Kwanini vitabu vya historia vinadanganya waarabu walichukua watumwa wa kiafrika, mbona hakuna Waafrika waliobaki nchi za kiarabu kama Marekani?

Kwanini vitabu vya historia vinadanganya waarabu walichukua watumwa wa kiafrika, mbona hakuna Waafrika waliobaki nchi za kiarabu kama Marekani?

Watumwa wote waliouzwa uarabuni walihasiwa.

Waarabu ni watu wabinafsi saana.
 
Tusichanganye mambo, kumuona mwafrika uarabuni sikuhizi ni kawaida, sheria zinaruhusu kuhamia huenda wazazi wao walihamia baada ya utumwa.

Je, Hao walikuwa na babu zao waliotumikishwa huko uarabuni ?
Tangu enzi ya mtume Muhammad kulikua na watu weusi mmoja wao katika swahiba zake aliitwa bilal ibn rabah
 
H
Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika

Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
Labda walikuwa wanaume tu au kama na wanawake walikuwepo hawakuruhusiwa kuoana
 
utetezi wa ajabu,Hilo soko la wazungu kununua watumwa huko uarabuni lilikuwa wapi?kama walikuwa madalali Kwa Nini wawahasi hao watumwa
Soko kuu la watumwa huko Uarabuni liliitwa Souq al-Silah.
 
Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika

Hata waafrika wengi unaowakuta nchi za kiarabu ni wale waliohamia kikazi, biashara, n.k. na wengine wana wajukuu tayari

Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
BAADHI WALI HASIWA KWA WANAUMEE.....................FIKIRIAAA UNA KATWA PUMBU MZEEEE



ILA DAH HUKUNA KITU KIBAYA KAMA HISTORIA MAANAUNAWEZA IFUTA KAMA IKIWA YA KUTISHA ...TULICHOFUNDISHWA NI TOFAUTI NA UKWELI WALIO UFUTA WAO WENYEWE HAO WAARABU
 
Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika

Hata waafrika wengi unaowakuta nchi za kiarabu ni wale waliohamia kikazi, biashara, n.k. na wengine wana wajukuu tayari

Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
Kwani historian inaelezea kuwa waarabu walichukua watumwa au waliingia kutawala waafrica ?
 
Itakuwa waliua wote...maana hawa watu🙌🏿
 
Tembeeni muone msisikilize story za vijiweni , watu weusi wako wengi tu kwenye miji ya Dammam na Jeddah Saudi Arabia na ni 10% ya population. Wakati USA watu weusi ni 13% tu.
 
Waarabu walikuwa wanahasi wanaume weusi km wafugaji wanavyohasi mifugo

Waarabu ni zaidi ya mashetani
 
Ivi kwann amerika kusini nchi nyingi zina ma black kama vile brazil venezuela uruguay ila Argentina huwez kuta black hata mmoja kwenye ile nchi nishawah fika kule yaan hata black mmoja labda uende kikazi tu
 
Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika

Hata waafrika wengi unaowakuta nchi za kiarabu ni wale waliohamia kikazi, biashara, n.k. na wengine wana wajukuu tayari

Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?

LAKINI UPANDE UNAONICHANGANYA ni kwamba Quran imekiri tangu enzi za mtume Muhammad kulikua na watumwa weusi mmoja wao akiitwa bilal ibn rabah, hapa nashindwa kuelewa inakuwaje hawakuendeleza kizazi
Walitolewa korodani wakapoteza nguvu za kiume 😆
 
Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika

Hata waafrika wengi unaowakuta nchi za kiarabu ni wale waliohamia kikazi, biashara, n.k. na wengine wana wajukuu tayari

Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?

LAKINI UPANDE UNAONICHANGANYA ni kwamba Quran imekiri tangu enzi za mtume Muhammad kulikua na watumwa weusi mmoja wao akiitwa bilal ibn rabah, hapa nashindwa kuelewa inakuwaje hawakuendeleza kizazi
Mwarabu alikuwa ananyonga usije ukazaa haramu.
 
Waarabu wamelaaniwa kiasili na ndiyo maana waliwatendea waafrika unyama wa aina hiyo.Waarabu wote waliohusika kwenye unyama huo ni makafiri.
 
Back
Top Bottom