Kwanini Wachaga, Wapemba na Wakinga hawawekezi sana kwao?

Kwanini Wachaga, Wapemba na Wakinga hawawekezi sana kwao?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Tanzania wafanyabiashara wakubwa wanaosifika wengi ni Wachaga, Wapemba na Wakinga lakini hawawekezi sana vitega uchumi na biashara kubwa kwao wanawekeza tu mikoa mingine sababu ni nini?
 
Nani wa kuiamusha hiyo purchasing power kama sio wao kuwekeza kuamsha ajira nk ?
Kila mtu anapambania rizki yake na faida kwenye biashara.
Usitegemee eti atajitokeza mfanyabiashara wa kufanya jambo kwa nia ya kuamsha ajira kwa mwingine.
 
Tanzania wafanyabiashara wakubwa wanaosifika wengi ni Wachaga, Wapemba na Wakinga lakini hawawekezi sana vitega uchumi na biashara kubwa kwao wanawekeza tu mikoa mingine sababu ni nini?
Wanawekeza kwenye fursa mambo ya kuwekeza nyumbani kwa kutaka sifa hawafagilii
 
Ujinga wa kuwekaza nyumbani ambapo ulipozaliwa na watu wana kujua vizuri sana .. hapa kuna vitu vingi sana vikiongozwa na CHUKI watu wanaona kwanini? Uanze kufanikiwa wewe na sio wao kwa hivyo unakuwa unapambana na vitu vingi vikiongozwa na UCHAWI NA USHIRIKINA .. mabibi /mababu wanaona kijana wao hajafanikiwa UFANIKIWE wewe hapo vinatembea vifungo + kuikataa biashara yako unayoifanya TOFAUTI na ukienda mbali kuwekeza au kutafuta watu hawakujui uzuri na huko chuki inakuwepo ila sio sana kwa sababu hawakujui na uchawi unakuwepo ila haukuingii vizuri kwa kuwa hawajui MAUKOO YAKO.. kuna ile hali ya kuchukia tu mtu unayemjua aanze kufanikiwa kabla yako ndio tatzo
 
Ujinga wa kuwekaza nyumbani ambapo ulipozaliwa na watu wana kujua vizuri sana .. hapa kuna vitu vingi sana vikiongozwa na CHUKI watu wanaona kwanini? Uanze kufanikiwa wewe na sio wao kwa hivyo unakuwa unapambana na vitu vingi vikiongozwa na UCHAWI NA USHIRIKINA .. mabibi /mababu wanaona kijana wao hajafanikiwa UFANIKIWE wewe hapo vinatembea vifungo + kuikataa biashara yako unayoifanya TOFAUTI na ukienda mbali kuwekeza au kutafuta watu hawakujui uzuri na huko chuki inakuwepo ila sio sana kwa sababu hawakujui na uchawi unakuwepo ila haukuingii vizuri kwa kuwa hawajui MAUKOO YAKO.. kuna ile hali ya kuchukia tu mtu unayemjua aanze kufanikiwa kabla yako ndio tatzo
Vingine unakuta hakuna fursa hapo tunajua hayo makabila yana uwekezaji mzuri dar maana ndio kuna pesa nyingi mno sasa uwekeze moshi sijui iringa hata population ni ndogo

Kutokana na nchi yetu ndio ivyo hatuna majiji makubwa mengi kama south africa tusidanganyane dar ndoa ya kila kitu kwingine kote njaa tupu
 
Tanzania wafanyabiashara wakubwa wanaosifika wengi ni Wachaga, Wapemba na Wakinga lakini hawawekezi sana vitega uchumi na biashara kubwa kwao wanawekeza tu mikoa mingine sababu ni nini?
Ila hata wachaga wengi nawaona hawana biashara kubwa sn km za kina dangote,mo za kuweza kuajiri wengine! Naona ni za kawaida tu,za kifamilian
Wachache sn wana biashara kubwa zinaxojulikana km makampun,nk
 
Back
Top Bottom