Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Huyu namfaham
Anaitwa frank
Tulisoma nae Tusiime
Tangia secondary anamambo ya kikekike2
Naskia adi baba ake alikataa kuwa anamfata
Tatizo ni ukiwa karibu yake ni kama uko karibu na mwanamke tu
Ata marafiki zake ni wanawake2
Ata ongea yake, tembea yake, smile yake, ata shep yake
Cjui ilikuwaje akawa mwanaume

IQ standard

Duh, Mungu atanisamehe kama ninamkufuru, ila huyu kuna baadhi ya wanawake hawamuingii kwa uzuri huo. Na nina uhakika kuna baadhi ya wanawake wakimuona tuu wanatamani wangepewa wao hiyo shape.
 
2807617398ffd7fe3a69e981574b832b.jpg
3d3af17f021ad4fa08857fd126e98bef.jpg


IQ standard
 
Wakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??
bac944a6bf8becdac0d3a9fcb6c0980d.jpg
Tuanzie hapa kwanza kwani huyu ni mwanaume?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio Tanzania tu ni dunia nzima , Ricardo Tisci, Dolce and Gabana and the list goes on and on., kuonekana kike kike kuna uhusiano mkubwa na kazi ya udesigner, sijajua kwanini
 
Yani hilo swali najiulizaga na mm sipati jibu, ni kwann hivi!?

Adi nikawa nahisi labda wanapta mashinikizo kutoka kwenye taasisi kubwa zinazoshughulika na haya mambo,
Ukifatilia vizuri hawa wanamitindo wakipata mialiko ufaransa, marekani, ufilipino na kwngneko huko hukutana na wenzao wa hiyo fani ambao mostly ni mashoga.....

Ss nahis cjui wanalazimishwaa sielewii....yani hadi wanatutisha na sisi watt wetu wa kiume tusijewaruhusu kufanya hyo shughuli.

Musta.fah Has.san-Ali pekee ndio nnae mfahamu kumuona yuko vzur.....lkn hawa wengne hata mavaz yao yanatia kinyaa.
 
Wakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??
bac944a6bf8becdac0d3a9fcb6c0980d.jpg
Kwa hiyo unataka kusema na huyu ni mwanaume? Mzuri kuliko dada yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom