Kwanini waafrika na watu weusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kustaarabika?

Sasa kama tunaamini mbna hatukuweza kwenda kuwa tawala wao mkuu isitoshe hata hao wahind walitawaliwa pia tna miaka mingi kuliko ata sisi
Tatizo kubwa sisi ni dini imetufanya tudharau elimu sasa mfano tu watu wa pwani ujanja ujanja mwingi hawataki kupeleka watoto shule sababu wasome dini leo hii ww angali makabila yaliyo pambana kupata elimu ndo wako juu hata kimaendeleo.Wazungu walisha jua kabisa kama mkitaka kuanza kuundelea ama kujitambua mnaletewa wafia dini nchi yenu ina kua haikaliki.Ww angalia migogoro mingi africa ni dini na ukabila yaan ukabilia na dini tukiweza kuvipiga vita africa itakua bara lenye maendeleo makubwa sana.Wahindi kuwatenga kidini na wachina imekua ngumu maana wamesimamia wanacho kiamini ila sisi tuliwaamini hawa ndo hapo tulipo potea.
 
Waafrika hawajawahi kutembea kwenda kutafuta makoloni nchi za mbali na hivyo mtazamo wetu wa kidunia ni wa "kishamba'', nikiwa na maana kuwa tuna mtizamo tofauti kukabiliana na changamoto tofauti na nchi za ulaya, marekani ya kaskazini, bara arabu, Asia na mashariki ya mbali (China, Korea, Japan n.k).

Ikiwa hatuwezi kugeuza mawe-miamba kuwa hata masufuriya mengi ya chuma ya kupikia chakula tu hatuwezi kweli tutaweza kugeuza jiwe liwe injini ya kuendesha mitambo ktk kiwanda kidogo cha hata kuchonga mapanga na visu!

Pili akili zetu zimevurugwa kwa kukumbatia imani za kuja na kukubali 'unyonge' kwa vile vitabu vya imani ya kuja vinatuambia kuwa mnyonge au mtu masikini ni rahisi kuingia mbinguni au kuiona pepo kuliko tajiri.

Waafrika kutumia nguvu kubwa kutaka kuishi kama watu wa mabara ya ulaya na arabuni badala ya kutumia nguvu hiyo kubadilisha maliasili kibao walizonazo Afrika kuwa vitu ili ziwawezeshe kupambana na mazingira yao kwa weledi zaidi ili kupata maendeleo ya watu.

Wanasiasa wetu uchwara nao wanasisitiza tubakie ktk unyonge kwa kuwa manamba tena ktk mashamba yetu wenyewe vijijini kama wakulima wadogo na tukikimbia kutoka mashambani tuwe machinga mijini.

Wasomi wetu nao ni watu wa kukariri siyo watu wa kukusanya ufahamu na ndiyo maana huoni midahalo ya kisomi kuhusu uchumi, biashara, utabibu, mawasiliano, geopolitics n.k Wasomi wanasisitiza niamini mimi bila kudadisi kuhoji au kugonganisha fikra bali maamuma niamini miye kwa vile ni msomi na mwenye madaraka hivyo msomi au mwenye mamlaka au kuota mvi au mzee aliyekula chumvi ndiye ajuae kweli siku zote.
 

Acha ujinga kijana, Matatizo yetu unalaumu wengine, Typical African mentality
 

....makuzi ya mtu au eneo & mahali alipotokea. Mtu ukiamua kuwa mstaarabu unaweza tena sana yaan. Mda mwingine naona tunajitoa ufahamu tu, Vijana tunashinda kitaani na vijiweni ku-discuss mambo yasiyo na tija na ikitokea tumepata Pesa kidogo ni bata na starehe. So Mimi naamini ni mtu mwenyewe kuji-tune kujua ana malengo gani na afanye nini ili ayafikie. Pia na hizi serikali zetu zinapaswa kuandaa sera na mipango ya kuinua Vijana kuwaonyesha fursa, kuwasaidia kuwapa mikopo nafuu na kuwatengenezea mifumo bora ya ajira na ya kijiajiri tujitegemee tuache kukaa vijiweni.
Tujitambue[emoji1488]
 
Vipi kuhusu Haiti iliyopata uhuru mwaka 1804?
 
Haya umeshajua unachezewa rafu ni jitihada gani umefanya au unafanya kujikwamua hapo ulipo

Tatzo la waafrika akili ndogo hatuitaji kutafuta mtu wa kumtupia lawama
 
Kama Ndugai uwezo wake wa kufikiri ni kiduchu sana kwa kweli.
 
Kweli kabisa
 
Dini
Wametumia dini kuwaaminsha wao ni bora na tatizo au chochote kile wewe mwachie mungu.

Elimu.
Mnafundishwa jinsi mababu zenu walivyokuwa wajinga na kufanywa watumwa.
Hii inakubrainwash usijiamini na uamini wewe sio chochote.

Tamaduni.
Wamewaaminisha tamaduni zenu ni mbovu na sio chochote.
Na hii ndio sababu mpaka leo africans hawana chao sababu wanaamini vyao havina thamani.
Race zote wana tamaduni na vitu vyao.

Hata kama tamaduni zilikuwa mbaya kweli sawa, lakini tungeziacha wenyewe kuliko kushurutishwa.
Mbona china ilikuwa na tamaduni za ajabu kushinda za kiafrika lakini ziko wapi.

Fact nyingine ni mazingira yetu ni rahisi kusurvive yaani hali ya hewa nzuri, chakula cha kutosha, ardhi yenye rutuba nk.
Hivyo imepelekea ubongo kutokuwa challenged na changamoto yoyote ile hivyo kuwa useless na hiyo imepelekea kurithishwa vizazi na vizazi.

Lakini wenzetu kutokana na wao kuface changamoto nyingi imepelekea ubongo wao kuwa active muda wote kutafuta solutions za changamoto ambazo zinaweza kuwa threat kwa wao kuendelea kusurvive.
Na hiyo wameendelea kurithishana vizazi kwa vizazi.

Pita mitaa ya china, marekani au russia bila shaka ni ngumu au huwezi kuta watu wamejazana nje wakati a mchana wakipiga umbea.
Lakini pita Tanzania.

Bila shaka hizo ni sababu tosha zinazoweza kupelekea watu wengi wenye asili ya africa kuwa hivyo.
 
"Kwamba tuna uwezo mkubwa!" Big no! Huo uwezo tungekuwa nao tungekuwa mbali sana. Wakati wenzetu wanatoboa anga na kufanya utalii wa anga sisi huku daah!
" Kwamba hatujitambui" Hii nadhani ni kweli. Ila sidhani kana wazungu hawataki tujitambue. Hii ni fix. Wazungu wanajitahidi kutoa tongo tongo lakini timegoma. Wametuletea formal education lakini hatutaki kuitumia. Tunang'ang'ana na mambo yetu ya kienyeji"
Eti wanatugawa! Kwanini tugawike? Huo uwezo ulosema mwanzo uko wapi?
Kwamba hatuongei lugha moja? Wenzetu wanalugha moja? La hasha. Au umetumia lugha ya picha?!
Nihitimishe kwa kusema kwamba sisi bado sana. Tusubiri mpaka nati ya hand to mouth itakapo fyatuka na kuutambua utu wa mtu.



 
Mbona kama Waafrika kuna Muda tunafanyiana rafu sisi wenyewe kwa wenyewe! kuna haja kweli ya kuendelea kulaumu wengine kwa kutuchelewesha ikiwa sisi wenyewe tuu kwenye nchi zetu hatujitambui!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…