Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,993
- 3,747
Umemtusi Baba wa Taifa.Upuuzi wa Mwl Nyerere katiba mbovu kweli kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemtusi Baba wa Taifa.Upuuzi wa Mwl Nyerere katiba mbovu kweli kweli.
Si ipangwe ratiba tu. Muda wa kujadili mambo ya Muungano ujulikane na uwekwe muda wa kujadili mambo ya Tanganyika.Mbunge wa manyoni magharibi yupo kwa maslahi ya wana manyoni magharibi tu. Ikiwa hoja ipo sawa, hao wa raha leo wanakuwa hawana madhara kwenye mambo yasiyohusu muungano, ila hawawezi kutolewa nje kwa kuwa hawawezi kujua ni muda gani au ni kwa mchango upi maslahi ya majimbo yao au ya nchi yao yanaweza kuguswa, hivyo watabaki kikaoni muda wote kulinda maslahi yao.
Halafu na wao kule wana bunge lao na spika wao wakiwa wanapitisha mambo yao watanganyika wa Manyoni hawaingii kule.Hawatoki na posho watachukua. Hivi mbunge wa raha leo ana mchango gani kwa jimbo la manyoni magharibi?
Soma Katiba ya JMT, wala usihangaike. La kufanya: Piga kampeni ya mabadilko ya katiba au ya kuvnja muungano.Yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano, ni kwanini wabunge toka Zanzibar wasiwe wanatoka nje ya bunge na kuwaachia wabunge wa Tanganyika kujadili mambo yanayowahusu watanganyika?
Ni sawa wabunge toka nchi nyingine kujadili mambo yasiyowahusu ya nchi nyingine?
Ila bahati mbaya hukuwa, hujawa na hutokuwa.I wish ningekuwa Rais wa Tanganyika! Hakika wangenielewa tu.
Tatizo ni CCM. CCM ni chama Cha wazanzibari watu wa Tanganyika hawana sauti kabisa.Kama Watanganyika hatujalongwa,basi tuna matatizo ya akili.
Wao wanasikiliza na kujadilinmambo ambayo siyo ya muungano,tunawaangalia na kupiga makofi😳
Ndiyo Tanganyika😃Tanganyika ndio wapi?
Kama sitakuwa mimi, basi tegemea siku moja kutokea Rais nwenye maono kama haya ya kwangu. Unyonyaji kwenye karne hii ya 21 haukubaliki. Kila nchi ile kwa jasho lake.Ila bahati mbaya hukuwa, hujawa na hutokuwa.
Tunamsubiri kwa hamu ili avunje huu muungano.Kama sitakuwa mimi, basi tegemea siku moja kutokea Rais nwenye maono kama haya ya kwangu. Unyonyaji kwenye karne hii ya 21 haukubaliki. Kila nchi ile kwa jasho lake.
Hapo sasa!!Kila nchi ile kwa jasho lake.