Kwanini wadada huwa mnaamini mwanaume asiye na haraka ya kulala na wewe ndio anakupenda?

Maandazi hawa anaweza zuga hata months kuwa yeye ni good boy kumbe anakulia timing tu..!!
akikudaka tu hesabu manyoya..!!
A wound in the heart.....ni play nilisoma kwenye english language back in days form three.....bahati mbaya sikuwahi kumjua main character....Nashukuru leo JF imenionesha main character....


Daaaaah another woman down.....pole mdogo wangu
 
Maandazi hawa anaweza zuga hata months kuwa yeye ni good boy kumbe anakulia timing tu..!!
akikudaka tu hesabu manyoya..!!
Nina kiti changu Cha pekee nikifa aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41]
 
A wound in the heart.....ni play nilisoma kwenye english language back in days form three.....bahati mbaya sikuwahi kumjua main character....Nashukuru leo JF imenionesha main character....


Daaaaah another woman down.....pole mdogo wangu
Hahaa..!
We phaller, me nimeshauri tu haina uhusiano wowote na Mimi.!!
 

Wanawake hudanganywa kwa njia moja kila siku na wanaume wengi tunatumia njia hii kuwadanganya naweza nikavumilia hata miezi mitatu ilimradi tuu nipate mbususu na kishipata basi....

Wanawake wanavipimo vya ajabu ajabu kuhusu upendo...yani wakiona mwanaume aombi mbususu wanaona anafaa kumbe wasichojua kuwa ana vumilia tuu..mwanaume hawezi kuwa kwenye mahusiano na mtu akae mwezi hajaomba mbususu..akiona utamsumbua anacunga uvumilivu ili apate mbususu
 
Wengi tusioomba mapema tunakuwa kunasehem tunajipooza kwa hiyo hatuna cha kupoteza
 
Mindset..
Anaweza akachelewa kulala nawe na Bado akakupiga tukio..na anaweza wahi na mkadumu ile ile..

Kwako mwalimu to yeye
Usije ukawa ni mmoja kati ya mademu zangu, kwasababu hii kauli huwa napenda sana kuwaambia mademu zangu ninapokuwa kwenye harakati zangu za kuelekea kuwachakata.
 
Ww ni mtu makini sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni noma uwiiiiih
 
Maandazi hawa anaweza zuga hata months kuwa yeye ni good boy kumbe anakulia timing tu..!!
akikudaka tu hesabu manyoya..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaa yaan.
 
Huo ujinga wa kusubili subili sifanyi
Kwnn ncklizie wakat umeshanikubalia
Unackilizia bdo hujala unajikuta mmeshaachana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…