Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo wamesusia?Kipara ngoto janja janja sana yule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wamesusia?Kipara ngoto janja janja sana yule.
We Paskali, rudisha hiyo mitungi uliyozawadiwa.Hawajasusa, baada ya kurushiwa hotuba ya bajeti kwa QR code kwenye vishkwambi vyao, Waziri wa Nishati January Makamba afanya historia, Awasilisha Hotuba ya Bajeti yenye QR Code mara ya kwanza kwenye Historia ya Bunge la Tanzania!
wameikuta ni so perfect, hawana cha kuchangia!.
P
Huyo Spika mwenyewe ni sehemu ya wapigaji, ndiyo maana wenye akili wamekaa pembeni.Naangalia Bunge lipo tupu. Viti vingi havina watu. Hadi wabunge wameomba iangaliwe akidi kama imetimia.
Spika kadai linafanyiwa kazi.
Wameenda Dodoma mjini kutafuta usafiri wa kusafirisha mitungi![emoji1787]Wameenda kuwalaghai wananchi kwa mitungi ya gas, waliyopewa na Makamba,
wamefanya uhuni mitungi ya gesi wamepewa na bado wanamkimbia Kipara na mambo yake!Kwa hiyo wamesusia?
La mtafaruku sikuwa nimeliwaza!!! Wamewekewa mtego wabunge. Isijekuwa ni mbinu ya kuwatimua walioingia 2020!!! Kama ni kweli!!!wakagawe, Mitungi mia mbunge atagawa Kwa wanajimbo bila
DuuhhLa mtafaruku sikuwa nimeliwaza!!! Wamewekewa mtego wabunge. Isijekuwa ni mbinu ya kuwatimua walioingia 2020!!! Kama ni kweli!!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wameenda Dodoma mjini kutafuta usafiri wa kusafirisha mitungi![emoji1787]