Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Adam hakuwa malaikaHuyo Malaika Mkuu aliitwa nani ?
Adamu je tunamuweka katika kundi gani ? Huu ni mfano tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adam hakuwa malaikaHuyo Malaika Mkuu aliitwa nani ?
Adamu je tunamuweka katika kundi gani ? Huu ni mfano tu.
Sijasema ya kuwa Adamu alikuwa malaika.Adam hakuwa malaika
Mnasema kwamba kwenye uchawi majini ndio hutumika kwa maana ya majini hutumwa ili kufanikisha yaliyokusudiwa na mchawi, ndio mimi nauliza kwamba unadhani hayo majini hupenda kutumika au kutumwa hivyo?Sijaelewa swali lako.
Mimi sizungumzii cheo chake bali nazungumzia asili yake, hata binaadamu tuna kuna wenye vyeo vya urais au ufalme ila asili ni binaadamu. Sasa sijaelewa Ibilisi asili yake ni malaika au alikuwa na cheo tu cha malaika mkuu ila hakuwa malaika?Malaika mkuu ni cheo sio kitu cha kuzaliwa nacho
Hakuna sehemu niliyosema au tunayosema majini hutumwa sababu hakuna anae weza kuyatuma majini bali kinyume chake ndiyo ukweli,Wachawi wanawategemea majini,hata hizi taarifa wapatazo wachawi huzipata kupitia majini.Mnasema kwamba kwenye uchawi majini ndio hutumika kwa maana ya majini hutumwa ili kufanikisha yaliyokusudiwa na mchawi, ndio mimi nauliza kwamba unadhani hayo majini hupenda kutumika au kutumwa hivyo?
Ok tuanze kwanza na kujua jini ni nini au ni kiumbe gani?Hakuna sehemu niliyosema au tunayosema majini hutumwa sababu hakuna anae weza kuyatuma majini bali kinyume chake ndiyo ukweli,Wachawi wanawategemea majini,hata hizi taarifa wapatazo wachawi huzipata kupitia majini.
Mwanadamu hana uwezo wa kumtuma Jini wala haikuwahi kuwezekana wala hakuna anae fuga majini wala haitatokea wenye kusema hayo hawawajui majini.
Mbona ww mwongo san jamaa angu kutoka 7:22-25 hakuna neno uchawi instead of neno waganga ndo lipoSwali la nyongeza!
Je una amini katika dini na mafundisho ya dini?
Je wajua hata katika maandiko, ya dini, wachawi na uchawi umezungumziwa?
View attachment 1907317
Je nini mtazamo wako katika hili?
Jini ni kiumbe alie umbwa malighafi moto,alianza kuumbwa kabla ya mwanadamu. Amepewa uwezo wa kujibadili katika maumbile tofauti tofauti kama vile umbile la nyoka mweusi au mbwa mweusi au punda mweusi, na amepewa uwezo wa kuingia katika mwili wa mwanadamu.Ok tuanze kwanza na kujua jini ni nini au ni kiumbe gani?
Sasa inakuaje kiumbe huyo(jini) aje kuhusika na masuala ya uchawi?Jini ni kiumbe alie umbwa malighafi moto,alianza kuumbwa kabla ya mwanadamu. Amepewa uwezo wa kujibadili katika maumbile tofauti tofauti kama vile umbile la nyoka mweusi au mbwa mweusi au punda mweusi, na amepewa uwezo wa kuingia katika mwili wa mwanadamu.
Kadhalika ni ngumu kumuona jini katika umbile lake la asili.
Tuendelee...
Kihistoria uchawi upo wa aina mbili nao ni :Sasa inakuaje kiumbe huyo(jini) aje kuhusika na masuala ya uchawi?
Ndio nimetaka kujua uhusika wa majini kwenye uchawi ni upi? Na huo uchawi waliyokuja nao malaika ndio upi?Kihistoria uchawi upo wa aina mbili nao ni :
1. Uchawi walio kuja nao Malaika wawili Haruti na Marut.
2. Uchawi walio nao majini, uchawi wa majini ni ule wakuua,kuroga na kuwadhuru watu. Huu ulionekana sana kipindi cha nabii Suleyman.
Uhusika wa majini katika uchawi nimeshakueleza hapi juu ya kuwa wao ndiyo walikuwa wanawafundisha wanadamu mambo ya uchawi.Ndio nimetaka kujua uhusika wa majini kwenye uchawi ni upi? Na huo uchawi waliyokuja nao malaika ndio upi?
Mkuu hivi kwa mfano uchawi wa kutupiwa majini unaweza kuteguliwa na mganga au mpaka mchawi mwenyewe alietupia hayo majini..Asante
Uchawi ni kaliba yenye ujuzi tofauti tofauti
Kuna uchawi wa vitabu
Kuna uchawi wa tunguli
Kuna uchawi wa mapepo
Kuna uchawi wa majini nknk
Maranyingi kila aina ya uchawi una eneo lake....kwa mfano uchawi wa mawajini maranyingi hupatikana maeneo ya pwani
Kumbuka kila mchawi ana ujuzi wake na hawaingiliani kabisa., ni wale makonkodi pekee ndio wanaweza kuhodhi juzi kadhaa
Twende taratibu.Uhusika wa majini katika uchawi nimeshakueleza hapi juu ya kuwa wao ndiyo walikuwa wanawafundisha wanadamu mambo ya uchawi.
Uchawi walio kuja nao Malaika wawili na kuwafundisha Wanadamu ila kwa kuwapa angalizo kabla ya kuwafundisha ni uchawi wakuwafarakanisha Mume na mke.
Majini ya kutupiwa hutolewa kwa mganga lakini pia hata bila mganga zipo dawa hutumika kufukuza au kuondosha majini mwilini au hata kwenye nyumba.Mkuu hivi kwa mfano uchawi wa kutupiwa majini unaweza kuteguliwa na mganga au mpaka mchawi mwenyewe alietupia hayo majini..
Msaada! plz maana kuna mtu wangu wa karibu anasumbuliwa na uchawi wa aina hii kutokana na wataalamu wanavyoona kwenye screen zao na ni miezi kadhaa sasa inaelekea na bado hayo mapepo hayajatoka yote.
Watu walipogundua kutengeneza umeme .. ule ulikua uchawi au sio uchawi au kurushamawimbi ilikua ni niniUchawi ni uwezo wa binadamu kufanya matukio au mambo ambayo yako nuu ya uwezo wa kibinadamu kwa kutumia nguvu za ziada ambazo zinatolewa ama huyo mtu anawezeshwa na shetani ama mawakala wake.
Uwezo huo ni kama kutembea usiku ama mchana bila kuonwa na binadamu wenzake, kuingia kwenye nyumba bila ufunguo, uwezo wa kumletea binadamu mwingine ama kumtengenezea madhara kama ajali, ugonjwa, kifo ama ulemavu na mambo kama hayo.
Sasa vitu hivyo ni fikra tu kwani kwa uhalisia havipo na havijawahi kuwepo na wala uwezo kama huo haupo na haujawahi kuwepo.
Kukuta mtu ana mawazo kama hayo basi unajua kabisa akili hana.
Nadhani nimekujibu kuwa hicho ni cheo sasa ukiniuliza inawezekana vipi kukipata hicho cheo hapo kwakweli sina jibu.. Je umenielewa sasa?Sijasema ya kuwa Adamu alikuwa malaika.
Swali langu la msingi ni kwa Ibilisi kuwa Malaika Mkuu. Hili linawezekana vipi ?
Je andiko lako ni kutoka biblia ya Tafasili ipi?kutoka 7:22-25 hakuna neno uchawi instead of neno waganga ndo lipo
Kwanza kuwa mstaarabu, Jenga hoja, Pinga hoja kwa Hoja, Utaeleweka zaidi, Pili hebu ithibitishie Jamii pasi na shaka huo uongo wangu.Mbona ww mwongo san jamaa angu
Yaani swali langu hujalijibu kwa maana ya kuwa Jini anawezaje kuwa Malaika tena akawa mkuu ?Nadhani nimekujibu kuwa hicho ni cheo sasa ukiniuliza inawezekana vipi kukipata hicho cheo hapo kwakweli sina jibu.. Je umenielewa sasa?
Basi ndugu isiwe kesi sina jibu lingine zaidi ya hiloYaani swali langu hujalijibu kwa maana ya kuwa Jini anawezaje kuwa Malaika tena akawa mkuu ?
Au hujui kama Ibilisi ni katika majini ? Malaika ni jinsi kama ilivyo mwanadamu au Jini ?