Kwanini Waafrika tunapenda sana kuwapa watoto wetu majina ya Ulaya, Asia n.k?

mngekuwa serious mngeanzia kwenye mavitu yao waliyowaletea kwanza,leo hii kujifanya unakataa majina wakati una gari lao,nguo zao,viatu zao,mpaka perfume umepulizia za kwao ni kuivuruga akili yako na kuipa kazi nyingi zisizo na maana.
Utetezi huu wa kindezi sana, sisi tulikuwa mbele kiteknolojia kabla hawajatuvuruga

Hata wasingekuja tungefika maendeleo haya sisi wenyewe
 
Mimi niona jina zuri kwa lugha yoyote si kosa kinachomata na maana Tu

Mfano
Happy kingereza

Saeida kiarabu

Furaha Kiswahili

Uwe muislam ao mkiristo sababu ata kwa kimakonde,kizigua n.k halina tofauti kimaaana zaidi ya matamshi na lugha
Ulishasikia mzungu anajiita furaha? Ila nyie kutwa kujiita Happy what for?!
 
Ommy Dimpoz anagopa kuitwa OMARI MASHAMUSHAMU NGUZII

NASIBU AETI diamond

abduli -Dully

mi naona wangebali dini tu waende huko kwa wenye hayo majina.
 
Mkuu alikuwepo Msomi mmoja anayefahamika kwa jina la IBN KHALDUN yeye alieleza kuwa;

Moja ya dalili ya jamii/Ustaarabu uliofeli kuendelea ni kuacha mila zao na kuiga zile za jamii au za ustaarabu unaosemwa kuwa umeendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…