Kwanini wachawi hutupia watu majini?

Kwanini wachawi hutupia watu majini?

Samahani Mkuu
kama nimekukwaza,
Wewe hujawahi kunikosea popote ni basi tu sipendi kuelekea kusababisha kubishana na wewe.
Samahani sana Mkuu nipo chini ya miguu yako [emoji120][emoji120][emoji120]
Ndio maana nikasema una uhuru wa kuamua kujibu na kutokujibu swali la yeyote humu bila kueleza sababu yeyote ni uamuzi tu kwa sababu humu tunabadilishana mawazo tu na si zaidi ya hapo hivyo siwezi kukwazika kisa wewe hujibu maswali ninayokuuliza itakuwa ni ajabu, labda unisamehe mimi kama niliwahi kukukwaza mahali kwa kutofautiana mitazamo humu.
 
Ndio maana nikasema una uhuru wa kuamua kujibu na kutokujibu swali la yeyote humu bila kueleza sababu yeyote ni uamuzi tu kwa sababu humu tunabadilishana mawazo tu na si zaidi ya hapo hivyo siwezi kukwazika kisa wewe hujibu maswali ninayokuuliza itakuwa ni ajabu, labda unisamehe mimi kama niliwahi kukukwaza mahali kwa kutofautiana mitazamo humu.
Yameisha Mzee wangu, tutaendelea kujibishana bila shaka, ki ukweli nilikuchanganya na jamaa mmoja hivi mbishi sana na hata ukimjibu vipi haelewi kabisa nimemsahau tu jina lake, nikakuchanga na wewe ndo maana nikajibu hivyo.
Basi sawa Mkuu.
 
Yameisha Mzee wangu, tutaendelea kujibishana bila shaka, ki ukweli nilikuchanganya na jamaa mmoja hivi mbishi sana na hata ukimjibu vipi haelewi kabisa nimemsahau tu jina lake, nikakuchanga na wewe ndo maana nikajibu hivyo.
Basi sawa Mkuu.
Sawa nimekuelewa mkuu.
 
Wachawi silaha yao kuu ni Majini.
Majini yanayofuatilia ukoo fulani yanaitwa Mizimu.

Hao ndio wanaowatumika na Wachawi kuroga watu, kuhalibu mali zao, na kuua binadamu.

Majini wanafanya hivyo kwa mshahara wanaopata toka kwa Wachawi ambazo zinaitwa Kafara.

Bila Majini hakuna Wachawi.
Ila Bila Wachawi Majini wapo.

Fullstop.
 
Wachawi silaha yao kuu ni Majini.
Majini yanayofuatilia ukoo fulani yanaitwa Mizimu.

Hao ndio wanaowatumika na Wachawi kuroga watu, kuhalibu mali zao, na kuua binadamu.

Majini wanafanya hivyo kwa mshahara wanaopata toka kwa Wachawi ambazo zinaitwa Kafara.

Bila Majini hakuna Wachawi.
Ila Bila Wachawi Majini wapo.

Fullstop.
Asante sana ufafanuzi, nimejifunza kitu kuhusu uchawi.
 
Asante sana ufafanuzi, nimejifunza kitu kuhusu uchawi.
Sawa.

Lingine
Ukiona mtu au kikundi cha watu kinaomba Dua yoyote ile au Maombi ambayo nia yake ni kumdhuru Mtu kwa namna yoyote ile.

Huo ni uchawi kamili na anaye ombwa hapo ni Ibirisi Mkuu Shetani na Malaika zake Majini.

Katika vitabu vyote vya Mwenyezi Mungu, hakuna Aya inayoruhusu Maombi ya kudhuru mtu au watu kwa sababu yoyote ile.

Ona maneno haya yanavyosema

Mathayo5:43
Mmesikia kwamba imenenwa, Umpende jirani yako, na, Umchukie adui yako.
44 lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi.
45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.

Kwahiyo.
Zile Dua za Al-Badri, Fatwa na zinazoendana na hizo.
Sijui Askofu flani anamlaani mtu au watu flani ni vitendo vya Kishirikina na maombi yake yanapelekwa kwa Ibrisi na Malaika zake.

Tambua kuwa baadhi ya viongozi wa Dini pia ni Mawakala wa Shetani Ibirisi.
 
Hadi sasa kuna aina tatu za uchawi.

1.BLACK MAGIC -uchawi wa kudhuru

Black magic huu ni uchawi wa kudhuru, kuua, kuaharibu, kutia nuksi, laana, magonjwa nk. Hapa mchawi anakuroga tu Ili kuridhisha nafsi yake. Aina hii ya uchawi imepata nguvu kubwa sana afrika sababu ya nature yetu ya ubinafsi, uvivu, roho mbaya, chuki, husuda, ujinga, wivu,upumbavu, nk. Aina hii ya uchawi ufanywa na watu wajinga walioelimika, watu duni na masikini. Hapa ndipo unamkuta mtu anamloga jirani yake eti kisa anakula nyama, kajenga nyumba, ana maendeleo, nk.
Black magic ndio uchawi wa level ya chini na ufanywa na watu wenye fikra duni Sana.Huwezi kuta mtu aliyeelimika kwenye kundi hili hata akijiunga nao ni lzm atakuwa duni.

2.WHITE MAGIC- uchawi usiodhuru

Hapa ni aina yote ya uchawi wa faida, kundi hili ufanywa na watu walioelimika,kundi hili unawakuta watenda miujiza, wanamazingaombwe, mitume na manabii, makanisa, vyama vya Siri mfano freemason, illuminati na matawi yake, wanasayansi ambao ujifunza uchawi kwa lengo la kufanikisha shughuli zao au kutafuta majibu hapa unakuta kina isaac newton, nk, viongozi wa dini, taasisi kubwa za upelelezi duniani ujifunza uchawi uwezo wa kubaini Siri zilizojificha,kuingia sehemu na kupotea, uwezo wa kubadilika au kuyeyuka ukitaka kukamatwa,mfano CIA, Mossad, KGB, nk, hapa unawakuta ninja, wanajimu, watabiri, nk.

3.RED MAGIC-kuua kwa faida.
Hapa unawakuta watoa kafara Ili kupata utajiri, umaarufu, uongozi, waumini wengi makanisani, wanamuziki, wasanii, Wana michezo, nk

VYAMA VYA KICHAWI
Wachawi Wana vyama mbalimbali vya kichawi kulingana na nia yao.
Kisiasa, kiuchumi, kijamii.Wana tawala mbalimbali,Wana vikundi mbalimbali ambavyo haviingiliani,KILA mmoja ana falme yake.
Wapo wachawi ambao awaui watu wanaogopa kudaiwa damu siku ya hukumu,wapo ambao ambao awamdhuru mama mjamzito uamini utakuwa umedhuru watu wawili ambae mmoja hana hatia.
Wachawi wanaserikali zao na miongozo kuanzia level ya mtaa hadi kimataifa.Mzee ni cheo cha kichawi cha level ya mjumbe,Chief ni mkuu wa wachawi anaetawala eneo fulani,chief ni ngazi kubwa Sana ya kichawi, huwezi pewa chief kama wewe sio gwiji uliyemtolea Sana damu za watu shetani.
Wachawi wote na makundi yao kuanzia black magic,red magic,na white magic wanatambua na wanajua kuna hukumu juu ya matendo yao lakini kiburi tu.
Wapo wanaogeuka na kuacha uchawi lakini sio kirahisi ni lazima uwe umesimama vyema na Mungu wako Ili kuepuka adhabu ya kifo maana umesaliti.


Ccm ni muunganiko wa vyama mbalimbali vya kichawi kwenye ulimwengu wa giza na kujifunua kwenye hali halisi. Hirizi ya ccm ipo kwenye mwenge, ni ngumu Sana nchi kuendelea ni hadi kukata ile connection na kuzimu iliyowekwa mwaka 1961.
Jiulize tuna KILA kitu pesa, mtaji, raslimali, nguvu Kazi, masoko ya uhakika, nk kwann hatuendelei. Jiwe alicheza na mwenge akaondoka.
 
Bila jini au majini hakuna uchawi hata mazingaombwe lazima jini awe mshirika hakuna cha mizimu wala mapepo yale ni majini na yana makabila yapo yanaopaa ndio hutumika kama ungo na yapo ya ardhini hutumia kutega uchawi au kuutuma. Wanga wachawi na waganga njia yao ni moja hakuna mganga anaetibu bila ya majini ndio yanayomuambia unasumbuliwa na nini na njia gani atumie.
Pia majini ya makabila na kuna makabila yenye nguvu na yasiyo na nguvu.

NB: Nitakueleza ukweli leo kijana mwenzangu pale unapopewa dawa na mganga aidha ya kuoga au kufukiza hizo ni gesha tu majini anakuwa stand by Kufanya kile anachoambiwa na kiti wake unapotumia dawa hizo anaanza kukufanikishia jambo lako.
Over
Ni sawa na kuaminisha watu kuwa majini wana uwezo zaidi yetu na kwamba sisi hatuna tunaloweza kuwafanya.
 
Sawa mkuu sijataka kubisha naomba kueleweshwa kitu...
Je unadhani mchawi anatumia dawa tu kufanikisha ulozi? Ziko effective kiasi icho ? Na kwanini mtu akipewa uchawi lazima apewe toolkit mfano mkoba au kibuyu na kwanini wao wanaeza kupandisha majini ? Na unadhani mapepo sio majini na wadhani dawa tu inaweza kumfanya mchawi akapotea kimazingara
Hiyo unayoita dawa tu ndio uchawi wenyewe na hata huyo jini mwenyewe anaweza kuwa muhanga wa huo uchawi, kwa maana anaweza kutumika bila kupenda na anaweza kudhurika kwa kwa kutumika huo huo uchawi.
 
hujawahi rogwa vizuri Uzungu utakuisha siku ukikamatika! Kwenye vitabu Mungu kaunasibisha wewe hujawahipatikana
Nenda kaniroge nimekuruhusu ama mwambie mchawi yoyote unaemjua kwamba namruhusu aniroge.

Vitabu unavyoita vya mungu ni vitabu vya kitapeli. Mungu hayupo.
 
Back
Top Bottom