Kwanini wachaga hawafanani na sifa wanazojipa?

Kwanini wachaga hawafanani na sifa wanazojipa?

Leo ningependa nizungumze na ndugu zangu Wachaga na wanipe ufafanuzi kuhusiana na madai yangu.

Ukiwa mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakutana na machapisho mengi yanayozungumzia sana ndugu zetu Wachaga kwa namna chanya kwamba wana uwezo mkubwa wa fedha nakadhalika na mbaya zaidi wapo ambao wanafikia hatu ya kudharau watu wengine kwasababu ya kasumba hii.

Jambo moja linalonipelekea kuandika article hii ni kwasababu kila napopita mji wa Moshi miaka nenda rudi tangu nikiwa mtoto na sasa ni mtu mzima uko vilevile kwanzia majengo huwa sioni yakijengwa mapya, maghorofa mapya matokeo yake umekuwa ni mji usiokua wala kubadilika kana kwamba hawa Wachaga wameutelekeza.

Wachaga nijibuni kwanini mnasifika sana kwa maendeleo lakini mji wa Moshi ambao ndio utambulisho wenu miaka nenda rudi uko vile vile sasa tunashindwa kuelewa kwanini hamfanani na haya mnayoyasema?

Ningekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro lazima ningewahoji mpaka mnieleze kwanini mji wa Moshi mmeutelekeza huku mkijigamba mna maendeleo makubwa.

Swala la kumiliki rasilimali mikoa mingine ikiweno Dar es Salaam kwa namna ya ndani kabisa ni kwamba mnakweza jiji la Dar es Salaam au majiji hayo lakini asili yenu ambayo ni mji wa Moshi inakufa na mpo kwenye hatari kubwa sana ya kupoteza mji wenu kimaendeleo.

Je hili mnalitambua?

View attachment 2874249

Kwenye hiyo list wachaga wapo 8, wengine sio watanzania. Soma alafu urudi kuedit ulichoandika.
 
Mimi natoka Mwanza lakini hawa Wachaga humu wanajigamba sana mpaka mtu unashangaa kwanini wanafanya hivi lakini nikitazama Moshi haiendani kabisa. Nilitegemea Moshi iwe kama Tokyo
Itazame kwanza Mwanza mkuu uhesabu nyumba zao za maana ziko ngapi. Uzunguke nchi nzima halafu uje uende vijiji vya Kilimanjaro ndio utapata jibu. Watu wanajenga panapozalisha sio unasimamisha tu jengo for nothing.
 
Wanawenge ,wachawi,siwapendi
Mmmmm! Unathibitishaje wenge na uchawi wao? Hapo kwamba huwapendi hiyo ni sawa kwani kupenda au kutokupenda ni suala la mtu binafsi. Mbona hata ww wapo watu wasiokupenda?
 
Mmmmm! Unathibitishaje wenge na uchawi wao? Hapo kwamba huwapendi hiyo ni sawa kwani kupenda au kutokupenda ni suala la mtu binafsi. Mbona hata ww wapo watu wasiokupenda?
Elewa jamboo hao ni mandugu zetu upande wa bibi so understand something
 
Leo ningependa nizungumze na ndugu zangu Wachaga na wanipe ufafanuzi kuhusiana na madai yangu.

Ukiwa mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakutana na machapisho mengi yanayozungumzia sana ndugu zetu Wachaga kwa namna chanya kwamba wana uwezo mkubwa wa fedha nakadhalika na mbaya zaidi wapo ambao wanafikia hatu ya kudharau watu wengine kwasababu ya kasumba hii.

Jambo moja linalonipelekea kuandika article hii ni kwasababu kila napopita mji wa Moshi miaka nenda rudi tangu nikiwa mtoto na sasa ni mtu mzima uko vilevile kwanzia majengo huwa sioni yakijengwa mapya, maghorofa mapya matokeo yake umekuwa ni mji usiokua wala kubadilika kana kwamba hawa Wachaga wameutelekeza.

Wachaga nijibuni kwanini mnasifika sana kwa maendeleo lakini mji wa Moshi ambao ndio utambulisho wenu miaka nenda rudi uko vile vile sasa tunashindwa kuelewa kwanini hamfanani na haya mnayoyasema?

Ningekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro lazima ningewahoji mpaka mnieleze kwanini mji wa Moshi mmeutelekeza huku mkijigamba mna maendeleo makubwa.

Swala la kumiliki rasilimali mikoa mingine ikiweno Dar es Salaam kwa namna ya ndani kabisa ni kwamba mnakweza jiji la Dar es Salaam au majiji hayo lakini asili yenu ambayo ni mji wa Moshi inakufa na mpo kwenye hatari kubwa sana ya kupoteza mji wenu kimaendeleo.

Je hili mnalitambua?

View attachment 2874249
Hao ni wanubi wa sudan kusini
20230728_135845.jpg
 
Kila kabila lina Madon wenye Mkwanja, ila wachaga wamekuwa maarufu kwa Biashara za Maduka ya Rejareja.

WACHAGA WENYE PESA SIO WENGI KAMA UNAVYOFIKIRIA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Ni wengi sana waulize watu waliopo kwenye sector za kifedha na mabenk
 
Ni wengi sana waulize watu waliopo kwenye sector za kifedha na mabenk
Kama wako hivyo basi hawaendani na mji wa Moshi, kamji kadogo wala hakakui utadhani hawana hela!
 
Lakini mjini wao wametelekeza kwanini uko vile vile au wanatambia ya kukataa kwao?
Mkuu wametueleza kivip wakati wao wanasema kuna Nyumba nzur na Barabara nzur kuliko mikoa mingine ?
 
wachaga ambao ni madon kweli wengi wao ni wa kimya na wapo na mambo yao na hawana dharau labda uingie kwenye 18 zao,,,shida ni kwa wale kajambanane ndo dharau kibao na maneno mengi ya kejeli ila ukija kucheki maisha yao ni ya kawaida saaana
Uchaggani maisha ni magumu sana, halafu hakuna fursa za kawaida.

Kwahiyo mtu mwenye vipesa kidogo anaabudiwa kama mungu.

Uchaggani usipokokuwa na kipato hata kidogo, utadharaulika na kila mtu mpaka na watoto na ukifa utazikwa Kama mbwa.

Uchaggani hata kaburi hawachimbi bure.

Kwahiyo, Kuna wimbi la vijana wasiojielewa ambao kwa sasa faraja yao ni kusifia wachagga wenye vipesa kidogo, ambao kiuhalia wanachopata ni kununuliwa Pombe.
 
Hao ni wanubi wa sudan kusiniView attachment 2876864
Sasa na wewe uwe na akili basi! Mtu kuwa na bilion 10 au 5 kwenye soko la hisa la Dar ndo unamuona tajiri sana! Uwekezaji huo watu kibao wanaweza kuwekeza kwa mitaji hiyo ya bilion 5 au 10! Unataka kutuaminisha hapa kuwa akina Sandaland,Kishimba na GNM cargo na wafanya biashara wengine hawana hizo hela!?

Acheni ujinga usipende sifa zizizositahili kwa maana hata Mchaga mwenye bilioni 1.55 unataka kumweka kana kwamba ana hela sana kuliko wengine!

Biashara ziko nyingi sana kaka wengine wamewekeza kwenye kilimo na wengine kwenye madini kama yule mama Masasi Geita amewekeza kiwanda cha kuchenjua dhabahu zaidi ya bilion 14 kaweka pale lakini huwezi kumsikia anapiaga makelele na ni mwanamke na bado ana Mahotel kibao!
1705731357309.png
 
Swali rahisi sana hili, sisi wachaga tunajenga vijijini kwetu, nenda machame, marangu, rombo ushangae mwenyewe. Hapo mjini tumewaachia mtuone maskini, lakini maendeleo makubwa tumeyafanya vijijini kwetu humo. Ukifika lazima ushangae. Hapo mjini tunakujaga kuzuga tu ndio maana tumepaacha hivyo na tumewaachia wahindi wasijue nini kinaendelea huko vijijini kwetu. Mkoa wa kilimanjaro ni mkubwa jamani ni mubwa sana kuliko unavyo waza.
 
Kuna mji umejengwa na wenyeji hapa Tanzania?
Moshi ni mji wa serikali nenda vijijini kwa wachaga ukapaone kama panafanana na kwenu!!!
Nani alikuambua utambulisho wa wachaga ni mji wa moshi? Kwani utambulisho wa wazaramo ni Dar es salaam?
 
Ukijua kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanaishi vijijini alafu nenda moshi vijijini ukaone kulivyo smart ndiyo utajua watu wakiongelea maendeleo moshi huwa wanaongea kuhusu nini
 
wachaga wamwekeza sana mikoa mingine tofauti na KLM maana nabii hakubaliki kwao na hurejea makwao Dec Ndio maana ukienda Moshi vijijini kuna nyumba nzuri za makazi, hawajazaliwa mjini ndio maana hawaendelezi mjini ila kijijini, mji ni wa serikali
 
wachaga wamwekeza sana mikoa mingine tofauti na KLM maana nabii hakubaliki kwao na hurejea makwao Dec Ndio maana ukienda Moshi vijijini kuna nyumba nzuri za makazi, hawajazaliwa mjini ndio maana hawaendelezi mjini ila kijijini, mji ni wa serikali
Waboreshe mji wa Moshi sasa
 
Back
Top Bottom