Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Djibouti and Somalia are Cushitics and not Arabs. They are the same as Ethiopian and those of Eritrea. Can you tell us the criterion used to term these two countries as Arabs Countries? Also why the Comoros are grouped among the Arab Countries and not otherwise?[/QUOTE

For answers to your good questions, please read Arab world - Wikipedia
Thanks
 
Wapo wengi wabaotumia vifungu vya dini,ukisngalia Askofu Kibwetere,alivyoua maelfu,ndani ya kanisa,alitumia vifungu vya dini.
Waprotestant na wakatoliki,wanauwana kwa kutumia vifungu vya dini.
Lord Resistant Army,wanaua kwa kutumia vifungu vya dini. Nk
salamaleko ust kikwajuni!
 
Imani hiyo ulio nayo ni sawa na imani za watu kuamini kua Yesu ni muumba.

Sipo tyari kulumbana na uzushi ulioaminika.

Waislam wapo Zanzibar kwa asilimia 98 lakin hakuna huo upuuzi unaoamini.

Waislam wapo nchi nyingi sana lakin huo upuuz unaoamini hakuna.

Jiulize swali la msingi kwanini Iraq kwanini Siria Kwann Libya. TUMIA AKILI USITUMIE FUVU KUFIKIRI
Sawa mujahidin umeelewaka
 
Warabu hawauani ila wanachonganishwa.
Umekwepa swali ww. Ktk dini ya uislamu kuna maandiko yanasema msichangamane na kafiri. Na kwa mujibu wenu mtu asiyedini yenu ni kafiri.
Swali
1. Ni nani huyo anayewachonganisha?
2. Km ni kafiri mepata nguvu gani kuchangamana naye?
3. Mm (Sina undugu na ww) nikuchonganisha ww na ndugu zako mkaanza kupigana na kuuana. Unafikiri ni nani hapo ambaye hana elimu na akili?
 
Back
Top Bottom