Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

This is a culture of an industry. Pia, kuna mashoga wengi bankers lakini inakiwa vigumu kujinasibisha na ushoga ukiwa banker. Kwenye mitindo kuna uhuru zaidi wa creativity na mtu kwa anavyotaka mwenyewe ndio maana tunaona wengi wame come out kama mashoga.

ooookeyy
 
Michael Kors ni shoga. Marc Jacobs ni shoga. Alexander McQueen alikuwa shoga. Tom Ford ni shoga. Dolce & Gabbana ni mashoga. Valentino ni shoga. Yves Saint Laurent ni shoga. Gianni Versace alikuwa shoga. Cristobal Balenciaga alikuwa shoga. Na kuna uwezekano wapo na wengine wengi tu.

Unaposema alikuwa unamaanisha kwa sasa ameacha au?

Hao wote ni marehemu ndo sababu ya 'alikuwa'.
 
Dhambi mbaya machoni mwa Muumba wa binadamu ni Ufiraji na Ulawiti; hata washabiki wake waliteketezwa moto,Sodoma Gomora
 
Huyu ndio rio Kwa wale ambao hamumfaham👇👇👇👇👇👇👇👇
 

Attachments

  • 1416801946690.jpg
    1416801946690.jpg
    70 KB · Views: 331
  • 1416801966497.jpg
    1416801966497.jpg
    58.1 KB · Views: 335
  • 1416801983907.jpg
    1416801983907.jpg
    57.4 KB · Views: 341
  • 1416801997631.jpg
    1416801997631.jpg
    82.1 KB · Views: 345
  • 1416802022578.jpg
    1416802022578.jpg
    73.4 KB · Views: 335
  • 1416802049806.jpg
    1416802049806.jpg
    79.6 KB · Views: 345
Siku zinavyozidi kwenda wanaume wanazidi kupungua na kuwa wachache zaidi
 
Back
Top Bottom