Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Hadi kufikia mwaka 2002 oct Waarabu walikuwa ktk kiwango cha Amani na usalama ikkumbukwe pipa la
mafuta walikuwa wakiuza kwa $120 uchumi wenye furaha... Sasa hapo wajukuu wa Bwana Yesu na wajukuu wa mfalme Daudi wakaona Eeeee hapa tutarudishwa utumwani na tutakandamizwa tena !!
Ndipo genge la maImerialist na Zaiyonit kuanza kuvamia Ngome ya Mbabe Saddam
na kuvunja defense (ulinzi mkuu)
nakupandikiza fitina!!
ikumbukwe kuwa "Fitina ni kiza cha usiku wa manane" kila
mmoja atayaonja siku zijazo!!!
Mauaji ya CAR yanathibitisha !!
nakubaliana na ww ndugu.but who is CAR??
 
Marekani ndo anawashiia akili?,Marekani ndo anatoa amri kwamba wauane?,unataka kutuaminisha kwamba wao hawatumii akili kujua lipi baya na lipi jema?.
kuendekea kusingizia Marekani hakutatui matatizo..
katika kukaa kwako hujawahi kusikia mtu anavunja ndoa ya mtu mwingine,ukifahamu hilo tambua kwamba uchonganishi upo na binaadam hawafanani.siri ya dunia ni pana na pesa ni hatari
 
katika kukaa kwako hujawahi kusikia mtu anavunja ndoa ya mtu mwingine,ukifahamu hilo tambua kwamba uchonganishi upo na binaadam hawafanani.siri ya dunia ni pana na pesa ni hatari
Acheni kusimgizia Marekani kwa kila kitu
 
mkristo akiuwa watu linaitwa kosa la kawaida.ila akiuwa muislamu kosa linaitwa la kigaidi.why why why kuwepo hizi double standards???.kuweni makini.ata juzi trump hakuwatusi waarabu na kuwadharau kama alivyozidharau nchi za kiafrica..anajua waarabu wakiachwa wajiendeshe watakua tishio kwa wazungu koz kule waarabu wanajielewa tokea zama zilipoanzishwa uislam uarabuni.waliachana na vita vya kipuuzi na kuanza kuungana na kujiendeleza.ukiangalia nchi za kiislamu zilizoharibiwa na mabomu ya urusi na marekani na ulaya utajua ni nini nasemea.libya kulikua na miji mizuri hivyo hivyo na nchi zingne kama syria,afghanistan,iraq,yemen, nakwingneko.siku hizi nchi hizo zimesalia na magofu katika miji iliyokua inakimbizana uzuri na miji ya ulaya.wazungu nia yao ni kuiharibu taswira ya uislamu na pia kuwarudisha nyuma nchi za kiislamu na pia kuiba raslimali za nchi za kiislamu kwa kupitia CIA .isis ilikua imejaa majeshi ya kimarekani na kiizraeli.soo usifikirie yale matukio yote ya ugaidi hufanywa na waislamu.mengine wazungu wenyewe hutunga ishu na kuwabambikizia waislamu..mfano septembet 11.(9/11).kule marekani ishajulikana ilikua ni kazi ya CIA..osama alikua chambo tuu
 
mfano mwingine mzuri .kule syria lengo la marekani kumtoa mrussia pale limegonga mwamba .koz kikosi cha magaidi wa kimarekani isis kilishakandamizwa.lakini cha ajabu marekani bado anagawa silaha hatarishi kabila la wakurdi ambao ni hatarishi hatakwa nchi kama uturuki.hivyo kuifanya uturuki kuanza vita mpya na kikundi kikingne kipya cha wakurdi.trump bila aibu anataka
eti wakurdi wasipigwe.huu ni uhuni wa kuhatarisha maisha ya nchi za watu
 
kama huku tanzania nako tungekua tunasambaziwa silaha kisirisiri na nchi kama marekani unategemea kuwepo na amani hapa Tanzania???.angalia sudan kusini,congo mbona hawajatulia na sio waislamu kule???.ukiambiwa waarabu wanachonganishwa usibishe pia...
 
Sikweli kama wanachonganishwa. Nature yao, kumbuka hata dini yao ilienezwa kwa vita"JIHAD" walichonganishwa na nani wakati ule? Apengine ni ukatili wa kuzaliwa kizazi chao. La maana ni kuwa kuuana kwao kuna faida sana kwa mataifa mengine.
Rejea :-
Mauaji ya Rwanda 1994
Mauaji ya Biafra Nigeria 1970s
Mauaji ya Ethiopia
Mauaji ya Bagsnda Uganda
Mauaji ya leo hii South Sudan
Mauaji ya Somalia
Mauaji ya Zaire / DRC
Mauaji ya Angola
Mauaji ya WW1 vita ya ulimwengu 1 na pili
vita vya Vietnam mk nk
Robert James Masunga

C&P

Are these Arabs? Are these Muslims?
Acha Ujinga
 
Hadi kufikia mwaka 2002 oct Waarabu walikuwa ktk kiwango cha Amani na usalama ikkumbukwe pipa la
mafuta walikuwa wakiuza kwa $120 uchumi wenye furaha... Sasa hapo wajukuu wa Bwana Yesu na wajukuu wa mfalme Daudi wakaona Eeeee hapa tutarudishwa utumwani na tutakandamizwa tena !!
Ndipo genge la maImerialist na Zaiyonit kuanza kuvamia Ngome ya Mbabe Saddam
na kuvunja defense (ulinzi mkuu)
nakupandikiza fitina!!
ikumbukwe kuwa "Fitina ni kiza cha usiku wa manane" kila
mmoja atayaonja siku zijazo!!!
Mauaji ya CAR yanathibitisha !!
Wachache wenye kuelewa
 
Laana ya damu walomwaga wakati wa kueneza dini yao,
Hakuna kuchonganishwa wala nini, ni laana imefanya wawe na miroho mibayaaaa,
Km sababu ni kuchonganishwa basi hakuna kiumbe mjinga km wao maana hata kuku ukiwachonganisha wakapigana sana bila suruhu huamua kukimbia kila mmoja kivyake,sasa km kuku wanaweza kuepuka kuchonganishwa inakuaje wao karne na karne wanachonganishwa na kuuana bila kustuka,
Hawa watu wanaroho mbaya,
Pumba tupu.
 
Inasikitisha kuona kuna watu wanaojiita ma-great thinkers huku wakiendelea kuamini katika Propaganda
 
HQ Yao ni ndogo kuliko funza ona wanavyojimaliza wenyew eti unaua ndugu zako 100 unaenda kuwaambia wazungu me ndo nimewaua wale yani hata bashite hana akili izi tusiseme tu waarabu ila ukweli dini ya kiislam mafundisho yenu inabid muyaedit hasa nyie mlioenda shule nasema ivi kwasababu angalia zile ngedere za Nigeria bokoharam wamewaiga waarabu matokeo yake wamewamaliza ndugu zao
Wewe ndo ufanyie marekebisho ubongo wako unaeamini propaganda za medias ambazo zilianzishwa rasmi kwajili hiyo
 
Central African Republic... huko hali ni mbaya sana hadi imefikia mwafirika anakula nyama ya mwenzie.... Yaani Ulimwengu umeipa kisogo yanayotokea huko !!!
duh.hii ni too much..hii naskia ipo pia katika gereza moja uko rwanda.sijui kama ishaisha.wafungwa wametelekezwa hadi njaa inawapelekea kulana...ndio maana trump akasema yale japo siyo wote tupo hivyo.viongoz wetu ni wanafki....i hate all these evil things happening kwa kwel
 
Asili ya waarabu ni Arabian Penisular . Ni jangwa hakuna maji. Scarcity ya maji inasababisha scarcity ya chakula ambayo inasababisha tabia ya ubinafsi,unyama,ukatili na fujo.

Hali hyo ikiendelea kwa muda umrefu inakuwa embeded kwenye culture ya watu husika
 
Waislamu katika historia yao, yupo msomi wao mmoja alikuwa anapinga sana modernism( mambo yote ya maendeleo). MI 6 imedakia mafundisho yale, ndio unaona hawa terrorists ( kina Osama bin Laden) wanachukia sana maendeleo MI 6 ni British Intelligence. Hawa terrorists wengi ni creation ya British Intelligence. Kwa mfano wale Muslim Brotherhood wa Egypt. walikuwa tu vibaraka wa MI6
 
Asili ya waarabu ni Arabian Penisular . Ni jangwa hakuna maji. Scarcity ya maji inasababisha scarcity ya chakula ambayo inasababisha tabia ya ubinafsi,unyama,ukatili na fujo.

Hali hyo ikiendelea kwa muda umrefu inakuwa embeded kwenye culture ya watu husika
mbona ata manabii kama yesu na wengine waliishi huko.acha kuleta mawazo finyu
 
Back
Top Bottom