Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano, ni kwanini wabunge toka Zanzibar wasiwe wanatoka nje ya bunge na kuwaachia wabunge wa Tanganyika kujadili mambo yanayowahusu watanganyika?
Ni sawa wabunge toka nchi nyingine kujadili mambo yasiyowahusu ya nchi nyingine?
Ni sawa wabunge toka nchi nyingine kujadili mambo yasiyowahusu ya nchi nyingine?