu upande wa jengo hatusikii takwimu za kutisha watu kufa ukilinganisha na vita ya Israel pale Gaza yaani ghorofa linapigwa kweli kuanzia chini Mpaka juu linaangushwa Kwa siku utasikia watu 2000 wamekufa kawaida kabisa..



ILa ukija kwenye takwimu zile official unakuta troops zaidi ya 500000 yaani laki tano na zaidi wamekufa Russia na Ukraine na zaidi ya watu million kujeruhiwa ila Israel pamoja na ukatili wake mauaji ya kimbari unakuta ni watu kama 30000 Mpaka sasa Kwa mujibu wa hamas wenyewe..



Hivyo nikataka nijue mbona takwimu ya Ukraine inashtua lakini katika vyombo vya Habari impact za mabomu yake ni kawaida Mara usikie bomu limerushwa sehemu wamekufa watatu Mara bomu limetupwa karibu na Kremlin ikulu huko Moscow na halijaua mtu yaani ni kama imekaa kuharibu tu miundombinu Hivi.
IDF ni jeshi lenye nidhamu a weledi ktk medani linoloheshimu Usalama wa raia japo Hamas wanawatumia kama Kinga Yao ndio maana unaona waliokufa wengi ni magaidi kuliko raia.

Hata hivyo IDF vs Hamas sio vita bali mmoja ameamua kumkuna vilivyo mwenzake baada ya kuona anawashwa washwa mda mrefu Ila hapo kwenye ukali Russia vs Ukraine ni vita kubwa na kali mno.
 
IDF ni jeshi lenye nidhamu a weledi ktk medani linoloheshimu Usalama wa raia japo Hamas wanawatumia kama Kinga Yao ndio maana unaona waliokufa wengi ni magaidi kuliko raia.

Hata hivyo IDF vs Hamas sio vita bali mmoja ameamua kumkuna vilivyo mwenzake baada ya kuona anawashwa washwa mda mrefu Ila hapo kwenye ukali Russia vs Ukraine ni vita kubwa na kali mno.
Gaza waislam , Ukraine. Wakiristo ndio jibu sahihi
 
IDF ni jeshi lenye nidhamu a weledi ktk medani linoloheshimu Usalama wa raia japo Hamas wanawatumia kama Kinga Yao ndio maana unaona waliokufa wengi ni magaidi kuliko raia.

Hata hivyo IDF vs Hamas sio vita bali mmoja ameamua kumkuna vilivyo mwenzake baada ya kuona anawashwa washwa mda mrefu Ila hapo kwenye ukali Russia vs Ukraine ni vita kubwa na kali mno.
Huna akili tofauti ya vita ya Ukraine na gaza ni kwamba kwenye vita ya Ukraine ,wengi ya walio kufa ni wanajeshi wa nchi zote mbili wakati upande wa vita ya gaza wengi ya walio uawa ni raia wa kawaida.
 
Tofauti ya vita ya Ukraine na Gaza ni kuwa ,vita ya Ukraine na Urusi asilimia 93 ya waiokufa na kujeruhiwa kwenye vita hiyo ni wana jeshi wa nchi hizo na hivi ndivyo vita inavyo takiwa kupiganwa kwa mujibu wa sheria za vita.

Wakati vita ya Israel na Hamas asilimia 95 ya walio kufa na kujeruhiwa ni raia wa kawaida hii inaonesha kuwa wanao pigana hawana weledi wowote kwenye hiyo vita.
 
Tukiwaambia kuwa huwa mnapewa matango pori huwa mnadhani tunawabishia. Hizo takwimu zao za uongo uongo za kupika hazinaga mbele wala nyuma.
 
Huna akili tofauti ya vita ya Ukraine na gaza ni kwamba kwenye vita ya Ukraine ,wengi ya walio kufa ni wanajeshi wa nchi zote mbili wakati upande wa vita ya gaza wengi ya walio uawa ni raia wa kawaida.
Hamas wenyewe ni raia according to Health Minister wa Hamas... Ndio maana hata uvamizi kule raia walikuwa kibao, wanaoshika magobore na bazooka ni raia pia... so Israel anapigana kwa akili kubwa kuokoa raia.. Hamas wanauwa raia wao wenyewe wakihisi tu msaliti no time ya mahakama wanakukill tu.. hata yule Kiongozi wa koo aliyekubali kusaidia kugawa misaada wamemuua kisha wakamuweka kwenye orodha ya Raia wa Gaza waliouliwa na Israel. Muslim kwa Taqiyya ni noma
 
Hii imekaaje kaaje wakuu kwenye vyombo vya Habari tunaona mashambulizi baina ya Russia na Ukraine sio makali kivile yaani unakuta wanarusha bomu ila linaharibu tu upande wa jengo hatusikii takwimu za kutisha watu kufa ukilinganisha na vita ya Israel pale Gaza yaani ghorofa linapigwa kweli kuanzia chini Mpaka juu linaangushwa Kwa siku utasikia watu 2000 wamekufa kawaida kabisa.
Israel haangushi jengo bila tahadhari Worning Shot watu watoke mjengoni, walichekwa sana wakataka kuacha, Kuna wakati Hamas walisema Israel asipotoa worning shot kabla hajaangusha jengo watakuwa wanaua mateka mmoja mmoja, ndio Jeshi pakee la kushangaza kwa huruma... yaani kama Askari wa Zenji Yakhe naja njoo kituoni kesho kuna mtu amekushitaki sawa ukija kituoni unitafute naweza kuwa nimeenda kula urojo forodhani utanisubiri tu.. Inshallah nitarejea

Ila ukija kwenye takwimu zile official unakuta troops zaidi ya 500000 yaani laki tano na zaidi wamekufa Russia na Ukraine na zaidi ya watu million kujeruhiwa ila Israel pamoja na ukatili wake mauaji ya kimbari unakuta ni watu kama 30000 Mpaka sasa Kwa mujibu wa hamas wenyewe.

Hivyo nikataka nijue mbona takwimu ya Ukraine inashtua lakini katika vyombo vya Habari impact za mabomu yake ni kawaida Mara usikie bomu limerushwa sehemu wamekufa watatu Mara bomu limetupwa karibu na Kremlin ikulu huko Moscow na halijaua mtu yaani ni kama imekaa kuharibu tu miundombinu hivi.
 
Hamas wenyewe ni raia according to Health Minister wa Hamas... Ndio maana hata uvamizi kule raia walikuwa kibao, wanaoshika magobore na bazooka ni raia pia... so Israel anapigana kwa akili kubwa kuokoa raia.. Hamas wanauwa raia wao wenyewe wakihisi tu msaliti no time ya mahakama wanakukill tu.. hata yule Kiongozi wa koo aliyekubali kusaidia kugawa misaada wamemuua kisha wakamuweka kwenye orodha ya Raia wa Gaza waliouliwa na Israel. Muslim kwa Taqiyya ni noma
Itoshe kusema kuwa huna akili.
 
I mean kwenye media we unaona majengo yakiangushwa na watu kuangukiwa live live kama ilivyo Ukraine au Russia
Kiwango cha siraha na wanajeshi ambao wamesha tumika ndani ya vita ya Ukraine kingekuwa ndo kimetumika kwenye vita ya Israel na Hamas wenda gaza na Israel kwa ujumla zingekuwa zimeangamia kabisa na kufutika kwenye uso wa dunia.
 
Urusi inafanya smo na inapiga kwenye vituko vya kijeshi na miundo mbinu na wanajeshi wakati kule Gaza Israel na Hamas wanashamnilia Kila sehemu ikiwemo maeneo ya raia.
 
Huna akili tofauti ya vita ya Ukraine na gaza ni kwamba kwenye vita ya Ukraine ,wengi ya walio kufa ni wanajeshi wa nchi zote mbili wakati upande wa vita ya gaza wengi ya walio uawa ni raia wa kawaida.
Wengi ni magaidi
 
Takwim halisi itapatikana baada ya vita kuisha mzee. We tulia
Vita ikiisha taasisi huru zitaingia kukusanya data hadi shimoni

Kila kitu kitakua wazi
 
Back
Top Bottom