Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu enzi ya mtume Muhammad kulikua na watu weusi mmoja wao katika swahiba zake aliitwa bilal ibn rabahTusichanganye mambo, kumuona mwafrika uarabuni sikuhizi ni kawaida, sheria zinaruhusu kuhamia huenda wazazi wao walihamia baada ya utumwa.
Je, Hao walikuwa na babu zao waliotumikishwa huko uarabuni ?
waliwaasi=waliwahasi; shida ya shule zetu tena kubwa kwa sasa.Mwarabu alikuwa ni kama dalali tu wawazungu lakini pia inasemekana ni waliwaasi ili wasizaliane
Kuna ngozi nyeusi zipo uarabuni kitambo Bc.Walizaliwa baada ya utumwa na wengine walihamia kutokana na mapinduzi.
Labda walikuwa wanaume tu au kama na wanawake walikuwepo hawakuruhusiwa kuoanaSioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika
Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
Umemaliza hoja yote.Mwarabu alikuwa ni kama dalali tu wawazungu lakini pia inasemekana ni waliwaasi ili wasizaliane
Zaweza kuwepo, siyo uarabuni tu, hata sehemu nyingine, lakini siyo significant.Kuna ngozi nyeusi zipo uarabuni kitambo Bc.
utetezi wa ajabu,Hilo soko la wazungu kununua watumwa huko uarabuni lilikuwa wapi?kama walikuwa madalali Kwa Nini wawahasi hao watumwaMwarabu alikuwa ni kama dalali tu wawazungu lakini pia inasemekana ni waliwaasi ili wasizaliane
Mwarabu ***** kwanza, nilisoma history na mateso wanaopitiaga dada zetu wakienda kule.utetezi wa ajabu,Hilo soko la wazungu kununua watumwa huko uarabuni lilikuwa wapi?kama walikuwa madalali Kwa Nini wawahasi hao watumwa
Soko kuu la watumwa huko Uarabuni liliitwa Souq al-Silah.utetezi wa ajabu,Hilo soko la wazungu kununua watumwa huko uarabuni lilikuwa wapi?kama walikuwa madalali Kwa Nini wawahasi hao watumwa
BAADHI WALI HASIWA KWA WANAUMEE.....................FIKIRIAAA UNA KATWA PUMBU MZEEEESioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika
Hata waafrika wengi unaowakuta nchi za kiarabu ni wale waliohamia kikazi, biashara, n.k. na wengine wana wajukuu tayari
Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
Kwani historian inaelezea kuwa waarabu walichukua watumwa au waliingia kutawala waafrica ?Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika
Hata waafrika wengi unaowakuta nchi za kiarabu ni wale waliohamia kikazi, biashara, n.k. na wengine wana wajukuu tayari
Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
Walitolewa korodani wakapoteza nguvu za kiume 😆Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika
Hata waafrika wengi unaowakuta nchi za kiarabu ni wale waliohamia kikazi, biashara, n.k. na wengine wana wajukuu tayari
Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
LAKINI UPANDE UNAONICHANGANYA ni kwamba Quran imekiri tangu enzi za mtume Muhammad kulikua na watumwa weusi mmoja wao akiitwa bilal ibn rabah, hapa nashindwa kuelewa inakuwaje hawakuendeleza kizazi
Mwarabu alikuwa ananyonga usije ukazaa haramu.Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika
Hata waafrika wengi unaowakuta nchi za kiarabu ni wale waliohamia kikazi, biashara, n.k. na wengine wana wajukuu tayari
Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
LAKINI UPANDE UNAONICHANGANYA ni kwamba Quran imekiri tangu enzi za mtume Muhammad kulikua na watumwa weusi mmoja wao akiitwa bilal ibn rabah, hapa nashindwa kuelewa inakuwaje hawakuendeleza kizazi