Kwanini wadada huwa mnaamini mwanaume asiye na haraka ya kulala na wewe ndio anakupenda?

Kwanini wadada huwa mnaamini mwanaume asiye na haraka ya kulala na wewe ndio anakupenda?

royal tourtz

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
255
Reaction score
326
Moja kati ya vitu ambavyo dada zetu huwa wanatumia kama kigezo cha kumpima mwanaume, ni kigezo cha mwanaume kutompaparukia kutembea naye ingawa wameshatogozana na kukubalina kuwa pamoja.

Nimesikia wadada wengi wanasifia kuwa jamaa yake hana haraka hata kama akienda kwake. Hiyo hali huwa inamfanya mdada aone jamaa anamapenzi ya kweli na anampenda.

Sasa nauliza mwanaume kutokuonesha nia ya kulala na wewe kwa haraka ndio kipimo cha upendi??
 
Kifupi hizo huwa ni mbinu tu na binafsi huwa nazitumia sana, yaani huwa sina papara hata kidogo na wadada humwaga sana sifa kuwa sikutegemea kama siku ile usingeomba gem!

Hapo mimi nampamba kuwa nimekupenda nikakuchagua hivyo wewe ni wangu naamini iko siku ikikupendeza utanipa,
Hapo anavimba kichwa na kujilegeza ili akupe then aanze kupiga vizinga.

Kifupi zote huwa ni mbinu tu za kumla kistaarabu
 
Minapenda mtu ambaye ni hapo kwa hapo masuala ya kuvuta kwani na chupi ya chuma woi mi nampuuziaga,
Kondoms zipoo enzi za Kikwete nipo single na enjoy.

Mi nalazimishaga aisee siwezi kwenda mahali na kuachwa niende na shida zangu hata akitaka kukataa.
Nafanya kila njia, anakubalii.
 
Mwanamke n wakuliwa siku Hiyo² ya kwanza. Unamvungia akuone mstaarabu kumbe kuna muhuni anakula mzigo. Na yeye anajifanya mtulivu na yupo kwa ajili yako.
 
Minapenda mtu ambaye ni hapo kwa hapo masuala ya kuvuta kwani na chupi ya chuma woi mi nampuuziaga,
Kondoms zipoo enzi za Kikwete nipo single na enjoy.

Mi nalazimishaga aisee siwezi kwenda mahali na kuachwa niende na shida zangu hata akitaka kukataa.
Nafanya kila njia, anakubalii.
Ewaaaaaaaaaaa [emoji41]
 
Ukiona anakuzungusha ujue kuna bingwa au hana muda mrefu ametoka kuliwa na anataka ipoe kidogo.Tafuta hela acha mipango ya kufikiria hao watu kwa sasa utakufa kabla hujafika 40s
 
Minapenda mtu ambaye ni hapo kwa hapo masuala ya kuvuta kwani na chupi ya chuma woi mi nampuuziaga,
Kondoms zipoo enzi za Kikwete nipo single na enjoy.

Mi nalazimishaga aisee siwezi kwenda mahali na kuachwa niende na shida zangu hata akitaka kukataa.
Nafanya kila njia,
Nafaa kukutana na wewe chap
 
Back
Top Bottom