Freesociety
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 984
- 926
Alikwambia na mwanamke atapata nini?mkuu na rafiki yangu muislamu yani alivyokuwa ananielezea kuhusu hao mabikra 72 lazima utamani kuwapata na tatizo kubwa kabisa paka wanafanya haya mambo ya kuuwana wenyewe kwa wenyewe ni dini yao na kitabu chao