Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Me am realistic.. Mimi ni early pensionerNaona Majibu mengi hapa yamekuwa yakufikirika zaidi, they are not realistic
Nadhani kuna haja ya kupata wastaafu wenyewe kuwauliza ili tupate majibu sahihi. Sio vibaya kukiri kuwa kuna mahari ulikosea ili kusaidia wengine wasikosee.
Ndiyo maana akina Ben Mkapa and like wamewahi kuandika vitabu kuwahusu.
Sent using Jamii Forums mobile app