Kwanini Waarabu hawana sigda?

Kwanini Waarabu hawana sigda?

Kuna mijitu inaandika bila kufikiri.Sijda kutokana na neno sujudu ni neno la kiarabu.Sasa hao waarabu wangekuwa hawana sijda hilo neno lingetoka wapi?
 
Niko hapa Tanga. Kuna wadigo weusi tiiih na sigda wanazo.
Nadhani hii inatokana na kusugua uso kwenye sakafu hasa Ile isiyo na vigae. Yaani rough surface.
 
uarabuni ndio uislamu ulipoanzia na waislamu ni wengi, swali langu ni kwa nini waarabu wao hawana SIGDA ile alama yeusi kwenye paji la uso?kama wa huku kwetu afrika inamaana wao hawaswali sana au
Mbona wa arabu wengi wanazo moja wapo ndo Alzahiri kiongozi wa zamani wal Qaeedah acha ushamba mleta mada.
Screenshot_20230614-211740_Google.jpg
 
Kuna jizee Moja nalijua Kwa kutungua watu ni nouma afu nalo eti linatarajia kuwaka taa peponi kwenye paji la uso
 
Kuna jizee Moja nalijua Kwa kutungua watu ni nouma afu nalo eti linatarajia kuwaka taa peponi kwenye paji la uso
Madini utapeli na upumbavu wa mwisho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706]umenichekesha sana ase kwamba litawaka taa kuanzia kaburini Hadi wapi..wakati linaoza linakuwa organic material
 
Back
Top Bottom