Tuwekee basi video hapa
Nna mwaka sijawahi ingia insta...
Tuwekee basi video hapa
Video ya nani...
Aaaa nawe kama mimi, ,,ngoja nije nijiunge nikuringishie ntakayokua nayaona huko
leta hiyo saa nikaitupe
Ya rio paul hhhhhaaaaa
Nachoshangaa ni kwa nini maboyfriend zao hatuwajui?
Wamekauka kimyaaa...
Sijui kuweka humu ningekuwekea
product kama hizo utashindwaje kununua ni nzuri kwa kweli japo ma designer sio riziki.
hizo mambo za fashion wamejaa walewale tu ni kujisaulisha tu inatosha ili tuendelee kupendeza.
Post imekosea njia
product kama hizo utashindwaje kununua ni nzuri kwa kweli japo ma designer sio riziki.
Kuna watu waliapa kuzitupa iPhones zao na products zingine za Apple baada ya CEO wake kujitangaza.
Binafsi sidhani kama walizitupa.
I say live and let live and you'll be alright.
Mtanifanya nifungue acc huko insta napitwa maumbea kama hayaaa