Huyu namfaham
Anaitwa frank
Tulisoma nae Tusiime
Tangia secondary anamambo ya kikekike2
Naskia adi baba ake alikataa kuwa anamfata
Tatizo ni ukiwa karibu yake ni kama uko karibu na mwanamke tu
Ata marafiki zake ni wanawake2
Ata ongea yake, tembea yake, smile yake, ata shep yake
Cjui ilikuwaje akawa mwanaume
IQ standard
Sure mzeeDuh, Mungu atanisamehe kama ninamkufuru, ila huyu kuna baadhi ya wanawake hawamuingii kwa uzuri huo. Na nina uhakika kuna baadhi ya wanawake wakimuona tuu wanatamani wangepewa wao hiyo shape.
Tuanzie hapa kwanza kwani huyu ni mwanaume?Wakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Acheni masikhara;uyo ni mwanaume?
Mwanaume ana mguu wa bia na hips?
Sent using Jamii Forums mobile app
WanakeraNi wao na maisha yao.
Waache waishi wapendavyo ilimradi hawakukeri wewe katika maisha yako.
That's the principle of life.
Kwa hiyo unataka kusema na huyu ni mwanaume? Mzuri kuliko dada yanguWakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??
Kazi hipo
Ni wao na maisha yao.
Waache waishi wapendavyo ilimradi hawakukeri wewe katika maisha yako.
That's the principle of life.