Kwanini waafrika na watu weusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kustaarabika?

M
Mbona jibu lako looks so cheap!!
 
Kwenye dini ndo walituweza [emoji24][emoji24]yaan kuna makundi ya watu wanajiona ni miungu watu yaan watakatifu .Tutakapo kuja kugundua ujanja wao huu tutapiga hatua .Dini imetufanya tuonane si ndugu.
Si kweli kwani kwao Hakuna dini? Ukristo upo ulaya na maendeleo na ustaarabu wa ulaya chanzo ni dini ya Ukristo.
Maendeleo ya Uarabuni chanzo ni uislamu.
 
Ukitaka kujua mwafika mjinga!!! Watazame WaZulu wa South Africa utapata jibu zuri sana!!!
Mkuu wazulu ni wajinga zaidi ingawaje waafrika kweli tuna mapungufu yetu..mzulu akipata mshahara alhamisi usiku ijumaa aendi kazini mpaka jumatatu na anaona poa tuu wao kufanya kazi wanaona kama adhabu...wanaanzisha fujo ili kuiba kwenye maduka ya pombe kaburu kuna dawa alikua anawatilia enzi za utawala wao ndio maana akili zimedumaa kabisaa..
 
You spoke my mind
 
Ushahidi kadri mwafrika anavyosoama zaidi ndivyo anavyozidi kuwa mjinga zaidi, case study wasomi wa afrika hawana msaada na Jamii zao ndio wezi wakubwa serikalini,wabinafsi uingia mikataba mibovu maadamu Ina ten pasenti,,wapiga dili wakubwa.Radhi mtu ale pesa za mradi wa kusambaza maji utakaosaidia maelfu analamba kwenda kununua mabus huku Jamii inateseka, watawala wa kiafrica wako bize eti kuwafichia mali watoto wao utadhani wao waliandaliwa maisha,hali wenzetu watawala wao wako bize kuandaa future ya Jamii nzima inufaike.
 
Na black's american wamepewa dawa gani maana hawana tofauti na wazulu.
 
Kwa nini tusikwamue kwa kubadili elimu? Si tunajitawala wenyewe?
 
Watu kama nyie ndo mnaifanya Afrika izidi kudidimia kwa ujinga, umasikini na magonjwa
 
Sifa kubwa ya mtu mweusi ni usaliti hasa pale anapokuwa mbele ya mtu mweupe kitaalamu inaitwa inferiority complex.

Haijalishi ni mzungu, mhindi au mchina lazima atasaliti wenzake tuu ili aonekane msomi au civilized. Hii ni asili yetu toka enzi za kina chief mangungo. Tupo tayari kumsaliti mwenzetu ili mtu mweupe afanikiwe.
 
Hotep Wakush

Mimi Kisendi Nyanda Ntalima Mpandaligoya nasema hivii, nitarejea kuuzungumza Ukushi na Ufedhuli wa Manguruwe waliotufanyia.


Hotep
 
Kutawaliwa hakuwezi ifanya nchi kuwa masikini bali mfumo mbovu wa uongozi ndio chanzo, afrika pekee ndio mtawala ana Kinga ya kutokushtakiwa yaani kapewa ruhusa ya kufanya ajisikiacho mfano kuuwa uchumi,upendeleo wa kabila, dini, kutafuna kodi za wananchi, chochote na hakuna wa kumstaki bali akitoka umuweka wa kumlinda.
 
Unaongea hearsay tu
 
Leo hii naanza kuwaelewa wazungu waliotuona tuko tofauti na wao.

Ni ukweli mchungu kuwa wazungu ni waaminifu sana kwenye mahusiano,biashara,kazini etc,mwafrika ni kinyume chake.

Uwezo wetu wa kufikiri pia uko very limited,katika uchumi wa dunia ya sasa waafrika wanahesabika kuwa watumiaji kuliko kuwa wazalishaji,eg. Hatuna ugunduzi wetu wa maana wa teknolojia tunategemea zaidi vya watu.

SABABU ZA UTOFAUTI:

...Biological genes zetu ndio kizingiti namba moja,tuko tofauti na wazungu lakini haimaanishi sisi ni dhaifu.

...Kihistoria pia tumekubali kuwa sisi ni dhaifu kuliko race nyingine,tukibadili muelekeo tutatoboa.

...Mentality yetu ni very poor, hatuamini kama tunaweza,ni wategemezi mno,wachache tu ndo wanajielewa na haraka uwa wanachukuliwa na wazungu.

...Mazingira na mila zetu ni mbovu sana,tukizibadili tutatoboa.
 
Mbona mifano ya huko ni mbali sana mkuu,we angalia tu mfano mdogo kwa Diamond anavyopigwa vita kisa mafanikio yake,tena mbaya zaidi baadhi ya media kubwa nazo zinamchukia huyu mwamba aliyeipeleka bongo fleva kimataifa,kila muda wao ni kumsemea vibaya tu,ndio fikra za ovyo za kiafrika hizo,yaani kitu kuappreciate uwezo wa mwingine ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ