Ndio najua, ni wafanyakazi waliokuwa wanatolewa vizazi ili kufanya kazi kwenye makasri ya wafalme kwa sababu ya kuwazuia kufanya mapenzi na mabinti ama wake za waafalmeUnawajua ma eunuchs
Taifa gani hiloView attachment 2970121
Huyo no 18 namba 13 ni matokea ya kuzaliana waarabu na black.
Tusichanganye mambo, Kuna waafrika wengi uarabuni lakini wamehamia uarabuni miaka ya kuanzia 1970s, wengine wana wajukuu.View attachment 2970121
Huyo no 18 namba 13 ni matokea ya kuzaliana waarabu na black.
Tunahitaji kuwaelimisha watu wengi waelewe madhara ya utumwa kwa undani zaidi.Unawajua ma eunuchs
Saudi arabia wapo kibao tena wana miji yao wanaishi kivyao na biashara yao kubwa ni ufugaji na kilimo cha tende....kuwait na kwenyewe wapo wengi mnoSioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika
Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
Hukufundishwa historia vizuri wewe! Nani alikwambia kwamba walikuwa wanachukua watumwa kuwapeleka Uarabuni?Sioni hoja yenye nguvu kuthibitisha hili maana nao watumwa walikuwa watu wenye viungo vya uzazi vya kuendeleza vizazi vya waafrika
Mfano Marekani, Brazil, n.k. tunaona waafrika waliobaki, kwanini nchi za kiarabu hawapo ?
Saudi Arabia 🇸🇦Taifa gani hilo
Walizaliwa baada ya utumwa na wengine walihamia kutokana na mapinduzi.Walihasiwa ! Hawa Wajomba wa 100 walizaliwa na Wadada wa Kiafrika waliobakwa na Waarabu!
Walizaliwa baada ya utumwa na wengine walihamia kutokana na mapinduzi.Walihasiwa ! Hawa Wajomba wa 100 walizaliwa na Wadada wa Kiafrika waliobakwa na Waarabu!
Walizaliwa baada ya utumwa na wengine walihamia kutokana na mapinduzi.Walihasiwa ! Hawa Wajomba wa 100 walizaliwa na Wadada wa Kiafrika waliobakwa na Waarabu!