Kwanini wabunge wa Zanzibar wasitoke nje ya Bunge yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika?

Kwanini wabunge wa Zanzibar wasitoke nje ya Bunge yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika?

Rais anaweza kutoka upande wowote wa Muungano. Tunachotaka kujua ni kwa nini wazanzibari wajadili mambo ya Tanganyika yasiyowahusu?
Raisi wa upande gani anaweza kutoka upande wowote? SMZ haiwezekani atokee Tanganyika, wa JMT, anatokea kokote, nadhani ndo imeishia hapo sio?😄

Sasa, kama umetambua hizo mbili tu, jua kuwa hakuna Bunge la Tanganyika na hivyo hakuna raisi wa Tanganyika!

Kinyume chake, bunge la JMT liwe na session 3, kwaajili ya Muungano, kisha Tanganyika affairs and then Zanzibar affair....ambapo hai-make sense sio?
- Kwamba Wawakilishi kule SMZ wana bunge lao, bunge la Wawakilishi Tanganyika(existence ya waTanganyika ni valid na legit kama mnaitambua Zanzibar na si Tanzania Visiwani) hamna.

Raisi wa JMT ni mzanzibari, raisi wa SMZ ni mzanzibari, wenyewe wanasema mawaziri 8 wa JMT ni wazanzibari.....
- Raisi wa JMT anazindua shule zisizo kwenye muungano upande wa pili!

Bunge la JMT lina tofauti gani na Baraza la Mawaziri kiutendaji?
- Sijawahi sikia Baraza la mawaziri wa Bara wamekaa na raisi anayeshughulikia Bara kujadili mambo ya Bara!

Labda iwe hivi; Raisi wa JMT avae kofia mbili, ya JMT na Tanganyika(Hakuna ruhusa Mkaazi kuwa raisi wa JMT)
  • Awe na Makamu wa JMT ambaye ni raisi wa SMZ(Strictly Mkaazi)
  • Tuwe na PM wa Bara, PM Visiwani(Nadhani ndo muelekeo kwa sasa, Naibu waziri mkuu ni chambo ili mzoee) Zenji walikuwa na Waziri kiongozi.
  • Huku Bara, toa wakuu wa mikoa wote na structure nzima ya mkoa, anzisha wakuu wa Kanda. DC aripoti kwa mkuu wa Kanda kiutendaji, kuwe na chief of staff mmoja wa kanda, kisha HRs wa wilaya etc

Mambo ya Muungano yapungue, pande zote zichangie gharama za kuendesha serikali ya JMT, kila mtu asimamie mapato yake.

Ajira za Muungano zisiwe 71% kwa 29%(nadhani iko hivi kwa sasa) Wazanzibar wanapaswa kupewa 2% ya ajira zote zinazohusu Muungano tu!

La, sahau yooote; wapeni nguvu Madiwani, wawe na Bunge kubwa lenye nguvu, maamuzi ya Raisi wa JMT-Bara yawe questioned na Bunge la madiwani! Madiwani wateue wabunge wa Bara kwenda Bunge la JMT.

Kadiri unavyojaribu kurekebisha, unaacha maswali mengi!
 
Kwanini watuke? Bunge ni La Jamhuri ya Muungano kwanini lijadiliwe mambo ya Tanganyika? walitokiwa watoke hao wanaojadili tanganyika wakatafute sehemu ya kujadilia
 
Yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano, ni kwanini wabunge toka Zanzibar wasiwe wanatoka nje ya bunge na kuwaachia wabunge wa Tanganyika kujadili mambo yanayowahusu watanganyika?

Ni sawa wabunge toka nchi nyingine kujadili mambo yasiyowahusu ya nchi nyingine?
Ndiyo mahala unadharaulikaga. Like ni bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hicho unachokiita Tanganyika hakipo popote hp duniani.
 
Kwanini watuke? Bunge ni La Jamhuri ya Muungano kwanini lijadiliwe mambo ya Tanganyika? walitokiwa watoke hao wanaojadili tanganyika wakatafute sehemu ya kujadilia
Sawa kabisa... Hivi baada ya Muungano ilikuwaje Tanganyika ilikufa halafu Zanzibar ikabaki hai?

Kwani hati ya Muungano ilisema mambo ya Tanganyika yatakuwa yanajadiliwa kwenye chombo gani? Maana mambo ya Zanzibar yanajadiliwa kwenye Baraza la wawakilishi.
 
Sawa kabisa... Hivi baada ya Muungano ilikuwaje Tanganyika ilikufa halafu Zanzibar ikabaki hai?

Kwani hati ya Muungano ilisema mambo ya Tanganyika yatakuwa yanajadiliwa kwenye chombo gani? Maana mambo ya Zanzibar yanajadiliwa kwenye Baraza la wawakilishi.

Nyerere na genge lake ndio waloua tanganyika, sababu ni kuwa walitaka kujimilikisha Tanzania.
 
Yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano, ni kwanini wabunge toka Zanzibar wasiwe wanatoka nje ya bunge na kuwaachia wabunge wa Tanganyika kujadili mambo yanayowahusu watanganyika?

Ni sawa wabunge toka nchi nyingine kujadili mambo yasiyowahusu ya nchi nyingine?
WA danganyika a.k.a chogo master uwa wanatoka panapokua na majadilianao ya Zanzibar?
Cc : Tumbili wa mjini
 
WA danganyika a.k.a chogo master uwa wanatoka panapokua na majadilianao ya Zanzibar?
Cc : Tumbili wa mjini
Majadiliano ya Zanzibar hujadiliwa kwenye Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

Kwenye hili bunge mambo ya Zanzibar yanayojadiliwa ni yake tu ya kimuungano. Mengine yooote hujadiliwa na wazanzibari kwenye bunge lao.
 
Majadiliano ya Zanzibar hujadiliwa kwenye Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

Kwenye hili bunge mambo ya Zanzibar yanayojadiliwa ni yake tu ya kimuungano. Mengine yooote hujadiliwa na wazanzibari kwenye bunge lao.
Kwa uelewa wako kama kilaza unaona hilo bunge ni la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au ni bunge la Tanganyika?
 
Kwa uelewa wako kama kilaza unaona hilo bunge ni la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au ni bunge la Tanganyika?
Ukilaza wangu naona kama hujaielewa hoja nzima. Kuna mahali nimesema si bunge la Muungano!?
 
Yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano, ni kwanini wabunge toka Zanzibar wasiwe wanatoka nje ya bunge na kuwaachia wabunge wa Tanganyika kujadili mambo yanayowahusu watanganyika?

Ni sawa wabunge toka nchi nyingine kujadili mambo yasiyowahusu ya nchi nyingine?
Mnaanza chokochoko za muungano wetu pendwa eeeh...??? Huu muungano una historia kubwa sana na ni muungano wa mfano wa pekee duniani kote. Hivyo nakuamuru mara moja usiuchokoe... choko choko mchokoe pweza muungano hutauweza..

Amesema mdanganyikwa mmoja anayenufaika na union!!
 
Hawatoki na posho watachukua. Hivi mbunge wa raha leo ana mchango gani kwa jimbo la manyoni magharibi?
Mbunge wa manyoni magharibi yupo kwa maslahi ya wana manyoni magharibi tu. Ikiwa hoja ipo sawa, hao wa raha leo wanakuwa hawana madhara kwenye mambo yasiyohusu muungano, ila hawawezi kutolewa nje kwa kuwa hawawezi kujua ni muda gani au ni kwa mchango upi maslahi ya majimbo yao au ya nchi yao yanaweza kuguswa, hivyo watabaki kikaoni muda wote kulinda maslahi yao.
 
Yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano, ni kwanini wabunge toka Zanzibar wasiwe wanatoka nje ya bunge na kuwaachia wabunge wa Tanganyika kujadili mambo yanayowahusu watanganyika?

Ni sawa wabunge toka nchi nyingine kujadili mambo yasiyowahusu ya nchi nyingine?
Tanganyika ndio wapi?
 
Back
Top Bottom