Kwanini wachawi hutupia watu majini?

Kwanini wachawi hutupia watu majini?

Hapana majini yana ulimwengu wao tofauti kabisa na uchawi
Sawa mkuu sijataka kubisha naomba kueleweshwa kitu...
Je unadhani mchawi anatumia dawa tu kufanikisha ulozi? Ziko effective kiasi icho ? Na kwanini mtu akipewa uchawi lazima apewe toolkit mfano mkoba au kibuyu na kwanini wao wanaeza kupandisha majini ? Na unadhani mapepo sio majini na wadhani dawa tu inaweza kumfanya mchawi akapotea kimazingara
 
Hapana majini yana ulimwengu wao tofauti kabisa na uchawi
 
Sawa mkuu sijataka kubisha naomba kueleweshwa kitu...
Je unadhani mchawi anatumia dawa tu kufanikisha ulozi? Ziko effective kiasi icho ? Na kwanini mtu akipewa uchawi lazima apewe toolkit mfano mkoba au kibuyu na kwanini wao wanaeza kupandisha majini ? Na unadhani mapepo sio majini na wadhani dawa tu inaweza kumfanya mchawi akapotea kimazingara
Kwenye uchawi kuna mapepo, kuna mizimu, kuna viumbe roho wengi tu na kuna majini
Majini ni majini na kwa sehemu kubwa hayachangamani na mapepo na mizimu na majini hayajaumbwa kama binadamu
 
Nimesoma kwa haraka sijana popote yalipotajwa majini
 
Nimesoma kwa haraka sijana popote yalipotajwa majini
We wadhani ibilis(devil) ni nani ? Unadhan uzao wa majini umetoka Kwa nani?
NB: unaposema mapepo, mizimu na viumbe roho sio majini nakushangaa bcoz ni sawa na kusema mmarekani, mchina sio binadamu eti kisa wanatofautina na waafrika kimaumbile na kitabia
Mzee baba chimba ndani majini ya aina mbili kuna mema na maovu na yapo makabila mengi mno na usiyoyajua ukiwemo mapepo, mizimu, vigwengo nk ila yote ni majini.

Ukijibu kwa ufasaha sita argue tena nitakoma mimi nitakoma😁😁😁
 
We wadhani ibilis(devil) ni nani ? Unadhan uzao wa majini umetoka Kwa nani?
Ukijibu kwa ufasaha sita argue tena nitakoma mimi nitakoma[emoji16][emoji16][emoji16]
Ibilisi alikuwa malaika mkuu kabla ya kuasi na kutupwa jehanum
Majini ni viumbe roho vilivyoumbwa kwa moto na havijawahi kuwa sehemu ya ufalme wa Mungu kama alivyowahi kuwa shetani ibilisi
 
Ibilisi alikuwa malaika mkuu kabla ya kuasi na kutupwa jehanum
Majini ni viumbe roho vilivyoumbwa kwa moto na havijawahi kuwa sehemu ya ufalme wa Mungu kama alivyowahi kuwa shetani ibilisi
Dah haya buana inachokiongelea mythical story za wagiriki.. Nitakuambia kitu cha mwisho the devil himself was the djinn nakupa homework kasome kwanza pitia na fanya uchunguz wa Kiroho .....

Nimeishia hapo sitaki kufungua milango bila kibali itanigharimu.
 
Kwenye uchawi kuna mapepo, kuna mizimu, kuna viumbe roho wengi tu na kuna majini
Majini ni majini na kwa sehemu kubwa hayachangamani na mapepo na mizimu na majini hayajaumbwa kama binadamu
We kumbe humu wanakutukuza bure,ni mweupeeee haswaa kabisa, nahisi pia Ni mwepesi Kama unyoya!!!!!
Kwa kifupi huna ujualo kumbe
 
We wadhani ibilis(devil) ni nani ? Unadhan uzao wa majini umetoka Kwa nani?
NB: unaposema mapepo, mizimu na viumbe roho sio majini nakushangaa bcoz ni sawa na kusema mmarekani, mchina sio binadamu eti kisa wanatofautina na waafrika kimaumbile na kitabia
Mzee baba chimba ndani majini ya aina mbili kuna mema na maovu na yapo makabila mengi mno na usiyoyajua ukiwemo mapepo, mizimu, vigwengo nk ila yote ni majini.

Ukijibu kwa ufasaha sita argue tena nitakoma mimi nitakoma😁😁😁
unabishana na mtu mweupe,Wala Hana elimu ya hao viumbe huyo, ni empty kabisa
 
Ibilisi alikuwa malaika mkuu kabla ya kuasi na kutupwa jehanum
Majini ni viumbe roho vilivyoumbwa kwa moto na havijawahi kuwa sehemu ya ufalme wa Mungu kama alivyowahi kuwa shetani ibilisi
Eti ibilisi alikuwa malaika mkuu! We jamaa ni mweupe kichwani juu ya elimu ya dini na mambo mengine, aibu aisee
 
Mchawi ndie kiumbe mwenye kiwango cha chini sana cha kufikiri duniani thus ufanya mambo ya kipumbavu yasiyo na faida hata kwake
 
Bila jini au majini hakuna uchawi hata mazingaombwe lazima jini awe mshirika hakuna cha mizimu wala mapepo yale ni majini na yana makabila yapo yanaopaa ndio hutumika kama ungo na yapo ya ardhini hutumia kutega uchawi au kuutuma. Wanga wachawi na waganga njia yao ni moja hakuna mganga anaetibu bila ya majini ndio yanayomuambia unasumbuliwa na nini na njia gani atumie.
Pia majini ya makabila na kuna makabila yenye nguvu na yasiyo na nguvu.

NB: Nitakueleza ukweli leo kijana mwenzangu pale unapopewa dawa na mganga aidha ya kuoga au kufukiza hizo ni gesha tu majini anakuwa stand by Kufanya kile anachoambiwa na kiti wake unapotumia dawa hizo anaanza kukufanikishia jambo lako.
Over
True majini ndio waliwafunza uchawi binadamu,lengo kuu ni kuupunguza uwezo wa kufikiri wa mwanadamu aache kutumia akili zake alizopewa na Mwenyezi Mungu na awe tegemezi wa fikra
 
We kumbe humu wanakutukuza bure,ni mweupeeee haswaa kabisa, nahisi pia Ni mwepesi Kama unyoya!!!!!
Kwa kifupi huna ujualo kumbe
Mwenyewe na shangaa sana..mana hua simwelewi kabisa..naonaga anawachotaga akili wasioelewa hizi mambo...kuna mambo mengi hayajui..au anasimuliwaga vijiweni ndio anakuja kutamba navyo humu jf..ila practically ni zero.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachawi wanaporoga sio lazima wakutumie majini ama mapepo.

Wanaweza kukuloga kwa laana za kichawi, ama kukulisha uchafu nk

Je, ni kwa wakati gani wachawi wanalazimika kutumia majini kumloga mtu?

Kwanini watumie jini na sio uchawi wa kawaida?

cc Mshana Jr

Rakims
Majini ndiyo huwa wana watumia wachawi yaani Wachawi wanawategemea majini katika uchawi wao.
 
Back
Top Bottom