Kwanini vitabu vya historia vinadanganya waarabu walichukua watumwa wa kiafrika, mbona hakuna Waafrika waliobaki nchi za kiarabu kama Marekani?

Kwanini vitabu vya historia vinadanganya waarabu walichukua watumwa wa kiafrika, mbona hakuna Waafrika waliobaki nchi za kiarabu kama Marekani?

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika.

Hata waafrika wengi unaowakuta nchi za kiarabu ni wale waliohamia kikazi, biashara, n.k. na wengine wana wajukuu tayari.

Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo?

LAKINI UPANDE UNAONICHANGANYA ni kwamba Quran imekiri tangu enzi za mtume Muhammad kulikuwa na watumwa weusi mmoja wao akiitwa bilal ibn rabah, hapa nashindwa kuelewa inakuwaje hawakuendeleza kizazi.
 
Walihasiwa ! Hawa Wajomba wa 100 walizaliwa na Wadada wa Kiafrika waliobakwa na Waarabu!
 
Unawajua ma eunuchs
Ndio najua, ni wafanyakazi waliokuwa wanatolewa vizazi ili kufanya kazi kwenye makasri ya wafalme kwa sababu ya kuwazuia kufanya mapenzi na mabinti ama wake za waafalme
 
Waarabu nikatili na wabaguzi, waafrica wengi walihasiwa ili wasisambaze mbegu za watu weusi huko Asia, hata ikatokea mwafrika mwanamke kubeba mimba ya mwarabu habari ya maisha yake iliishia hapo.
 
Mbona arabuni watu weusi wapo kibao ,
1713708806001.jpg
angalia ata timu za taifa za arabuni wamejaza wachezaji weusi.
 
1713708806001.jpg

Huyo no 18 namba 13 ni matokea ya kuzaliana waarabu na black.
 
Watumwa wote waliouzwa uarabuni walihasiwa.

Waarabu ni watu wabinafsi saana.
 
Unawajua ma eunuchs
Tunahitaji kuwaelimisha watu wengi waelewe madhara ya utumwa kwa undani zaidi.
Waarabu waliwahasi watumwa (kizazi hakikuendelea, mbaya zaidi kuliko maeneo mengine)
Wengi bado hawako huru kifikra kwa sababu za uelewa au asili tu ya kujipendekeza na kujitoa (submissive behavior). Loyalty ya wanyama kama mbwa ni tofauti na ya mwanadamu. Ni watu weusi wenye fikra ndogo kama wanyama wafugwao pekee, wanaoweza kukubaliana na kuwasamehe walioendesha utumwa enzi hizo.
Tabia hii ndiyo msingi mkuu wa umasikini wa watu weusi.
 
Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika

Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
Saudi arabia wapo kibao tena wana miji yao wanaishi kivyao na biashara yao kubwa ni ufugaji na kilimo cha tende....kuwait na kwenyewe wapo wengi mno
 
Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika

Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
Hukufundishwa historia vizuri wewe! Nani alikwambia kwamba walikuwa wanachukua watumwa kuwapeleka Uarabuni?
 
Back
Top Bottom