Kwanini waafrika na watu weusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kustaarabika?

Mungu aliamua (intentionally) kuwa sehemu ya mwafrika kwenye ubongo inayohusika na kufikiri iongezewe maji kidogo.
 
Sawa tusijidharau, tunafanyiwa rafu! Swali! Ni kwa nini tangu mwanzo tusingeamua kwenda kwao na kuwafanyia rafu? Tungeenda kuigawa Ulaya kama walivyogawa Afrika. Tungewapelekea imani zetu kama walivyotuletea zao. Tukubali tu wametuzidi kiakili. Nilipobatizwa nilipewa jina la kizungu nikashangilia kama zuzu.
 
Tunachojua kuchambua Ni maswala personal tu ambayo hayatuongezei chochote katika maisha...utamsikia mtu anamsifia mondi kwa kununua cadilac ili Hali hata baiskel ye hana
 
kasome kitabu kinaitwa "The Bell Curve" by Charles Murray,utapata majibu
 
Mkuu umenena vyema sana. Hata Hashimu Rungwe aliona mbali sama kuweka hili katika ilani yake
 
Tuna maprofesa na wahandisi wasomi lakini wanashindwa kurekebisha majina tu ya sehemu au vitu kwa mfano Bagamoyo (Bwagamoyo), Tabora (Nnobola), Dar es Salaam (Mzizima), Dodoma (Idodomya) na kadhalika.
 
Ni kwa sababu watu wanaotumia nguvu nyingi kufanya jambo fulani wanatumia akili kidogo na wanaotumia nguvu kidogo tu wanatumia akili nyingi. Kwa vile Waafrika hutumia nguvu nyingi kwa karibu kila kitu, ni dhahiri kuwa wanatumia akili kidogo na ustaarabu pia unakuwa kidogo - yaani hauna nafasi kubwa.
 
Umeyanena ya kweli kabisa.Matatizo ya mwafrika chanzo ni mwafrika mwenyewe, nadharia ya kuwatupia lawama wazungu ilianza miaka ya 70 na wajamaa hasa kupitia watawala wa kiafrica waliposhindwa kuwaletea waafrika maendeleo baada ya hadaa ya kuwaaminisha wananchi kwamba tushikamane tumfukuze mkoloni Ili sote tule matunda ya UHURU baada ya wananchi kudanganywa matokeo waliyotegemea hayakuwa,Ili watawala kujikosha juu ya kushindwa kwao wakaja na propaganda za kuwatupia lawama wazungu juu ya kushindwa kwao kutimiza ahadi za maendeleo,wakawatumia waandishi kama kina walter rodney na akaandaa kitabu how europe underdevelope afrika,nk vikaingizwa mashuleni Ili kuwafichia aibu watawala wa kiafrica juu ya kushindwa kwao, awamu iliyopita tumeshuhudia tbc ikitumika kuwaalika maprofesa wa vyuo tena waliosoma silabus zile za zamani zilizojaa chuki wakiwatupia lawama wazungu mwanzo had mwisho wa kipindi Ili liliendana na aina ya Utawala uliopita ,Maana alipotoka mkoloni mweupe akaingia mkoloni mweusi ambae nae akiendeleza ukoloni hata sasa kuwatumikisha waafrika wenzake.Tumeshuhudia watawala wa kiafrica wakijilimbikizia mali ikiwemo kujenga makasri mfano gabolite,mugabe, zuma, Chato,Kabaraki (Moi),nk huku wakizifukarisha nchi zao kwa kushindana kuficha pesa benk za nje,wakisomesha nje,jenga ma kasri nje, wakitibiwa nje badala ya kuboresha huduma za afya nchini mwao.Upo msemo african leaders always die in foreign check habit ya wazulu Zuma ni mwizi kakamatwa,nao wanaingia barabarani kusapoti wizi.
Ukweli halisi ni kwamba sisi wenyewe ndo twapaswa kulaumiwa juu ya matatizo yetu.Tuna kila kitu ambacho wao hawana lkn sababu ya kukosa uongozi bora ni ngumu kusonga, hatuna institution inayofanya Kazi ya kutoa maarifa ya watz wazione fursa zinazowazunguka na wazitumie kuboresha maisha yao.Maana umasikini tafsiri yake ni ukosefu wa maarifa ya kuziona fursa zinazomzunguka mtu Ili azitumie au kuzigeuza kuwa raslimali.Hatuwezi walaumu watu waliondoka miaka 60 iliyopita huku wakiacha KILA kitu zaidi ya kuchukua mabegi yao tu na kuacha ardhi, mashamba,migodi, viwanda,maji,nk.Kama wao waliweza kuvitumia sisi tunashindwa nini kuvitumia.Kutawaliwa hakuifanyi nchi kuwa masikini au kutokupelekwa shule na mzazi sio kigezo cha wewe kutokuwa na maendeleo,wengi awakupelekwa na Wana maendeleo.Kila nchi duniani iliitawala na nyingine mfano Japan alitawala China, UK India, UK USA,Spain Latin America, baada ya UHURU walipata viongozi sahihi wakaendelea
 
Hotep Wakush

Mimi Kisendi Nyanda Ntalima Mpandaligoya nasema hivii, nitarejea kuuzungumza Ukushi na Ufedhuli wa Manguruwe waliotufanyia.


Hotep
Mkuu wakush si wamejivika joho la kiarabu na kuuvaa utume mambaleo na kuua kabisa taifa la kush.
Wengine nawasikiaga hawataki kuitwa waafrika(Negro) kisa wanataka kufanana na wazungu.
Wasomali wasiporudi katika misingi ya babu zao na kuukumbatia uislamu kuliko hata warabu wenyewe hawata simama nibora hata wabantu wana dalili ya kutoka katika shimo la mzungu na mwarabu.
Nakupa pole sana japo sote tupo katika tope la ukoloni mambo leo.
 
Kwanini sasa sisi ndo tusiwe watu wa mwanzo kwenda kuwatawala wazungu.. mpaka mzungu ndo aje kututawala sisi?
 
Nahisi sasa ivi Magufuli alishawaroga malaika ili wamchague yeye (Magufuli) awe kiongozi wao mkuu (wa malaika).
Ukipita kwenye shule za serikali baada ya Uhuru utaona vichekesho vitupu. Shule imejengwa ina mwaka mmoja ina nyufa kila mahali. Lakini shule iliyojengwa miaka mia moja iliyopita ipo imara. Ina vyoo vya maji.
Hostel za Magufuli -UDSM

.
Watawala wanatumia muda mwingi kulimbukiza Mali kwa ajili ya familia zao bila kujali kundi kubwa la waafrika maskini wanaozaliwa na watakaohitaji vitu kama Afya, makazi,elimu na ajira. Ukiwauliza wanakuambia wazungu wanatuibia..
Uwanja wa ndege Chato
.
Mtu huyo huyo ni kada wa Chama tawala. Alikua meneja wa chama cha ushirika akaiba na kujenga hoteli.
Hotel ya Magufuli Chato.
. Nyanza construction (ya Magufuli akishirikiana na wahindi).
. Tulishamshtukia Magufuli na somo lake uchwara la "Historia ya Tanzania". Alitaka kupiga pesa.
 

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 pamoja na kuletewa usitaarabu na waarabu lakini bado hatusitaarabiki isipokua baadhi.

Waarabu=Ustaarabu, maneno yenyewe yanajieleza walivyo wastaarabu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lakini wazungu ni mchanganyiko wa binadamu na majini,asili yao ni pale malaika walipo fanya mapenzi na binadamu wakazaliwa majitu wanefili Giant people.
 
Fikra hasi, Mtu mweusi anajiona yeye siku zote yuko chini ya mtu mweupe huu tunaita ni utumwa ki fikra. Hakika kama mtu mweusi atabadili fikra atalitambua kusudi lake la kuwepo duniani na kuamin kuwa yeye ndo mwajibikaji wa kwanza na si kusubiri kufanyiwa. R.i.p JPM

Ubinafsi, mtu mweusi ni mbinafsi wa hali ya juu mfano mzuri ni viongozi walio na uchu wa madaraka wakiyapata wanajiangalia wao na si kwa maslahi ya wengi.
Mtu mmoja akifanikiwa katika jamii yake(ukoo) hawezi kuinua wengine furaha yake kubwa ni kunyenyekewa. Angalia matajiri wengi wa africa maisha yao ni mazuri sana lakin wanaowazunguka ni kinyume chake. Vipi huyo boss wako aliyepewa madaraka na mzungu anasimamia vyema maslahi yako ama ndo wa kwanza kukandamiza?

Ubaguzi, kibaya zaidi tunabaguana sisi kwa sisi kwa kigezo cha udini na ukabila. Hakuna kiumbe mbaguzi kama mtu mweusi na fikiri sote ni mashaidi hata maofisini tunaona.

Hakuna binadamu mwenye akili nyingi zaidi ya mwingine kinachoathirika ni fikra tu na namna ya matumizi. Acha ubaguzi, ubinafsi na badili mtazamo wako wewe ni kiumbe mwenye uwezo mkubwa sana peleka kwenye matendo.
 
Mungu akupe maisha marefu . Ikiwezekana utunge kitabu kuwaeleza watoto na wajukuu zetu ukweli.

Wasomi wetu ni tatizo sana wanapoingia kwenye madaraka.
Wanakwapua Mali haraka haraka wanajijenga utajiri mkubwa kwa muda mfupi huku wakiwadanganya watu kuwa maendeleo ya nchi ni mchakato na kutoa mifano kuwa Hata Roma haikujengwa kwa siku moja. Yaani wao wanatajirika kwa sekunde lakini nchi inachukua karne nzima kujenga vyoo vya shimo mashuleni.

Mtu anateua miss aliyeishi Huko Marekani kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya za vijijini. Hivi Maisha ya Marekani yanaendana na Vijiji vya bongo vyenye migogoro ya ardhi na watoto wanakaa chini darasani.
Kwa nini usimpandishe Cheo Afisa Elimu au OCD au DSO au Afsa Utumishi wa Wilaya Au Afsa kilimo wa Wilaya mwenye sifa anayejua kwa undani changamoto za Vijijini ?

Watu wanapeana madaraka kirafiki ili watafune nchi na kulimbikiza Mali. Wakoloni walijenga Taasisi nyingi bila kujilimbikizia Mali. Leo roho ya ubinafsi ni kubwa mno kwa Waafrika Mpaka ndani ya taasisi za dini. Kiongozi wa dini ananunua ndege binafsi na familia yake badala ya kujenga shule au chuo hata cha ufundi cherehani na kuwafundisha watoto wa maskini bure. Wakoloni walijenga shule wakawafundisha akina Nyerere na Mkapa Mpaka wakawa marais kupitia taasisi za dini.
Leo watawala badala ya kuwaelekeza vizuri wale mabilionea wa kidini wanawatumia kwenye siasa kuiba kura na kuhalalisha maovu yao.

Kuna Mikoa kama Shinyanga , Dodoma kuna wafugaji wenye ngombe wengi sana. Huo ni utajiri mkubwa sana mana ngombe 2000 ni zaidi ya sh.BIL.1.3 ,lakini wanaletewa mkuu wa Wilaya anasema CCM itawajengea vyoo na kuwaletea umeme kwenye nyumba zenu za nyasi mana nyie ni wanyonge. Blalifuul.
Badala ya kuwaambia nyie ni matajiri wakubwa na Taifa linawategema kuinua uchumi.


Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 

Kwenye kampuni omba sana bosi wako awe mzungu ama mwarabu utafanya kazi kwa amani. Lakini mhindi na mtu mweusi aise utalia machozi ya damu na kazi utaiona chungu, ila wachache tu wanajitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…