Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Ilikuwa zamani,sshv kuna watu wapya kabisa!Iringa mjini Wakinga ndio matajiri wahehe tunagema Ulanzi kwenye vitindi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa zamani,sshv kuna watu wapya kabisa!Iringa mjini Wakinga ndio matajiri wahehe tunagema Ulanzi kwenye vitindi!
Tumgaya sida.Iringa mjini Wakinga ndio matajiri wahehe tunagema Ulanzi kwenye vitindi!
Hapi Uhindini ukianzia kwa Kimokimo, Galahenga, Tweve nk ni wakinga watupu!Ilikuwa zamani,sshv kuna watu wapya kabisa!
Uko sahihi kabisa, very good! Uchagani wala pemba hakuna shughuli za kilimo cha maana yaani hawana ardhi, hawafugi, hawavui, watu wao wanafanya vishughuli vidogo vidogo sana haviwapi uwezo wa kununua. Ukitaka kujua kafanye utafiti kijana yeyote wa kijana baada ya kumaliza shule lazima akimbie kwao hali ni mbaya atakufa njaa.Purchasing power maeneo hayo ipi chini sana.
Over.
wanyantuzu, wanyakyusa, wasukuma, wairaqw,wamakonde, wayao na mengine mengi. Kwani hao wachaga wanavyofika maeneo ya wenzao wanakutaga mapori? Watu wamejenga miji yao. Kwa ujumla makabila ambayo maeneo yao yanalipa wamewekeza kwao. We unafikiri wanaishi wapi, wachaga tu ndio wanaishi km wakimbizi.Taja kabila linalowekeza kwao.
Halafu nitajie mtu aliyefanikiwa akiwa kwao
Exactly...ukiwekeza kwa hisia utaishia kwa waganga ukiagua ukitafuta mchawiWanafanya hivo kwa sababu hawaendeshwi na hisia, uwekezaji ni logic sio hisia.
We ndio bure kabila, kwa hiyo kila mtu awekeze Dar, aishi Dar. Dar inategemea mikoani kwa kila kitu. Kafuatilie ripoti za BOT, Dar imeuzidi mkoa uliofuatia(Iringa) kwa kiasi kidogo, huo ni mkoa moja. itazidije mikao mingine kwa ujumla wake? Aje ufinyu wa mawazo. Mngefungiwa mwaka jana kwa ajili COVID-19 ndio mngejua Dar si lolote si chochote.Jiulize kwanza kwanini wanaojiita manabii wa miujiza wamelundikana tu Dar wakati huko mikoani laana mikosi, uchawi upo kibao.
Mzaramo na duka wapi na wapi?[emoji1]Wazaramo wa Dar es salaaam hawawekezi mikoa mingine ni Dar es salaaam tu huwezi mkuta mzaramo kafungua duka mkoa mwingine
Labda wengine ila Wakinga tumeanza kuwekeza Sana tuu ila hapo nyuma kulikuwa na changamoto ya usafiriTanzania wafanyabiashara wakubwa wanaosifika wengi ni Wachaga, Wapemba na Wakinga lakini hawawekezi sana vitega uchumi na biashara kubwa kwao wanawekeza tu mikoa mingine sababu ni nini?
Tatizo wazaramu sio watu wakujikweza hutaweza kuwang'amua.Kumbe Wazaramo wamewekeza?
Kama uwekezaji unaomaanisha ni ule wa upatu na ngoma za asili basi Mimi kama Mchagga sijawekeza popote
Wazaramo wa Dar es salaaam hawawekezi mikoa mingine ni Dar es salaaam tu huwezi mkuta mzaramo kafungua duka mkoa mwingine