Tatizo ni kuvisoma ukiwa mtu mzima.Nirudi kwenye mada kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimesoma baadhi ya vitabu vya Kiswahili vya kizamani kama Alfu Lela Ulela, Hekaya za Bunuasi, Safari ya Bulicheka na Mkewe, Alibaba na Wezi 40, Kusadikika na vingine vingi lakini kiukweli nimeshindwa kuvielewa naona kama maudhui yake si ya mtu mzima!
Nimesoma vingi sana baada ya miaka mingi kuona humu JF watu wakivisifisia sana. Hivi vitabu au vimelenga wazee? Au me ndo akili ndogo?
Havijanivutia kabisa yaan ni vitabu vya kitoto
utakuwa siyo mlengwa- ama utakuwa juu au chini ya umri lengwaNirudi kwenye mada kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimesoma baadhi ya vitabu vya Kiswahili vya kizamani kama Alfu Lela Ulela, Hekaya za Bunuasi, Safari ya Bulicheka na Mkewe, Alibaba na Wezi 40, Kusadikika na vingine vingi lakini kiukweli nimeshindwa kuvielewa naona kama maudhui yake si ya mtu mzima!
Nimesoma vingi sana baada ya miaka mingi kuona humu JF watu wakivisifisia sana. Hivi vitabu au vimelenga wazee? Au me ndo akili ndogo?
Havijanivutia kabisa yaan ni vitabu vya kitoto
We uliyevisoma ukubwani ndiye unaleta ujuaji. Mi nina app inavitabu hivyo vyote, so huo uhakika wako kuwa sijasoma... Watu wanajua kuwa ni vya watoto, wanavipenda sababu ya kuwakumbusha mbali. BTW naomba uinstall app. Kuna vitabu vya aina mbalimbali. Kwa vitabu serious napendekeza usome Kiongozi, Sanaa ya vita na Tajiri wa Babeli. Kusoma ni free.Nina uhakika haujasoma kitabu chochote ww ila unaleta ujuaji tu, hivo vitabu ni vya kitoto mno
Nakitafuta sana hicho cha Yohana mjinga na utiivu wake. Una access nacho?Nimesoma hivyo vitabu. Na kile cha Yahana mjinga.
Kiwavi na sungura hahahaha. Mimi ni jini kuu la bahari 7, naweza kumpiga ndovu kwa kidole kimoja na kumsagasaga kifaru kwa unyayo wangu. Kiwavi akimchimba beat simba
Sina mkuu.Nakitafuta sana hicho cha Yohana mjinga na utiivu wake. Una access nacho?
Mwenye soft copy ya hivi vitabu naomba anisaidie navyo wadauuuNirudi kwenye mada kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimesoma baadhi ya vitabu vya Kiswahili vya kizamani kama Alfu Lela Ulela, Hekaya za Bunuasi, Safari ya Bulicheka na Mkewe, Alibaba na Wezi 40, Kusadikika na vingine vingi lakini kiukweli nimeshindwa kuvielewa naona kama maudhui yake si ya mtu mzima!
Nimesoma vingi sana baada ya miaka mingi kuona humu JF watu wakivisifisia sana. Hivi vitabu au vimelenga wazee? Au me ndo akili ndogo?
Havijanivutia kabisa yaan ni vitabu vya kitoto
Roho chafu kaziniMmmmh na kile kinachosema Mtu alikufa na kufufuka siku ya tatu je?
Mikate mitano kula watu elfu Tano!
Mtu kutembea Juu ya maji!
Fimbo kugawanyisha bahari!
NK nk
Kile Cha ukifa kama ulikua mwema unaenda Peponi kupata mabikra 72 wa kugegeda na kuogolea kwenye mito ya pombe na kunywa asali na maziwa
Ni vya watu wazima vile?
Vitabu vingi vya Zamani vumejaa hekaya za kitoto Sana ila still Kuna mpaka Wasomi grade one wanaviamini na kuita Imani what a joke!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91]
umepanic Pastor uchwara,ukweli unauma eeeRoho chafu kazini
Aidha hicho cha 'Someni kwa furaha' cha kwanza, au cha pili kile chenye ushairi wa 'Mgeni siku ya kwanza..... mpaka siku ya kumi'"Paulo usije kucheza na sisi una mikono michafu........" Hii si ipo ndani ya kitabu cha Bulicheka na Lizabeti?
Hiyo app ninayo mbonaWe uliyevisoma ukubwani ndiye unaleta ujuaji. Mi nina app inavitabu hivyo vyote, so huo uhakika wako kuwa sijasoma... Watu wanajua kuwa ni vya watoto, wanavipenda sababu ya kuwakumbusha mbali. BTW naomba uinstall app. Kuna vitabu vya aina mbalimbali. Kwa vitabu serious napendekeza usome Kiongozi, Sanaa ya vita na Tajiri wa Babeli. Kusoma ni free.
View attachment 2128929
Jaribu kuweka yaliyoandikwa kwenye vitabu hivyo kwenye matendo halafu uje useme ni vya kitotoNirudi kwenye mada kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimesoma baadhi ya vitabu vya Kiswahili vya kizamani kama Alfu Lela Ulela, Hekaya za Bunuasi, Safari ya Bulicheka na Mkewe, Alibaba na Wezi 40, Kusadikika na vingine vingi lakini kiukweli nimeshindwa kuvielewa naona kama maudhui yake si ya mtu mzima!
Nimesoma vingi sana baada ya miaka mingi kuona humu JF watu wakivisifisia sana. Hivi vitabu au vimelenga wazee? Au me ndo akili ndogo?
Havijanivutia kabisa yaan ni vitabu vya kitoto
mkuu please muombe huyo jamaa msamaha, haumjui tuNina uhakika haujasoma kitabu chochote ww ila unaleta ujuaji tu, hivo vitabu ni vya kitoto mno
sasa unamjua mwenye hiyo app??Hiyo app ninayo mbonaView attachment 2129913
Nenda playstore kuna app inaitwa maktaba utavikuta humo vyote.Mwenye soft copy ya hivi vitabu naomba anisaidie navyo wadauuu