Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Naangalia Bunge lipo tupu. Viti vingi havina watu. Hadi wabunge wameomba iangaliwe akidi kama imetimia.
Spika kadai linafanyiwa kazi.
Spika kadai linafanyiwa kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshachukuwa chao wapoteze muda wa nini?Naangalia Bunge lipo tupu. Viti vingi havina watu
Wameenda kuwalaghai wananchi kwa mitungi ya gas, waliyopewa na Makamba,Naangalia Bunge lipo tupu. Viti vingi havina watu. Hadi wabunge wameomba iangaliwe akidi Kama imetimia. Spika kadai linafanyiwa kazi.
Mama kikwete kayafurusha majizi hayaWameenda kuwalaghai wananchi kwa mitungi ya gas, waliyopewa na Makamba,
Mkuu bila tezi dume kufanya yake , awamu ya 2+2 itatusumbua sana.Picha lilianza Kwa Kutengeneza Mgogoro wa Mpina katika wiki ambayo Kipara ana bajeti yake.
Picha linaenda mbali zaidi, Kipara anasema "Kama Kuna mtu ana ushahidi wa uozo wake apeleke "....... Kihalisia hiii ni kauli ambayo anajaribu kujifanya msafi wakati huohuo Ikipigilia msumari SUALA LA MPINA.
Picha likapiga hatua tatu zaidi, akaanza kugawa Mitungi Kwa Wabunge na Hela.., Kuna Mbunge anatumia Mkaa??... Kwamba wakagawe, Mitungi mia mbunge atagawa Kwa wanajimbo bila kuleta Tafaruku??.
Picha limerudi nyuma kidogo, hatimaye Mtoa Mada unadai Bungeni ni kweupe .
Haya yote ukijumulisha ,utagundua, MAKAMBA KIPARA, KICHWANI NI MWEUPE ,YEYE AENDELEE KUSHUKURU UWEPO WA
👉Kikwete
Yule DC alomuita Mpina MWALI, ajiandae kulima !!!
Hawajasusa, baada ya kurushiwa hotuba ya bajeti kwa QR code kwenye vishkwambi vyao, Waziri wa Nishati January Makamba afanya historia, Awasilisha Hotuba ya Bajeti yenye QR Code mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania!Naangalia Bunge lipo tupu. Viti vingi havina watu. Hadi wabunge wameomba iangaliwe akidi kama imetimia.
Spika kadai linafanyiwa kazi.
Wamebaki wabunge aliowanunua,mbaya zaidi Spika anamkingia kifua.Naangalia Bunge lipo tupu. Viti vingi havina watu. Hadi wabunge wameomba iangaliwe akidi kama imetimia.
Spika kadai linafanyiwa kazi.
Kama hujui ni bora kukaa kimya,unaambiwa akidi haijatimia halafu unaleta nyenyenyeMbona wapo nimeangalia mpaka muda spika anaahirisha mpaka saa 11, Wabunge wametoa hoja na wameshauri vizuri
Wameshahongwa majiko ya Gas ⛽ wakae kufanyeje Tena! Hakuna bunge Kuna genge la Wana CCMNaangalia Bunge lipo tupu. Viti vingi havina watu. Hadi wabunge wameomba iangaliwe akidi kama imetimia.
Spika kadai linafanyiwa kazi.
We duara kwel! Na wasi wasi hujaangalia bunge leoKama hujui ni bora kukaa kimya,unaambiwa akidi haijatimia halafu unaleta nyenyenye
Salma kikwete ni mbunge wa kuchaguliwa, alichaguliwa 2020Kwenye Bunge la Tanzania kuna wabunge 393
Ambapo
Wabunge 264 ni wa kuchaguliwa, yaani wana majimbo
Wabunge 113 hawa ni kundi maalumu kwa wanawake tu
Kuna wabunge 5 kutoka Zanzibar
Kuna wabunge 10 wanaoteuliwa na Rais
Kuna Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Swala langu ni kwa hawa wabunge 128
Hivi Tanzania tulilogwa na nani?
Kwanini tuwe na kundi kubwa lisilowakirisha jimbo lolote?
Wabunge 128 wanakula pesa za Watanzania ambazo zingetumika katika kufanya mambo ya msingi.
Kwanini wabunge kutoka Zanzibar waingie bunge letu wakati sisi hatuko kwao?
Kwanini Rais ateue wabunge 10 wasio na majimbo
Je hatuoni kuwa hawa kwa sehemu kubwa wanasababisha gharama za uendeshaji?
Wabunge hao 128 kwa asilimi 90 hawana mchango wa maana bungeni mf Salma Kikwete, yule Mama mwenyekiti wa Bunge na wengine wengi
Waliopata cha kuchangia hawana QR? Eti Pascal MayallaHawajasusa, baada ya kurushiwa hotuba ya bajeti kwa QR code kwenye vishkwambi vyao, Waziri wa Nishati January Makamba afanya historia, Awasilisha Hotuba ya Bajeti yenye QR Code mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania!
wameikuta ni so perfect, hawana cha kuchangia!.
P
Hizi tuhuma za kuhongwa ukiondoa majiko zina ukweli?Wamebaki wabunge aliowanunua,mbaya zaidi Spika anamkingia kifua.
Hii ndio rais Samia ajue hajui