Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajisikiaje unaingia toi unakuta dadako anakata gogo au lets say mkubwa zaidi yako?? Wa jinsia tofautiKwa nini vyoo vya umma vya watu wazima huwa vinatengewa kwa jinsia ya Wanawake(KE) na Wanaume(ME)?
Kuna tatizo gani kwa wanaume na wanawake kutumia choo kimoja?
Kwa nini vyoo havitenganishwi vya watoto na watu wazima?
Hii kitu ni worldwideUtamaduni Wetu Ni Kutenga
Ustaarabu, kujisitiri n.k ndio sababu kubwaKwa nini vyoo vya umma vya watu wazima huwa vinatengewa kwa jinsia ya Wanawake(KE) na Wanaume(ME)?
Kuna tatizo gani kwa wanaume na wanawake kutumia choo kimoja?
Kwa nini vyoo havitenganishwi vya watoto na watu wazima?
Duuuh! Ila ndiyo hivyo tumetofautiana akili na uelewa,CCM hoyeeKwa nini vyoo vya umma vya watu wazima huwa vinatengewa kwa jinsia ya Wanawake(KE) na Wanaume(ME)?
Kuna tatizo gani kwa wanaume na wanawake kutumia choo kimoja?
Kwa nini vyoo havitenganishwi vya watoto na watu wazima?