Kwanini vyombo vya habari vya Magharibi havitangazi maandamano yanayoendelea nchi nyingi za Ulaya?

Kwanini vyombo vya habari vya Magharibi havitangazi maandamano yanayoendelea nchi nyingi za Ulaya?

Kuna watu hawajui kuwa katika nchi kama za Umoja wa Ulaya, maandamano ni haki ya msingi sana ya kiraia na haki hiyo inalindwa na kuheshimiwa sana.

Kuna wakati maandamano huwa kama burudani tu, watu wakijumuika na kufahamiana. Vyombo vya dola hutoa ulinzi full-time.

Huwezi kufananisha na zile nchi ambazo maandamano dhidi ya serikali ni haramu, uhaini n.k.
Fine,basi wayatangaze,sio wakomae na Iran tu,pia wewe ni mpumbavu sana
 
Back
Top Bottom