Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Habarini,
Mfano, Utakuta mtu amemaliza chuo kapata kazi yenye mshahara mzuri, kila mwaka anapanda vyeo kazini, anakuwa na akiba ya pesa nyingi benki, huku mshahara ukiendelea kuingia, ghafla mkataba wa kazi ukiisha au akistaafu hata kama ana akiba hata kama ni ya tsh millioni 400, na magari ya kutembelea, anaanza kuuza magari, hadi yanaisha, kila akifungua biashara, biashara zinafeli, kama mstaafu ni mzee, kisukari na presha, vinakuja na kifo cha fasta.. wengine wanaishia kuomba omba kwa ndugu na kutegemea watoto wao ili ku-survive.
Yaani wakistaafu ni kama mikosi inakuwa inawaandama..
Wakistaafu wanakua kama wanachuo waliomaliza chuo wakakosa ajira.
Wastaafu wachache sana wanaweza kubalance mambo yao ya kifedha yasiyumbe sana hata wakistaafu.
Shida inakuwaga wapi?
Mfano, Utakuta mtu amemaliza chuo kapata kazi yenye mshahara mzuri, kila mwaka anapanda vyeo kazini, anakuwa na akiba ya pesa nyingi benki, huku mshahara ukiendelea kuingia, ghafla mkataba wa kazi ukiisha au akistaafu hata kama ana akiba hata kama ni ya tsh millioni 400, na magari ya kutembelea, anaanza kuuza magari, hadi yanaisha, kila akifungua biashara, biashara zinafeli, kama mstaafu ni mzee, kisukari na presha, vinakuja na kifo cha fasta.. wengine wanaishia kuomba omba kwa ndugu na kutegemea watoto wao ili ku-survive.
Yaani wakistaafu ni kama mikosi inakuwa inawaandama..
Wakistaafu wanakua kama wanachuo waliomaliza chuo wakakosa ajira.
Wastaafu wachache sana wanaweza kubalance mambo yao ya kifedha yasiyumbe sana hata wakistaafu.
Shida inakuwaga wapi?