Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Nipe majina ya Insta na fb
 
Kwa maelezo yako jamaa atakua ni "XXY"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kosa la wazazi wao kutokaa na watoto na kuwaonesha kuwa wanaume
 
Huyo ni demu bana siyo mwanaume
 
Duh, Mungu atanisamehe kama ninamkufuru, ila huyu kuna baadhi ya wanawake hawamuingii kwa uzuri huo. Na nina uhakika kuna baadhi ya wanawake wakimuona tuu wanatamani wangepewa wao hiyo shape.
Hakika....Yani kama angekuwa dem yani hapo unahonga BMW wallah...Sio kwa Shep hiyo..khaaa
 
Hawa ni weng sana midarasn kwetu walikua wa4

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Duh, huyu ni male?
 
Bila shaka huyu kwenye picha ni mwanamke???
 

Kwani huyo kwenye hiyo picha ni wa kiume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…