Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyamaza ufiche ujinga wakoVyombo gan unazungumza wewe kwan umejuaje kuna maandamano kama hukupewa taarifa ,embu tuachen unafk wa kishamba tuambie wewe taarifa ulipata wap?
Aibu maana wanajifanyaga maisha kwao ni super 😆😆Maandamano yanaendelea nchi kama Italy, France na Germany kupinga hali ngumu ya maisha pamoja na NATO, nastaajabu kuona habari hizi hazipewi headline, kwanini ?
Maandamano yanaendelea nchi kama Italy, France na Germany kupinga hali ngumu ya maisha pamoja na NATO, nastaajabu kuona habari hizi hazipewi headline, kwanini ?
Huyo James Melville anazungumzia media zipi? Hajazitaja!Hali si Hali Ulaya nzima kutokana na maandamano ya mara Kwa mara kutokana na Hali ngumu ya maisha na mfumuko mkubwa wa bei za Nishati na vyakula..
Kutokana na hilo , vyombo vya Habari vya Magharibi vinaona aibu kufanya coverage huku vikijitahidi kuficha uhalisia wa Hali mbaya za maisha huko kwao wanakojifanyaga wameendelea..
Kuna Maandamano kwenye Nchi zaidi ya 10 huku waandamanaji wakitaka Serikali zao zing'oke..
Afrika itaendelea kuwa Nchi ya ahadi hadi Wazungu waombe poo.👇
Maandamano yanaendelea nchi kama Italy, France na Germany kupinga hali ngumu ya maisha pamoja na NATO, nastaajabu kuona habari hizi hazipewi headline, kwanini ?
Kuna watu hawajui kuwa katika nchi kama za Umoja wa Ulaya, maandamano ni haki ya msingi sana ya kiraia na haki hiyo inalindwa na kuheshimiwa sana.mscow waliandamana zaid 2000 wakawekwa ndani.
beijing waliandamana 300+ ndani
irani wameandamana 50+ unarmed died
ulaya watu wanapewa fursa ya kupaza saut zao kueleza hisia zao
sio habari kubwa kuskia maandamano ulaya ndomana hazitangazwi kwa mbwenbwe had ukute bbc wanaweka kambi kabisa eneo la tukio.
mfano
maandamano ya haki kutoa mimba usa
maandamano ya vikwazo vya covid ufaransa
nk. hutaskia violence yoyote.
Aisee! Kumbe!Mtoa mada alitaka maandamano yaonyeshwe TBC
si ndio😂Aisee! Kumbe!
Kuna watu hawajui kuwa katika nchi kama za Umoja wa Ulaya, maandamano ni haki ya msingi sana ya kiraia na haki hiyo inalindwa na kuheshimiwa sana.
Kuna wakati maandamano huwa kama burudani tu, watu wakijumuika na kufahamiana. Vyombo vya dola hutoa ulinzi full-time.
Huwezi kufananisha na zile nchi ambazo maandamano dhidi ya serikali ni haramu, uhaini n.k.